Mahakama Kuu nchini Zanzibar yafuta kifungu kinachozuia uagizaji wa vileo

unadhani hakuna sheria ndogo za kulinda utamaduni?.
Wewe mkojani huna uchumi wala rasilimali zozote utautoa wapi utamaduni? Utafuata utamaduni wa anayekulisha...(mtalii).
 
Ni wakati wa kugonga Glassi hapa hapa Duniani Ahera yabaki Mahesabu tu.

Kunywa Kistaarabu.
 

Na hii ni kwa ajili ya wale Maustazi siku ya Eid baada ya pilau.
 
Safi sana. Haki imeshinda. Sheria hiyo ilikua inaenda kinyume na katiba. Nilikua Zanzibar mwezi uliopita. Nilihangaika sana kupata Pombe ya kunywa baada ya masaa ya kazi. Nashukuru baadae nilipata Chimbo nikamwagilia moyo. Kazi na dawa. By the way, nilifurahi kuona Kitimoto ikiuzwa Zanzibar. Safi sana
 

Zanzibar siyo nchi.
 
Taratibu wataruhusu vingi.
Hivi Ile kitimoto tunayokula tukiwa Zanzibar inafugiwa Zanzibar kule kule au Wana import kutoka Mbeya?
Wanafuga wenyewe wanadai kufuga siyo Dhambi!....dhambi kula
 
Mnaoshabikia kwamba mh. Simai kashinda how come awe yeye wkt kesi ilifunguliwa akiwa bado waziri?.

Lakini nini impact ya sheria hii kuwa wazi kuruhusu kampuni nyingine kuingiza vileo, unadhani hakuna sheria ndogo za kulinda utamaduni?.
Sheria za nini wakati wazanzibar wengi wanapenda hivyo vinywaji?
Sheria inaweza kuwepo, na bado vinywaji vikawepo kwa wingi zaidi huku serikali ikikosa mapato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…