mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,840
- 2,381
Upuuz tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamezaliwa humu wapi!! By the way, Karia ni kabila gani? Ukiniuliza mimi nitakuambia mimi ni Msambaa wa Tanga! Jamali Malinzi alikuwa ni Mhaya wa Kagera! Je Wallace Karia ni Mdigo wa Tanga siyo!!Mbona hata wazazi wake wote wamezaliwa humu.tupe ushahidi km Karia ni muhamiji.
💉[emoji706][emoji706]
Mimi nataka TFF iongozwe na wenye mpira wao. Na siyo hawa wanasiasa wapigaji, kwa mgongo wa kuwa na elimu ya shahada ya chuo kikuu.Unataka atoke Bukoba?
Si ndiye Malinzi huyu huyu aliwahi kushika nafasi hapo TFF na madudu yake hata hayasemeki?
Kwa hiyo uwo ndio ushaidi nimesema nipeni ushaidi kama Karia nimuhamiaji.unaniletea habar ya kuwa wewe ni Msambaa .msimuhukumu mtu kisa hamumpendi tu.leo Obama ametawala ilihali mzazi mmoja hakuzaliwa kule.bado mpo kwenye ujima.Wamezaliwa humu wapi!! By the way, Karia ni kabila gani? Ukiniuliza mimi nitakuambia mimi ni Msambaa wa Tanga! Jamali Malinzi alikuwa ni Mhaya wa Kagera! Je Wallace Karia ni Mdigo wa Tanga siyo!!
Siyo yeye aliyeweka hizo kanuni,wadau wa mpira walitakiwa wazikatae siku nyingi kabla ya kipindi cha uchaguzi.Kwani ni uongo siyo Msomali? Sasa inakuwaje mtu atoke zake Somalia huko, halafu aje awawekee vikwazo vya kipuuzi Wazawa na wachezaji walio lipambania hili Taifa katika medani za mpira wa miguu, kuliongoza Shirikisho lao?
Kiongozi, kilichokataliwa ni ule udharula wa kesi yenyewe. Itaendelea tarehe 9 June. Maana uchaguzi bado uko mbali kuna muda wa kutosha kuamua kesi kabla ya tarehe ya uchaguzi.Mahakama Kuu Jiji Dar es salaam leo Julai 2, 2021 imetupilia mbali ombi la kusimamisha mchakato wa uchaguzi mkuu wa viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) uliopangwa kufanyika Agosti 7, 2021 Jiji la Tanga
Jaji Edwin Kakolaki alifikia uamuzi huo baada ya kukataa ombi la "matengenezo ya hali ya sasa (Maintenance of status Quo)" ambayo iliwasilishwa na mawakili wa mwombaji Ally Saleh ambaye alikuwa mmoja wa wagombea nafasi ya Urais katika Shirikisho hilo.
Kama mtu anacheza mpira halafu hasomi, basi akistaafu soka asitegemee historia yake ya kucheza kuupata uongozi. Uongozi unahitaji usomi, sio bla bla za historia... Halina historia yoyote ile ya kucheza mpira hapa nchini,
Wamepigwa mbele nyuma....Hizo hoja zilikuwa dhaifu mno, Ally Saleh alikuwa anapoteza muda bure
Alichofanya Karia ni kuwapelekea mahakama Katiba ya TFF tu.
Yaani Karia anaupiga mwingi sana, wapinzani wa Karia wamepigwa nje ndani.
Wewe ni mmoja wa wale wanao amini katika vyeti kama kigezo cha usomi, jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo. Tunahitaji TFF iongozwe na wachezaji wenyewe wa mpira wa miguu kama ilivyokua kwa Leodgar Tenga!Kama mtu anacheza mpira halafu hasomi, basi akistaafu soka asitegemee historia yake ya kucheza kuupata uongozi. Uongozi unahitaji usomi, sio bla bla za historia
Hasa mzee Mpiri na wajukuu zake 😀Kuna watakaonuna
Wewe ni mmoja wa wale wanao amini katika vyeti kama kigezo cha usomi, jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo. Tunahitaji TFF iongozwe na wachezaji wenyewe wa mpira wa miguu kama ilivyokua kwa Leodgar Tenga!
Na siyo hawa wanasiasa wapigaji. Wengine hata walikotokea, hatujui! Huku wahusika wakuu wakitengwa kwa vigezo mfu vya vyeti.
Wewe ndiyo kiazi kweli. Nani aliyesema kila mchezaji ni lazima aje kuongoza mpira?Acha ushamba sio kila mchezeji lazima aje kuongoza mpira. Pele, Maradona na wengine wengi hawajawahi kuwa viongozi wa mashirikisho yao. Leta Hoja acha uzazwa
Hoja kama hizi hutolewa na watu wasioenda shuleWewe ni mmoja wa wale wanao amini katika vyeti kama kigezo cha usomi, jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo. Tunahitaji TFF iongozwe na wachezaji wenyewe wa mpira wa miguu kama ilivyokua kwa Leodgar Tenga!
Ndio maana nakuita MBAGUZI! Unapomuita Msomali wakati ana uraia wa Tanzania na wewe unajinasibu MZaWA una tofauti gani na Kaburu wa Afrika ya Kusini??!?Kwani ni uongo siyo Msomali? Sasa inakuwaje mtu atoke zake Somalia huko, halafu aje awawekee vikwazo vya kipuuzi Wazawa na wachezaji walio lipambania hili Taifa katika medani za mpira wa miguu, kuliongoza Shirikisho lao?
Watanzania tunatambulika pia kwa makabila yetu! Na hilo liko wazi tu. Sasa uniambiee basi huyo Karia ni Kabila gani?Ndio maana nakuita MBAGUZI! Unapomuita Msomali wakati ana uraia wa Tanzania na wewe unajinasibu MZaWA una tofauti gani na Kaburu wa Afrika ya Kusini??!?
Utakua ni mmoja wa CHAWA wa huyo Msomali bila shaka, na pia upo kwenye payrol yake! Hivyo ni haki yako kusema hivi.Hoja kama hizi hutolewa na watu wasioenda shule