Mahakama Kuu imewaruhusu Halima Mdee na wenzake 18 kufungua kesi ya kupinga CHADEMA kuwavua uanachama

Mahakama Kuu imewaruhusu Halima Mdee na wenzake 18 kufungua kesi ya kupinga CHADEMA kuwavua uanachama

Sawa itatusaidia kujua kila kitu na hiyo kesi iende haraka
 
Shukuru Mungu unatumia fake Id humu. Kwa kauli hii ungeshakuwa selo
Awe sero kwa kosa gani?

Kuna nchi ama mtu specifically aliyetajwa. Sasa kwa mfano unampeleka mahakamani mtu kama huyu, hiyo kesi itafunguliwa kwa kuzingatia kifungu gani cha sheria na kosa gani litaainishwa kwenye charge?
 
Chadema ina wanasheria na mawakili wazuri, ila kama walikiuka katiba yao wenyewe ngoja tuone itakavyokuwa
 
Ninashauki ya kumfahamu aliyetia saini ya wabumge hao kuteuliwa kutokea Chadema!
 
Huyo jaji ndie aliahirisha huo uamuzi last time ili akapewe maelezo ya kuikanyaga haki.

Hii kesi kuanzia mwanzo imeshaonekana kuna external force inatumika kuwalinda hao wanawake 19, hivyo sitashangaa kama wakishinda hiyo kesi yao licha ya Chadema kufuata taratibu zote kuwavua uanachama.

Vinginevyo inaweza kucheleweshwa mpaka 2025 huku muda huo wakiendelea kuwepo bungeni wanakula posho, Samia wa maridhiano hajawahi kuwa serious kwenye hii issue.
tuliishawaambia humu ndani mkatuona hatujui lolote sasa sijui nani anyejua.hawa wadada wataendelea tu kupeta sababu ya technical faults walizofanya CDM.
 
Kwa kweli kama nchi tunaelekea pabaya. Sina la kusema kwa vile hata layman anajua nini kingetokea.
 
Siasa za bongo ukishughulisha ubongo ni rahisi kutabiri yatakayojiri kwenye kesi za aina hii.

Kwa mawazo yangu hawa COVID 19 waliingia bungeni kwa karatasi zote zinazotakiwa hivyo kuwatoa kwa madai wali fake documents ni ujuha!
Nawaona wakipata ushindi mnono maana nchi ya kibeijing hii kwasasa hadi 2030 ambako wanaume wataikanyaga katiba yaliyopo yazikwe milele!

Hongereni sana COVID 19 nchi mali yenu hii kwasasa wababa ndo walezi wa watoto wa kibongo wamama ndio viongozi maofisini, ikifika 2030 tutaona panapovuja!
 
Si mlisema ubunge wao unaenda kukoma mwezi wa 7? Imekuwaje tena?
Walishafukuzwa uanachama nani ana shida na ubunge wao?? Wanapoteza muda tu maana hata wakishinda kesi CHADEMA itawatimua upya kwa baraza kuu la dharura!! So mnawajaza tu upepo.

Ila ndio hivyo kufikia 2025 watakua wamezikwa kisiasa, watakua irrelevant kama viti maalum wengine waliowahi toroka kama Sungura au Suzan Masele.
 
Siasa za bongo ukishughulisha ubongo ni rahisi kutabiri yatakayojiri kwenye kesi za aina hii.

Kwa mawazo yangu hawa COVID 19 waliingia bungeni kwa karatasi zote zinazotakiwa hivyo kuwatoa kwa madai wali fake documents ni ujuha!
Nawaona wakipata ushindi mnono maana nchi ya kibeijing hii kwasasa hadi 2030 ambako wanaume wataikanyaga katiba yaliyopo yazikwe milele!

Hongereni sana COVID 19 nchi mali yenu hii kwasasa wababa ndo walezi wa watoto wa kibongo wamama ndio viongozi maofisini, ikifika 2030 tutaona panapovuja!
Kesi Yao mbona haihusu ubunge ila uanachama!! Whether walikua na karatasi rasmi or not walichofukuzwa ni kukiuka wito wa Kamati kuu kuhojiwa juu ya ubunge.

So whether walienda kwa barua rasmi maadam Kamati kuu (kama Kamati ya maadili) imewaita na wamegoma hivyo walihukumiwa Ina absentia inahusiana nini na ubunge wao?
 
Mkuu,

Alitia saini ni Mnyika kwa ruhusa ya Mbowe!


Muulize Pasco Mayalla atakwambia!

Hiki chama kina upumbavu mwingi sana
Mnyika au Mbowe ndio wanatakiwa kuteua wabunge au ni Kamati kuu?

Baraza kuu limewafukuza whether walitumwa na nani haituhusu wanachama.

Tunachoomba mahakama iheshimu maamuzi ya baraza kuu maana akidi ilitimia na sheria za chama zilifuatwa.

Hatuna shida na ubunge wao
 
Chadema ina wanasheria na mawakili wazuri, ila kama walikiuka katiba yao wenyewe ngoja tuone itakavyokuwa
CCM pia imempata wakili bora kabisa wa viwango vya juu sana kwa karne hii huyo ni WAKILI PASCAL MAYALA.
 
Do they have any impact in Tanzania politics for that matter? who created them is the one in control of their affairs. Don't waste your time with these bitches.
 
Vyama vya upinzani vingekuwa serious vingeachana na ujingaujinga wooote wa kushiriki uchaguzi na upuuzi mwingine wakutafuta haki katika maeneo ambayo wanajua kabisa kwamba kuna uwezekeno mkubwa wa maamuzi kupindishwa kirahisi.
Badala yake wange jikita kupambania katibampya kwa akili na nguvuzao zote kwa 100%.

Sasaivi kila wanacho fanya wanajua kabisa hawawezi kutoboa kwa katiba hii tuliyonayo lakini wanajiendeatu ilimradi waonekane wako bize.

Nadhani kunakitu kingine wanacho lenga ikiwemo kulamba asali na sio kujinasua kwenye mabano ya m'binyo wa haki katika uchaguzi na NK.

Nashindwaga kuwaelewa kwanini wanaingiaga kwenye uchaguzi ambao wanajua kabisa hawawezi kushinda chochote,na wakishinda viti vya udiwani ama ubunge basi ujue nikwa hisani ya mwenye mamlaka.

Narudia tena, achaneni na mambo yanayo poteza muda tuungane pamoja kupambania katiba mpya!!.
 
tuliishawaambia humu ndani mkatuona hatujui lolote sasa sijui nani anyejua.hawa wadada wataendelea tu kupeta sababu ya technical faults walizofanya CDM.
Hebu zitaje hizo technical faults walizofanya Chadema
 
Back
Top Bottom