Bora angemwachia Baba nchiAngesaini tu leo ingekua TOTAL SHUTDOWN ..hata jeshi wangekua upande wa wananchi..
Mkuu hata Kenya haikuja kirahisi. Ni kazi kubwa imefanyika. Nawaonea wivu kwa sababu nchi yao inaendeshwa kisomi na mihimili yote inafanya kazi. Unafikiria nchi ya Afrika rais aliye madarakani kushindwa kumuweka mtu wake kama Kenyatta alivyoshindwa ni rahisi. Na bado kabla ya hapo walishatengua matokeo ya urais.Kenya hadi rahaa, wana support hadi ya mahakama kuu
Sisi huku tujaribu tuone polisi watakavyotunyofoa juujuu😂
Hapa katumia akili. Kwa hali ilivyo ulikuwa mtego mbaya sana.Angesaini tu leo ingekua TOTAL SHUTDOWN ..hata jeshi wangekua upande wa wananchi..
Jeshi letu imara la JWTZ, makambi yote (mfano Makutopora, Ngerengere, nk), askari wangemwaga kila mtaa wa Kenya ili kufanya usafi asubuhi na kurejea mchana Dodoma kwa ajili ya lanchi.Jamaa kashituka bunge lilikua linataka kumtoa kafara..................wabunge walipitisha hio kitu haraka wakijua wanachokifanya, bomu lilitakiwa limripukie Ruto ,labda jamaa akili inaanza kutulia maana akiendelea kutoa maamuzi kwa kupanic jeshi litampindua
Waende huko wakati huku kwenyewe bado hapasomeki,,,,,,,,,Wakenya wanajuana wenyeweJeshi letu imara la JWTZ, makambi yote (mfano Makutopora, Ngerengere, nk), askari wangemwaga kila mtaa wa Kenya ili kufanya usafi asubuhi na kurejea mchana Dodoma kwa ajili ya lanchi.
Wangekufinya chuchu. Na Lucas asingeonekana. 🤣Kenya hadi rahaa, wana support hadi ya mahakama kuu
Sisi huku tujaribu tuone polisi watakavyotunyofoa juujuu😂
Chuchu au ndala😂Wangekufinya chuchu. Na Lucas asingeonekana. 🤣
Hata ndala lina chuchu.Chuchu au ndala😂
Chuchu sharti ziangalie mbele ziwe ngumu zitune na sio zinaangalia chini kama zinaona aibu zimelegea😂Hata ndala lina chuchu.
Chuchu ni kile kimdomo cha titi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kenya hadi rahaa, wana support hadi ya mahakama kuu
Sisi huku tujaribu tuone polisi watakavyotunyofoa juujuu[emoji23]
Hahahaha!.Chuchu sharti ziangalie mbele ziwe ngumu zitune na sio zinaangalia chini kama zinaona aibu zimelegea😂
Woga umewajaa baada ya waandamanaji kuchoma jengo lao la mahakama ya rufaaKenya hadi rahaa, wana support hadi ya mahakama kuu
Sisi huku tujaribu tuone polisi watakavyotunyofoa juujuu😂
Kajiongeza 2 hapo maana ingekuwa show kaliJamaa kashituka bunge lilikua linataka kumtoa kafara..................wabunge walipitisha hio kitu haraka wakijua wanachokifanya, bomu lilitakiwa limripukie Ruto ,labda jamaa akili inaanza kutulia maana akiendelea kutoa maamuzi kwa kupanic jeshi litampindua
Kuna maiti zaidi ya 10 hiyo mahakama yenyewe imefika mahali imeona wasipoenda soft Ile vumbi itachafua Kenya wakose pa kuendeshea vx zao kmmk wanasiasa na hizo elite group huuma na kupulizaKenya hadi rahaa, wana support hadi ya mahakama kuu
Sisi huku tujaribu tuone polisi watakavyotunyofoa juujuu😂