Mahakama Kuu yatoa uamuzi - Rais hakuvunja katiba kuongeza muda wa Jaji Prof. Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania

Mahakama Kuu yatoa uamuzi - Rais hakuvunja katiba kuongeza muda wa Jaji Prof. Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania

kizazi cha BBC, "Born Before Computer"
Umetumia maneno machache kuwakilisha changamoto lakini mazito sana. Mamlaka za Teuzi kwa ajili ya kuleta mabadiliko chanya yenye mguso, hili nalo wakaliangalie.
 
22 September 2023
Masijala ya Mahakama Kuu
Dar es Salaam

Kesi namba 7 ya 2023 ya Humphrey Simon Malenga dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali leo imetolewa hukumu yake .

Humphrey Simon Malenga alifungua kesi, ili Mahakama Kuu itafsiri kama rais alivunja katiba au la kwa muuongezea muda wa kubaki ofisini baada ya jaji mkuu Profesa Ibrahimu Juma kufikisha muda wa kustaafu wa miaka 65.

Katika hukumu hiyo ya kurasa 33 Mahakama Kuu imejiridhisha kuwa mheshimiwa rais hakuvunja katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumuongezea jaji wa mahakama ya rufaa ambaye ni jaji mkuu Professor Ibrahimu Juma kuendelea kubaki ofisini

Jaji G.N.Isaya amesema nafasi ya kukata rufaa ipo dhidi ya hukumu iliyotolewa leo ya kutupilia mbali kesi iliyofunguliwa na Humphrey Simon Malenga.
......

Soma hukumu nzima source :
Having determined the issues above, I find the petition without
merit. It stands dismissed. No order as to costs.
Order accordingly. (
signed
G.N.Isaya
Judge

22.09.2023.

Court: Judgment delivered in open court this 22nd day of September, 2023 in the presence of Mr. Ipilinga Panya and Aliko Harry Mwamanenge,
Learned Advocates for the petitioner. Ms. Victoria Lugndo, State Attorney, for the Respondent, Ms. Catherine Shenkunde (B/C), and Hon. Chilemba
Chikawe (JLA). /

G.N.Isaya
Judge

22.09.2023
Right of Appeal fully explained. /
G.N.Isaya Judge
22.09.2023
Page 33 of 33


Humphrey Simon Malenga versus The Hon. Attorney Genaral (MISCELLANEOUS CIVIL CAUSE NO. 07 OF 2023) [2023] TZHC 7 (22 September 2023)​


Pia soma: Mwanasheria afungua kesi kupinga Jaji Mkuu kubaki kazini baada ya muda wa kustaafu kupita
Huyo judge aliyetoa hukumu aliteuliwa na nani?
 
22 September 2023
Masijala ya Mahakama Kuu
Dar es Salaam

Kesi namba 7 ya 2023 ya Humphrey Simon Malenga dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali leo imetolewa hukumu yake .

Humphrey Simon Malenga alifungua kesi, ili Mahakama Kuu itafsiri kama rais alivunja katiba au la kwa muuongezea muda wa kubaki ofisini baada ya jaji mkuu Profesa Ibrahimu Juma kufikisha muda wa kustaafu wa miaka 65.

Katika hukumu hiyo ya kurasa 33 Mahakama Kuu imejiridhisha kuwa mheshimiwa rais hakuvunja katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumuongezea jaji wa mahakama ya rufaa ambaye ni jaji mkuu Professor Ibrahimu Juma kuendelea kubaki ofisini

Jaji G.N.Isaya amesema nafasi ya kukata rufaa ipo dhidi ya hukumu iliyotolewa leo ya kutupilia mbali kesi iliyofunguliwa na Humphrey Simon Malenga.
......

Soma hukumu nzima source :
Having determined the issues above, I find the petition without
merit. It stands dismissed. No order as to costs.
Order accordingly. (
signed
G.N.Isaya
Judge

22.09.2023.

Court: Judgment delivered in open court this 22nd day of September, 2023 in the presence of Mr. Ipilinga Panya and Aliko Harry Mwamanenge,
Learned Advocates for the petitioner. Ms. Victoria Lugndo, State Attorney, for the Respondent, Ms. Catherine Shenkunde (B/C), and Hon. Chilemba
Chikawe (JLA). /

G.N.Isaya
Judge

22.09.2023
Right of Appeal fully explained. /
G.N.Isaya Judge
22.09.2023
Page 33 of 33


Humphrey Simon Malenga versus The Hon. Attorney Genaral (MISCELLANEOUS CIVIL CAUSE NO. 07 OF 2023) [2023] TZHC 7 (22 September 2023)​


Pia soma: Mwanasheria afungua kesi kupinga Jaji Mkuu kubaki kazini baada ya muda wa kustaafu kupita
Ilishafahamika huku ingekuwaje hii Tz
 
Mifano yangu ni michache tu katika kuelezea jambo hili;

Hakuna mtu anaweza kuung'ata mkono unao mlisha.​

Hakuna mtu anaweza kukata tawi la mti alilokalia​
 
Kwani CHADEMA ndio walifungua kesi?. Halafu Tanzania hatuna majaji, jua hivyo. Mtu anaokotwa from anywhere anapewa ujaji. Zamani ujaji ulikuwa unapata kutoka kwenye utumishi wa mahakama. Siku hizi inabebwa tu mtaani unapewa ujaji.
Unabisha na hilo mkuu- ukipenda single mother penda na watoto wake na hata ikibidi na ex husband
 
22 September 2023
Masijala ya Mahakama Kuu
Dar es Salaam

Kesi namba 7 ya 2023 ya Humphrey Simon Malenga dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali leo imetolewa hukumu yake .

Humphrey Simon Malenga alifungua kesi, ili Mahakama Kuu itafsiri kama rais alivunja katiba au la kwa muuongezea muda wa kubaki ofisini baada ya jaji mkuu Profesa Ibrahimu Juma kufikisha muda wa kustaafu wa miaka 65.

Katika hukumu hiyo ya kurasa 33 Mahakama Kuu imejiridhisha kuwa mheshimiwa rais hakuvunja katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumuongezea jaji wa mahakama ya rufaa ambaye ni jaji mkuu Professor Ibrahimu Juma kuendelea kubaki ofisini

Jaji G.N.Isaya amesema nafasi ya kukata rufaa ipo dhidi ya hukumu iliyotolewa leo ya kutupilia mbali kesi iliyofunguliwa na Humphrey Simon Malenga.
......

Soma hukumu nzima source :
Having determined the issues above, I find the petition without
merit. It stands dismissed. No order as to costs.
Order accordingly. (
signed
G.N.Isaya
Judge

22.09.2023.

Court: Judgment delivered in open court this 22nd day of September, 2023 in the presence of Mr. Ipilinga Panya and Aliko Harry Mwamanenge,
Learned Advocates for the petitioner. Ms. Victoria Lugndo, State Attorney, for the Respondent, Ms. Catherine Shenkunde (B/C), and Hon. Chilemba
Chikawe (JLA). /

G.N.Isaya
Judge

22.09.2023
Right of Appeal fully explained. /
G.N.Isaya Judge
22.09.2023
Page 33 of 33


Humphrey Simon Malenga versus The Hon. Attorney Genaral (MISCELLANEOUS CIVIL CAUSE NO. 07 OF 2023) [2023] TZHC 7 (22 September 2023)​


Pia soma: Mwanasheria afungua kesi kupinga Jaji Mkuu kubaki kazini baada ya muda wa kustaafu kupita
Nothing new, hakuna hukuma ya kwenda kinyume na serikali hasa kua against na aliewateua!!
 
1695468981530.png
 

Pia waziri leo 13 September 2023 , ameipongeza OWMS kwa kulinda haki na maslahi ya Serikali yasipokonywe ndani na nje ya nchi kwa kushinda kesi ambazo Serikali ilikuwa na haki na kuwa mabingwa katika kutetea vyema Serikali.
Vile mnavyoitetea Serikali na kushinda kwenye kesi zile ambazo Serikali ilikuwa na haki zile fedha ndiyo zinasaidia kuleta maendeleo ambapo tunajenga barabara, vituo vya afya, n.k. Ofisi hii ni muhimu ndiyo maana imekuwa Ofisi maalum. Ofisi hii ya Wakili wa Serikali kama vile tunavyofahamu wale Mawakili wengine wanalinda na kutetea maslahi iwe ni ya taasisi au ya mtu mmoja, sasa yeye ni Wakili Mkuu wa Serikali,” amesisitiza Balozi Dkt. Pindi Chana
 
Hivi unapoulizwa swali ambalo jibu lake liko wazi halafu ukajibu Cha ajabu no nani anayeonekana bwege? Yaani wote tunajua kuwa 2+2=4 halafu mahakakama inasema tofauti ni nani aliyepoteza? Leo hii hata Mimi nimeamini kuwa Mahakama zetu no za hovyo. Sasa wananchi tuna kila Sababu ya kuziendea Mahakama za umma. Maandano!
 
Endelea kunywa wanzuki
Bado kitambo kidogo
Umefuatilia UN General Assembly recently?
Ngoja nikusaidie’ …stop lecturing us..the use of military intervention is…. Says Guinea’s Junta Leader’
Upuuzi
 
16 April 2024
Dar es Salaam, Tanzania

Upungufu wa majaji wa Mahakama Kuu na wa ngazi ya Rufaa Tanzania

Willy Mutunga and Ex-Chief Justice of Tanzania Mohamed Chande Othman Share Experience on Law

View: https://m.youtube.com/watch?v=MJSFhZsV01Y
Former Chief Justice of Kenya Willy Mutunga an alumni of UDSM and the Former Chief Justice of Tanzania Mohamed Chande Othman shares experience during the launch of the Tanzania Yearbook of Public Law 2022 at the Serena hotel in Dar es Salaam on April 16,2024.
Jaji mkuu mstaafu Chande asema kuna upungufu mkubwa wa majaji ngazi ya mahakama kuu, kiasi jaji mmoja anapangiwa kesi 300 kwa mwaka.

Pia anaogeza jaji mkuu mstaafu Chande Othman kuwa ngazi ya Mahakama ya Rufaa jaji wanapangiwa kesi 900 kila mwaka


Jaji mstaafu anasema wingi wa kesi humfanya jaji kuharakisha, kukosa kumbukumbu na ufanisi pia wa kazi kushuka.

Justice Mohamed Chande Othman anatoa mfano huko Afrika ya Kusini na Marekani ya Kaskazini jaji wa Mahakama Kuu husikiliza kesi 50 kwa mwaka kutokana na kuwepo idadi ya kutosha ya majaji katika nchi hizo tofauti na Tanzania kulipo na idadi kubwa ya kesi zinazo kwaelemea majaji ngazi ya Mahakama Kuu na ile ya Rufaa Tanzania

Mohamed Chande Othman​

Former Chief Justice of Tanzania​



Othman_1.png

Justice Mohamed Chande Othman is a former Chief Justice of Tanzania (2011-2016), a position held after having been a Judge of the High Court and later a Justice of Appeal with the Court of Appeal, Tanzania’s Apex Court. He currently serves as Eminent Person appointed by the UN Secretary General and charged with the examination of new information relating to the tragic death on 17-18th September, 1961 of the 2nd United Nations Secretary-General, Dag Hammarskjöld and other members of his party.
He is also Chairman of the Council, Sokoine University of Agriculture and Applied Sciences (SUA), Tanzania’s third largest public University; a member of the Board of Trustees of the Aga Khan University; a member of the Elders Council of the African Judges and Jurists Forum (AJJF); and a member of the Africa Group for Justice and Accountability (AGJA) – a Pan-African independent group of legal experts on International Humanitarian Law and Human Rights.
Justice Othman’s has served in various other capacities internationally, including as Chief of Prosecutions of the International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR); and as United Nations Human Rights Council‘s Independent Expert on the human rights situation in the Sudan
 
22 September 2023
Masijala ya Mahakama Kuu
Dar es Salaam

Kesi namba 7 ya 2023 ya Humphrey Simon Malenga dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali leo imetolewa hukumu yake .

Humphrey Simon Malenga alifungua kesi, ili Mahakama Kuu itafsiri kama rais alivunja katiba au la kwa muuongezea muda wa kubaki ofisini baada ya jaji mkuu Profesa Ibrahimu Juma kufikisha muda wa kustaafu wa miaka 65.

Katika hukumu hiyo ya kurasa 33 Mahakama Kuu imejiridhisha kuwa mheshimiwa rais hakuvunja katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumuongezea jaji wa mahakama ya rufaa ambaye ni jaji mkuu Professor Ibrahimu Juma kuendelea kubaki ofisini

Jaji G.N.Isaya amesema nafasi ya kukata rufaa ipo dhidi ya hukumu iliyotolewa leo ya kutupilia mbali kesi iliyofunguliwa na Humphrey Simon Malenga.
......

Soma hukumu nzima source :
Having determined the issues above, I find the petition without
merit. It stands dismissed. No order as to costs.
Order accordingly. (
signed
G.N.Isaya
Judge

22.09.2023.

Court: Judgment delivered in open court this 22nd day of September, 2023 in the presence of Mr. Ipilinga Panya and Aliko Harry Mwamanenge,
Learned Advocates for the petitioner. Ms. Victoria Lugndo, State Attorney, for the Respondent, Ms. Catherine Shenkunde (B/C), and Hon. Chilemba
Chikawe (JLA). /

G.N.Isaya
Judge

22.09.2023
Right of Appeal fully explained. /
G.N.Isaya Judge
22.09.2023
Page 33 of 33


Humphrey Simon Malenga versus The Hon. Attorney Genaral (MISCELLANEOUS CIVIL CAUSE NO. 07 OF 2023) [2023] TZHC 7 (22 September 2023)​


Pia soma: Mwanasheria afungua kesi kupinga Jaji Mkuu kubaki kazini baada ya muda wa kustaafu kupita
Kutoa hukumu inayomuadhibu mtu aliyekuteua ni almost haiwezekani..!!!
 
Back
Top Bottom