Mahakama Kuu Zanzibar yaamuru Cryprian Musiba kumlipa Fatma Karume Tzs 7.5 bilioni

Mahakama Kuu Zanzibar yaamuru Cryprian Musiba kumlipa Fatma Karume Tzs 7.5 bilioni

Hivi zile bilioni 1 alilipwa na yule askari pale mahakama kuu??
 
Kesi kufunguliwa Zanzibar.
This was very smart move, case ingefunguliwa bara ingechukua mda mrefu kukamilika, Zanzibar hakuna case nyingi kama dsm/bara.

Sasa baada ya order ya payment of 7.5Billion what next.

Kwa sasa Fatma anasubiria tu copy of decree aanze ukazaji hukumu/ execution.
Zifuatazo ni baadhi ya njia za ukazaji hukumu,
Mkazaji hukumu aweza kushililia mali za judgement debtor na kuziuza kufidia deni lake.
Pia aweza kukamata account za benki.
Pia aweza iomba mahakama kumfunga judgement debtor kama mfungwa wa madai (atalazimika kumuhudumia akiwa jela)
Wibilah twaufiq
 
Kila siku watu tunawaambia sponsa hua anafariki lakini bado una kuta jitu jeuriiiii....Wanamuona MUNGU km bb yao maana alituonya amelaaniwa mtu amtegemeae mwanadam...sasa acha apambane na hali yake
 
Naweza execute hio decree kwa kumuweka ndani tu as civil prisoner otherwise musiba Ana mbupu tu
 
Keep my words
.
Hamna kitu hapo. Hiyo hukumu ili iwe na meno dawa ivuke bahari na isomwe Bara..
Shangazi ni wakili na aliwakilishwa na wakili, je hayo usemayo hawakuyajua mpaka wakafungua kesi Zanzibar? Je mahakama kuu ya Zanzibar haiyajui hayo mpaka ikatoa hukumu isiyokuwa na meno? Ni kweli kweli, siamini.
 
Shangazi ni wakili na aliwakilishwa na wakili, je hayo usemayo hawakuyajua mpaka wakafungua kesi Zanzibar? Je mahakama kuu ya Zanzibar haiyajui hayo mpaka ikatoa hukumu isiyokuwa na meno? Ni kweli kweli, siamini.
Utaamini utakapo yaona matokeo..Jiulize mkosa yuko Bara, Aliekosewa alikuwa Bara, Kosa limetendeka Bara ilikuaje shitaka lifunguliwe Kisiwani Unguja?
 
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;

Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu. Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.

Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.

Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.
Hivi ameshaanza kulipa au bado?
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom