JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Tume ya Uchaguzi kupinga kufukuzwa uanachama, hadi Ijumaa Julai 8, 2022. Msajili amesema uamuzi haujakamilika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa maelekezo amesafiri kaenda kuleta mihela.
Kwahiyo akiinama anakuwa kaktika staili ya mbuzi kagoma kwenda cyonasikia huko akifika wanamuonesha pale kuna kisima we inama uchote mihela upeleke kwenu
Uwiiii....Kwahiyo akiinama anakuwa kaktika staili ya mbuzi kagoma kwenda cyo
kwa kuwa michepuko wenzako wako bungeniWasogeze sogeze hivyo hivyo mpaka 2025 ili mchepuko wa mwenyekiti akose ubunge safari hii
Unamsema vibaya mamako mzazi, maana ndiye mchepuko wake mkuuWasogeze sogeze hivyo hivyo mpaka 2025 ili mchepuko wa mwenyekiti akose ubunge safari hii
NyoooooWaendelee kusogeza hivyohivyo mpaka mwaka 2025
CCM waapisheni UPYA kina HALIMA na Wenzake kuwa Wabunge Viti Maalum CCM mbona Uwezo huo mnao?Mahakama Kuu Masijala ya Dar es Salaam, imeahirisha kutoa uamuzi kuhusu maombi ya Halima Mdee na wenzake 18 ya kufungua kesi dhidi ya CHADEMA, leo Julai 6, 2022.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Tume ya Uchaguzi kupinga kufukuzwa uanachama, hadi Ijumaa Julai 8, 2022. Msajili amesema uamuzi haujakamilika.
Yule ndio Muasisi wa aina zote za Uhuni unaoushuhudiaHayati Magufuli alisingiziwa mambo mengi sana
SawaMahakama Kuu Masijala ya Dar es Salaam, imeahirisha kutoa uamuzi kuhusu maombi ya Halima Mdee na wenzake 18 ya kufungua kesi dhidi ya CHADEMA, leo Julai 6, 2022.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Tume ya Uchaguzi kupinga kufukuzwa uanachama, hadi Ijumaa Julai 8, 2022. Msajili amesema uamuzi haujakamilika.