Kenya wametuacha mbali sana kwenye utawala bora wenzetu wametenganisha kabisa shuguli & mamlaka za Serikali, Bunge na Mahakama.
Kwetu hapa mama Abdul kahodhi mhimili yote 3 yake afu vijana ( 18 - 35 yrs) wakikenua meno wakiacha wazee kina Mpina eti wawapambanie, ni abu.
Kwetu hapa mama Abdul kahodhi mhimili yote 3 yake afu vijana ( 18 - 35 yrs) wakikenua meno wakiacha wazee kina Mpina eti wawapambanie, ni abu.