Mahakama Kuu yatupilia mbali kesi ya kupinga Ndugai kujiuzulu Uspika. Yasema hakuna ukiukwaji wa Katiba uliofanywa

Ndiyo mjue kuwa hapa hakuna mahakama ni matawi ya CCM
 
Ndiyo ujue kuna maigizo tupu
 
CCM ipo juu ya mamlaka zote
 
Nchi hii inahitaji maombezi maalum!
 
Huyu Mbatia hafai kuwa mwenyekiti wa NCCR kwa sababu anatumia vibaya cheo chake na pia anafuja fedha ya chama kwa kufanya maamuzi yasiyo na manufaa kwa chama.
 
Katibu wa Bunge amewekwa mfukoni hastahili nafasi hiyo!
 
Uzembe wako wa kutofuatilia story usituambukize!
Kama ni habari za story tu za mtaani sawa. Hizo tunazijua. Uliposema uliona barua ndiyo nikaona mwenzetu ulienda mbali umeona na barua hiyo kwa macho yako! Kumbe nawe ni mwenzangu tu wa story. Next time try to remain precisely on what you have seen.
 
Reactions: Tui

Kwa hiyo unafikiri Mbatia hakulijua hilo kabla ? Ishu hapa siyo kukataliwa bali ni hatua, na hatua tumepiga kuelekea uelekeo sahihi, imesaidia watu hata kujishughulisha na Katiba yetu inavyokanyagwa, kuna mtu ambaye alikuwa hana uelewa wowote kapata kitu.

Mapambano yanaendelea, …
 
Yanii hii kesi naiona nyepesi sana ata kama hujui sheria ila hapa majaji wamechemka vibaya mno! Akate rufaa tu labda
 
Mbatia hakua akimkingia kifua Job alichofanya ni kuhakikisha ya Ibrahim hayajirudii.
 

Wame tengeneza barua halisi inayokidhi matakwa ya katiba kuepuka kudhalilika

Maana katiba ipo wazi kabisa.
 
Hahahahah.....kwani Mbatia mwenyewe anasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…