Mahakama Kuu Tanzania imeamuru Jamhuri kurudisha fedha za faini za kesi ya Freeman Mbowe na wenzake 7 wa CHADEMA

Mahakama Kuu Tanzania imeamuru Jamhuri kurudisha fedha za faini za kesi ya Freeman Mbowe na wenzake 7 wa CHADEMA

westbrookswag.png

Mama huyo
 
Narudia tena km habari hii ina ukweli chonde chonde CDM kwa sababu mpo kwny ujenzi wa ofisi zenu nchi nzima kwa hicho kidogo ambacho watanzania waliwachangieni kitumeni kwny majimbo yenu tena kwa usawa kimalizie ujenzi wa ofisi itakuwa kumbukumbu nzuri kwenu
Mil 300 ni ndogo kujenge ofisi mikoa yote ,wajenge ofisi nzuri kubwa ya makao makuu
 
Tuliozichanga kuwachangia waliodaiwa kuwa waharifu, tutarudishiwa pesa zetu ama na sisi tuingie Mahakamani kuwadai wanaorudishiwa hizi pesa na wakati wananchi ndio tuliwachangia?
 
Alipokuwa akisoma mashitaka hayo February 22, 2018, Wakili wa Serikali Mwandamizi, Faraja Nchimbi alidai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri kuwa ,washitakiwa kwa pamoja walitenda makosa hayo Februari 16, mwaka 2018 maeneo ya Viwanja vya Buibui na Barabara ya Kawawa, Mkwajuni wilayani Kinondoni, Dar es Salaam...
Hizi mahakama wakati mwingine zinatuchanganya zinatoa hukumu zinageuka zinanyang'anya hukumu, ni kama kuna ubabaishaji fulani
 
kitamu zaidi anaupiga kimya kimya, anazidi kujizolea point 3 kila mechi... Akimalizia na hili la Katiba na tume huru aisee hatutakuwa na zawadi ya kumpa mama wa watu.
Na CCM yake anaondoka nayo.
 
Mil 300 ni ndogo kujenge ofisi mikoa yote ,wajenge ofisi nzuri kubwa ya makao makuu

wajenge vipi na wakati tulichangishwa pesa ili watoke sero?

Turudishiwe chetu sasa
 
Hukumu hiyo pia inawahusu halma mdee na wenzake wote walio hamia ccm akina masinji?
 

wajenge vipi na wakati tulichangishwa pesa ili watoke sero?

Turudishiwe chetu sasa
Kwahiyo ulichanga ya nini wakati ilikuwa hiari na watu walitoa kama msaada
 
Back
Top Bottom