Mahakama Kuu mchunguzeni karani Yassin Muruko

Mahakama Kuu mchunguzeni karani Yassin Muruko

Allyoki

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2007
Posts
289
Reaction score
181
Mheshimiwa Jaji Kiongozi.

Mahakama ni taasisi nyeti sana katika muunganiko wa Mihimili ya Nchi. Lakini inapotokea mfanyakazi mmoja anaichafua Taasisi hiyo inabidi sisi waathirika tuseme kusudi wewe kama kiongozi umuagalie kwa jicho la tatu, huyo karani yupo Mahakama Kuu ya Tanzania (Mwembeni) Dar es Salaam.

Yeye amekuwa akishirikiana na wadaiwa kusudi wadai wasipate haki zao, anaitwa YASSIN MURUKO nafikiri ndio karani wa Msajili Mfawidhi pale Mahakamani, kazi yake kubwa ni kudai rushwa tu wala haogopi, na usipompa faili lako tarehe nyingine halitapatikana anaficha sana mafaili( kwa hili muulize Mh Tiganga anajua). Kuna faili lilifichwa miezi karibu sita (6) hasa mafaili ya Execution.

Amekuwa mtu wa dharau anajiamini sana kiasi ambacho anajiona na yeye Jaji. Ukiwa na maelekezo uchukue kitu kwake basi utaambiwa njoo kesho njoo kesho zimekuwa nyingi sana wala hata hajui kuwa kuna gharama kuja Mahakamani, kuna watu wamekata tamaa kuja Mahakamani kwa sababu yake, naomba umuangalie kwa jicho la tatu utagundua vitu vingi zaidi ya hivi.

Ahsante.

Mimi na waathirika za huduma zake.
 
Sio majungu itakuwa nikweli,.nyie mbona kutwa mnampiga majungu Samia kwa vitu visivyo vya ukweli?
Rais anataka haki sana hatukatai lakini kuna watendaji hawafai hata kupewa second chance Namkumbuka sana mkapa alijitahidi kuondoa ondoa watendaji wa aina hii lakini alifanikiwa kwa % ndogo but alionesha
 
Kwanini umeyaita majungu ?
Wanaita majungu kwa sababu wanajali nafsi zao tukizungumzia kesi za ardhi mahakamani asilimia 60 wanyonge wazee na wasiojiweza wananyanyasika sanaaaa tena sana
 
Mheshimiwa Jaji Kiongozi.

Mahakama ni taasisi nyeti sana katika muunganiko wa Mihimili ya Nchi. Lakini inapotokea mfanyakazi mmoja anaichafua Taasisi hiyo inabidi sisi waathirika tuseme kusudi wewe kama kiongozi umuagalie kwa jicho la tatu, huyo karani yupo Mahakama Kuu ya Tanzania (Mwembeni) Dar es Salaam.

Yeye amekuwa akishirikiana na wadaiwa kusudi wadai wasipate haki zao, anaitwa YASSIN MURUKO nafikiri ndio karani wa Msajili Mfawidhi pale Mahakamani, kazi yake kubwa ni kudai rushwa tu wala haogopi, na usipompa faili lako tarehe nyingine halitapatikana anaficha sana mafaili( kwa hili muulize Mh Tiganga anajua). Kuna faili lilifichwa miezi karibu sita (6) hasa mafaili ya Execution.

Amekuwa mtu wa dharau anajiamini sana kiasi ambacho anajiona na yeye Jaji. Ukiwa na maelekezo uchukue kitu kwake basi utaambiwa njoo kesho njoo kesho zimekuwa nyingi sana wala hata hajui kuwa kuna gharama kuja Mahakamani, kuna watu wamekata tamaa kuja Mahakamani kwa sababu yake, naomba umuangalie kwa jicho la tatu utagundua vitu vingi zaidi ya hivi.

Ahsante.

Mimi na waathirika za huduma zake.
Pole mkuu! Hii kesi ya ngedere unampelekea nyani! Makarani ndio wanaotumwa Rushwa na mahakimu na majaji. Hili ninaweza kuthibitisha pasi na shaka.
Unasema wana kiburi? Ndiyo ukimuona Mbuzi mtini kapandishwa pale!
Katiba mpya katiba mpya!!
 
Wanaita majungu kwa sababu wanajali nafsi zao tukizungumzia kesi za ardhi mahakamani asilimia 60 wanyonge wazee na wasiojiweza wananyanyasika sanaaaa tena sana
Kesi za Aridhi siku hizi Kama huna pesa ushindi hata kama una ushahidi wote, wajanja wanaangalia dosari ndogo sana ndiyo wanapita nayo hiyo ,wanakunyima haki yako na anapewa mwenye mpunga wake!! Money is very powerful kwenye Mahakama na kwenye mabaraza yetu ya ugawaji wa haki!!
 
makarani wote wa mahakama ndivyo walivyo, kama yuko kwa hakimu nae hujiona hakimu, kama kwa hakimu mkuu mkazi nae ni hakimu mkuu mkazi na kama ni kwa Judge basi nae hujiona Judge.
 
Makarani hawaendi mbinguni,wao ni mawakala wa mahakimu na majaji katika kukusanya mapato(rushwa)
 
JAJI KIONGOZI MWENYEWE WA MCHONGO!

UNAJUA ALIPATIKANAJE?!

REF: KESI YA UGAIDI YA MBOWE!
 
Siku nyingine akikusumbua mrekodi.

Kuna Kifaa ninaweza kukuonesha utakivaa kwenye mfuko WA shati ukimaliza kuna sehemu utatuma hiyo video.

Asipofukuzwa kazi uniite mbwa!
 
Back
Top Bottom