nikuulize swali dogo naomba ujibu kila JF, jibu objectively usiweke ushabiki
Je COVID 19 wasingekuwa wabunge kuna mtu yoyote Chadema angehangaika kuwavua uanachama? unao mfano wa mtu alievuliwa uanachama na sababu zake? these two things are connected mkuu!
Yaani in short viongozi Chadema wana majina yao wanataka kupeleka bungeni kwa maslahi ya kipesa au mapenzi kina Joyce wa Miwani Makengeza bin Mmbowe, Halima mtoto wa mjini she has outsmarted them!
Nikikumbuka wale wabunge wa CUF walivyofurumishwa na Spika Ndugai huwa najiuliza haki iko wapi!. Akina mama Sofia Simba vs Bernard Membe (kachero mbobezi) walifukuzwa kana kwamba ni wanachama wachanga kwenye chama!.Hawa COVID - 19 wapo bungeni kwa uwakilishi wa chama kipi na wanakingiwa kifua kwa faida na maslahi ya Nani?.
Naamini na kuamini 2025 maamuzi ya wapiga kura yataheshimiwa kwa mbunge wanaemtaka ili kuepuka aibu hii inayoendelea katika nchi yetu. Tukubali kuwa siasa ni pamoja na kuwa na wabunge wa vyama shindani waliochaguliwa kihalali na maamuzi ya wananchi kuheshimiwa. Tunaogopa kukubali kuachana na COVID 19 kwa sababu tutabaki wenyewe na ivo maamuzi tutakayoyafanya yataonekana ya upande mmoja.
Nikikumbuka wale wabunge wa CUF walivyofurumishwa na Spika Ndugai huwa najiuliza haki iko wapi!. Akina mama Sofia Simba vs Bernard Membe (kachero mbobezi) walifukuzwa kana kwamba ni wanachama wachanga kwenye chama!.Hawa COVID - 19 wapo bungeni kwa uwakilishi wa chama kipi na wanakingiwa kifua kwa faida na maslahi ya Nani?.
Naamini na kuamini 2025 maamuzi ya wapiga kura yataheshimiwa kwa mbunge wanaemtaka ili kuepuka aibu hii inayoendelea katika nchi yetu. Tukubali kuwa siasa ni pamoja na kuwa na wabunge wa vyama shindani waliochaguliwa kihalali na maamuzi ya wananchi kuheshimiwa. Tunaogopa kukubali kuachana na COVID 19 kwa sababu tutabaki wenyewe na ivo maamuzi tutakayoyafanya yataonekana ya upande mmoja.
Unategemea Mnyika angekubali
AmenNikikumbuka wale wabunge wa CUF walivyofurumishwa na Spika Ndugai huwa najiuliza haki iko wapi!. Akina mama Sofia Simba vs Bernard Membe (kachero mbobezi) walifukuzwa kana kwamba ni wanachama wachanga kwenye chama!.Hawa COVID - 19 wapo bungeni kwa uwakilishi wa chama kipi na wanakingiwa kifua kwa faida na maslahi ya Nani?.
Naamini na kuamini 2025 maamuzi ya wapiga kura yataheshimiwa kwa mbunge wanaemtaka ili kuepuka aibu hii inayoendelea katika nchi yetu. Tukubali kuwa siasa ni pamoja na kuwa na wabunge wa vyama shindani waliochaguliwa kihalali na maamuzi ya wananchi kuheshimiwa. Tunaogopa kukubali kuachana na COVID 19 kwa sababu tutabaki wenyewe na ivo maamuzi tutakayoyafanya yataonekana ya upande mmoja.
Ebu elezea na jinsi Mbowe na Mnyika walivyomtoa mahabusu Nusrat HanjeMkuu kwani hujui mambo ya chadema?
Kwanza walikataa kutambua matokeo ya urais wakaaminisha wafuasi wao kwamba hawatateua wabunge wa viti maakumu.
Ila baadae kina Mbowe na Mnyika wakapeleka majina kinyemela ila wakawazuga wafuasi kwamba wamejiteua.
Na ukumbuke sain inayoenda kwa msajili na spika ni ya katibu tu siyo ya kamati nzima.
Kama kweli wewe unao ushahidi huo, basi pamoja na kuchelewa peleka uwasaidie akina Mdee waachane na porojo za vijikesi kila uchwao.Chadema no wahuni kibatala ni mhuni zaidi maana hakuna kesi kubwa zenye maslahi kwa taifa aliyowahi kushinda alitaka kumfungisha makengeza ataweza wapi kuwashinda kina mdee sasa ndiyo mnyika ataanza kujinyea maana ndiye aliandika barua kwenda tume halafu anaikataa
Hakika kuna nchi anaechezea Kodi ya Jamhuri Risasi ni halali yake.NDIYO MAANA MATAIFA MENGINE YANATUMIA RISASI BADALA YA MAHAKAMA...
AMEN..Mnyika akizungumza toka viunga vya mahakama kuu.
Mkuu JokaKuu..Mnyika akizungumza toka viunga vya mahakama kuu.
Kuna VIGOGO wanakwenda kutumbukia....Sawa, ngoja tuwajue waliowatoa Gerezani usiku ni kina nani
Mkuu JokaKuu
Katika club house moja Mwenyekiti Mbowe aliulizwa anakwendaje katika maridhiano wakati suala la COVID halijaisha?
Aliyeuliza swali alikuwa na maana moja, kwamba, huwezi kwenda kwenye meza ya mazungumzo bila ''bargaining chip''
Mbowe akajibu kwamba suala la COVID ni la kitaasisi na lihaitaji muda ili taratibu za kitaasisi zikamilishwe
Kauli hiyo ilinishtua sana kwasababu sikuitegemea kutoka kwake, sasa leo nashangaa Mnyika analalamika
Mnyika amuulize Mbowe huko kwenye meza ya maridhiano hili halimo?
ID zote humu ni feki. Kwa nini Halima Mdee ndio aweke id yake ya ukweli?Ndugu yangu elewa tu kina Mdee na wenzake wamefungua Id fake nyingi humu JF kwa ajili ya Psychological game. Hivyo ukute huyo unayemjibu ni Mh Buhala.
Kama ungeelewa vizuri maana ya neno taasisi kwenye hiyo kauli ya Mbowe naamini usingeshtuka.Mkuu JokaKuu
Katika club house moja Mwenyekiti Mbowe aliulizwa anakwendaje katika maridhiano wakati suala la COVID halijaisha?
Aliyeuliza swali alikuwa na maana moja, kwamba, huwezi kwenda kwenye meza ya mazungumzo bila ''bargaining chip''
Mbowe akajibu kwamba suala la COVID ni la kitaasisi na lihaitaji muda ili taratibu za kitaasisi zikamilishwe
Kauli hiyo ilinishtua sana kwasababu sikuitegemea kutoka kwake, sasa leo nashangaa Mnyika analalamika
Mnyika amuulize Mbowe huko kwenye meza ya maridhiano hili halimo?
Umesemaje? Nara, Area D au?NDIYO MAANA MATAIFA MENGINE YANATUMIA RISASI BADALA YA MAHAKAMA...