Kumbe aliombea magu afe! Haya kafa sasa lipa mabilioni ya shangazi!Malipo ni hapa hapa Duniani Brother.
Majibu yanajibiwa mdogomdogo bila papara, watanzania tuzidi kusugua goti Mwenye'Enzi.
Nasubiria mgao wangu kwa shangazi.!!
View attachment 1889715View attachment 1889717View attachment 1889718
gamboHuyu yeye nyavu ishakamata. Hachomoki.
Kila pingamizi aliloweka lilitupiliwa mbali!!!!!!Huyu yeye nyavu ishakamata. Hachomoki.
Ni BILLION 7 sio buku 7 mnazopewa hapo lumumba.Tutamchangia
Alidharau Sana utawala wa Sheria katika era ya Jiwe ,Sasa Sheria zinamtafuna.Kila pingamizi aliloweka lilitupiliwa mbali!!!!!!
Kuchomoka 0.000001%Tena hata mwaka mmoja haujaisha.
Musiba aombe Mungu amchukue mapema.
Alidharau Sana utawala wa Sheria katika era ya Jiwe ,Sasa Sheria zinamtafuna.
Amelaaniwa amtumainiae mwanadamu!!!Alidharau Sana utawala wa Sheria katika era ya Jiwe ,Sasa Sheria zinamtafuna.
Mkuu kuchomoka ni zero percent!!!!Kuchomoka 0.000001%
Kijazi kajibiwa na Mahiga tayari bado yule kiongozi wa kata wa zamani na wa sasaMagufuli kajibiwa,
Musiba kajibiwa.
Makonda is loading.
Huyo msiba anatuchora tuMalipo ni hapahapa duniani
Nalog off
Nadhani ulimanisha msiba aoelewe na shangaziNashauri Musiba amuoe huyo dada
hivi bado yupo uraiani?
kuna yule mwingine alisema tundu lissu shoga... magufuli aliwapa jeuri sana...Mungu Ni Mwema mambo yakutekana tupa kule yakafie mbele hukoKupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;
Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.
Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.
Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.