Mahakama Kuu yatupilia mbali kesi ya kupinga Ndugai kujiuzulu Uspika. Yasema hakuna ukiukwaji wa Katiba uliofanywa

Tulimwambia Mbatia akatuona hatufai, Hakuna kesi ya kikatiba ambayo ilishawahi kupenya - Angechungulia kesi zote za kikatiba za Maheremu Mtikila kama zilishawahi kupenya...
Kaka usiseme kesi za mtikila hazikuwahi kupenya, amesaidia sana mabadiliko ya sheria nyingi sana nchini kwa mfano sheria ya kuweka watu kizuizini,sheria ya kuzuia mikutano ya kisiasa nk sheria nyingi sana.

Tuulize sisi wanasheria na ndio maana yeye ni mtu pekee aliyetunukiwa shahada ya Sheria ya heshima na TLS only him na wanasheria tuliona ni sawa kabisa jamaa was a true hero.
 
Kaka usiseme kesi za mtikila hazikuwahi kupenya, amesaidia sana mabadiliko ya sheria nyingi sana nchini kwa mfano sheria ya kuweka watu kizuizini,sheria ya kuzuia mikutano ya kisiasa nk sheria nyingi sana...
Haki ya vyama vyote vya siasa kutumia bure chombo cha habari cha serikali yaani TBC ilipatikana baada ya Mtikila kushinda kesi. Haki hii kutoka mwaka 2015 ni kama haipo tena, inabidi kuzimuliwa, idaiwe upya.
 
Wame tengeneza barua halisi inayokidhi matakwa ya katiba kuepuka kudhalilika

Maana katiba ipo wazi kabisa.
Mkuu Mbatia amefanya jambo jema sana. Na ukitaka kujua alichofanya Mbatia kina mashiko wewe angalia tovuti ya bunge na ukurasa wa twitter wa bunge wamefuta taarifa zao za kujiuzuru Ndugai.
 
Mbatia atajua hajui!
 
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imesema aliyekua Spika wa Bunge, Job Ndugai alifuata taratibu za kujiuzulu kwake kwa kuandika barua kwa Katibu wa Bunge hivyo ombi la kupinga utaratibu wa kujiuzulu kwake halina mashiko, namahakama imetupilia mbali maombi ya muomba shauri la mgogoro wa kikatiba Bw.James Mbatia.
 
Kama ni habari za story tu za mtaani sawa. Hizo tunazijua. Uliposema uliona barua ndiyo nikaona mwenzetu ulienda mbali umeona na barua hiyo kwa macho yako! Kumbe nawe ni mwenzangu tu wa story. Next time try to remain precisely on what you have seen.
Mpumbavu!
 
Yaani unaenda mahakamani na circumstantial evidence; watu si wanaandika tu hiyo barua yaishe.

Muhimu hapa ilikuwa ni kuokoa muda wa mahakama, yaani kuna watu wanataka kuzigeuza playground zao wakikosa njia za kutumia muda productively.
 
Yaani unaenda mahakamani na circumstantial evidence; watu si wanaandika tu hiyo barua yaishe.

Muhimu hapa ilikuwa ni kuokoa muda wa mahakama, yaani kuna watu wanataka kuzigeuza playground zao wakikosa njia za kutumia wao productively.
Bila shaka sasa hivi wamegundua kuwa si Watanzania wote ni vilaza kama wao, na hawatarudia tena ujinga wao huo!
 
Kiongozi wa Upinzania anakomalia Ndugai abaki kuwa spika kisa hajafuata katiba kujiuzulu ni u..........

Kwa afya ya Demokrasia huyu hastahili kubaki kuwa spika
 
Hajabwagwa bali Jamuhuri imejifanya yenyewe na kujinusa!
 
 
kumbe Mbatia kashinda maana imebidi barua sahihi iandikwe!!
Kama watu wakubwa wanaweza kufanya hivi kwa taifa, tunawafundisha nini vijana wetu?
 
Kaka usiseme kesi za mtikila hazikuwahi kupenya, amesaidia sana mabadiliko ya sheria nyingi sana nchini kwa mfano sheria ya kuweka watu kizuizini,sheria ya kuzuia mikutano ya kisiasa nk sheria nyingi sana...
TLS haitoi shahada ya sheria kwakua sio taasisi ya elimu.

Mtikila alipewa uanachama wa heshima wa TLS ila unachama huo unaukomo kwani hakuruhusiwa kufanya shughuli za uwakili kwakua hakusoma sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…