Mahakama nchini Kenya yatupilia mbali hoja za Raila Odinga

Mahakama nchini Kenya yatupilia mbali hoja za Raila Odinga

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Kweli kifo cha nyani miti yote huteleza, huyu mwamba ndiyo basi tena kwenye ndoto zake za kuwania Urais japo hatujui ya Mungu mengi.

Nchini Kenya mahakama ya juu haifati mkumbo wala power of the power inafata sheria na miongozo siyo sisi bongo. Mungu ibariki Kenya ila Tanzania lolote litupate maana raia hatujielewi tumekubali kuburuzwa.

====

Uamuzi huo umetolewa na Jaji Mkuu Martha Koome, baada ya kupitia pingamizi la aliyekuwa Mgombea Urais Raila Odinga na kusema uchaguzi ulikuwa halali.

Ruto ataapishwa Septemba 13, 2022 kuwa Rais wa 5 wa Kenya.
 
Kweli kifo cha Nyani miti yote huteleza huyu mwamba ndobasi tena kwenye ndoto zake za kuwania urais japo hatujui ya Mungu mengi. Nchini Kenya mahakama ya juu haifati MKUMBO wala power of the power inafata sheria na miongozo sio sisi bongonyoko. Mungu ibariki Kenya ila Tanzania lolote litupate maana Raia hatujielewi tumekubali kuburuzwa.
Kwa vile haiko judiciary siyo compromised, nakubali kuwa hukumu ni ya haki. Siyo Tanzania.
 
FB_IMG_16623174168032947.jpg
 
Kwa wanaoangalia mambo kwa jicho la kiuchunguzi wataelewa siasa za Kenya ni rahisi kwa sababu zinatumia msemo usemao mwenye kisu kikali ndio atakula nyama nyingi. Na hakuna namna Rutto angeshindwa labda angeshindana na Malaika.

Tofauti na siasa zetu ambazo ni sayansi na sanaa siasa za Kenya ni Sanaa na Rais Rutto ndio Mastermind wa Sanaa wa siasa za Kenya na ukweli ni kwamba kitendo Cha mahakama kubatilisha uchaguzi halali wa Kenya ni kitendo ambacho kingeigharimu Kenya milele, Kenya ipo salama chini ya Rutto na mchecho wowote ungetengeneza machafuko makubwa mno
 
Back
Top Bottom