Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Anatamani akafukue Kaburi.Huyo msiba anatuchora tu
Kule zenji ameshapigwa kitanzi cha billions Kama fidia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatamani akafukue Kaburi.Huyo msiba anatuchora tu
Unavuna ulichopanda, hakuna namna.Malipo ni hapa hapa Duniani Brother.
Majibu yanajibiwa mdogomdogo bila papara, watanzania tuzidi kusugua goti Mwenye'Enzi.
Nasubiria mgao wangu kwa shangazi.!!
View attachment 1889715View attachment 1889717View attachment 1889718
Makonda never never ni system ukibisha tupo morocco prisizanMagufuli kajibiwa,
Musiba kajibiwa.
Makonda is loading.
Hayo mambo yako unyumbuni huko.MATAGA pitisheni bakuli kwenye magroupe yenu ya wasap [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Shangazi ni wakili na aliwakilishwa na wakili, je hayo usemayo hawakuyajua mpaka wakafungua kesi Zanzibar? Je mahakama kuu ya Zanzibar haiyajui hayo mpaka ikatoa hukumu isiyokuwa na meno? Ni kweli kweli, siamini.Keep my words
.
Hamna kitu hapo. Hiyo hukumu ili iwe na meno dawa ivuke bahari na isomwe Bara..
Utaamini utakapo yaona matokeo..Jiulize mkosa yuko Bara, Aliekosewa alikuwa Bara, Kosa limetendeka Bara ilikuaje shitaka lifunguliwe Kisiwani Unguja?Shangazi ni wakili na aliwakilishwa na wakili, je hayo usemayo hawakuyajua mpaka wakafungua kesi Zanzibar? Je mahakama kuu ya Zanzibar haiyajui hayo mpaka ikatoa hukumu isiyokuwa na meno? Ni kweli kweli, siamini.
Hivi ameshaanza kulipa au bado?Kupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;
Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu. Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.
Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.
Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.
Ndo imetoka hiyo...yaani maneno maneno tu upate mabilioniHivi ameshaanza kulipa au bado?
Kuna sehemu niliona wabunge wa covid19 walikua wanamchangia huyo bwege. Otherwise hata auze Figo zake zote hawezi ku raise hiyo amount.Ndo imetoka hiyo...yaani maneno maneno tu upate mabilioni