Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
James OrengoNadhani huyu jamaa ni mmoja wa mawakili wa muzee nimemsikiliza, amekubali mahamuzi ya mahamaka ila kasema bado mahakama imetoa hukumu kisiasa so wanapanga kwenda juu zaidi...
Kesi ndio imekwisha hiyo,huyo akatafute kazi nyingine,alikula hela za Mzee Odinga,anaogopa kudaiwa.Katiba ya Kenya iko tofauti na U.S.A.Nadhani huyu jamaa ni mmoja wa mawakili wa muzee nimemsikiliza, amekubali mahamuzi ya mahamaka ila kasema bado mahakama imetoa hukumu kisiasa so wanapanga kwenda juu zaid...
Mbona KANU na Slogans zao walishajifia😂Harambeeee NYAYOOOO!!!!
Kwa wanaomfahamu WSR ni rasmi sasa kuwaSasa ni Rasmi Ruto ataapishwa ndani ya wiki 1 baada ya mahakama ya juu kuthibitisha kuwa alichaguliwa kihalali na hapakuwa na mizengwe wala dosari yoyote.
Raila hana budi kumpongeza Mhe. Rais Wiliam Ruto, Rais wa 5 wa Jamuhuri ya Kenya.
Acha false generalizations, hakuna kiru kama Africa. Afrika kusini haijawa hivyo licha ya Zuma kufunngwa. Kenya, former CJ yu hai licha ya kufuta uchaguzi wa Kenyata. Rwanda, wapo vizuri kielimu licha ya vita vya muda mrefu, Uswatini, wanakaa almost naked ( kwa kwetu) lakini wao ndo kwanza wanacheza hata ngoma hadharani. Yanajotokea Tz usiseme ni ya Afrika, NO!!!Na wewe uliamini kweli?
Hii ni Afrika ndugu!
TODAYS Kuna vitu bado wanaweza kupigania mahakamani ili kuifanya tume na njia za uchaguzi ziboroshwe zaidi kwa ajili ya uchaguzi wa siku zijazo.Kesi ndio imekwisha hiyo,huyo akatafute kazi nyingine,alikula hela za Mzee Odinga,anaogopa kudaiwa.Katiba ya Kenya iko tofauti na U.S.A.
Dah....Kumbe mlokole mwenzetu 😳 hallelujah ! 🤭Heko kwake, mlokole mwenzetu
Safi sana.Kweli kifo cha nyani miti yote huteleza, huyu mwamba ndiyo basi tena kwenye ndoto zake za kuwania Urais japo hatujui ya Mungu mengi....