Mahakama ya kadhi ndani ya Katiba - Tanzania

Mahakama ya kadhi ndani ya Katiba - Tanzania

Criterion

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2008
Posts
11,797
Reaction score
11,891
Ndugu zangu, nimeshtushwa sana na habari niliyoisoma hata jukwaani kwamba ccm inaandaa sura mpya katika katiba ya nchi itakayosimamia mahakama ya kadhi.

Sichukii dini na imani za watu lakini ninaangalia amani na mwelekeo wa tiafa hili kwa sasa. Kwa muda wote katia historia ya nchi yetu, serikali haijawahi kuwa na dini lakini raia wake wamepewa uhuru wa kuabudu dini wanazozitaka ili mradi wasivunje sheria.

Ni jambo lisilomithirika, kwa ccm kuiingiza nchi yetui kwenye dhahama hii wakat dunia nzima ikishuhudia tabu ambazo watu wanapata kutokana na kuwa na serikali zenye udini.

Ninaomba ndugu zetu wa ccm, acheni jambo hili. Hamjalifanyia utafiti ila mnafanya kinafiki ili kuwa impress wazanzibar wawape 2/3 na kutafuta kura kwa misingi ya udini. Msitupeleke huko. Mnafanya jambo la hatari kuliko yote mliyowahi kufanya.

Ninaomba suala la kadhi waachiwe waislam wenyewe walisimamie na kulitekelza kuliko serikali kujiingiza katika jambo la namna hii.

Ninatetemeka, nashindwa kuandika.

Wanaoitakia mema Tanzania, wakiwemo wana ccm, waisllam na watu wa dini zote, naomba tusimamie amani ya taifa hili ambayo sasa ccm imeama kuizika rasmi.

SITA UMEFANYA LINI RESEARCH HADI UKA VALIDATE KWAMBA MAHAKAMA YA KADHI ITAONDOA KERO ZA MUUNGANO? UNA MAAGANO GANI NA DAMU YA WANTANZANIA?
 
Kikwete anataka tumkumbuke kwa lipi sasa?yaani upuuzi wa mahakama ya kadhi ndani ya katiba!!nitaandamana peke yangu pumbavu ccm

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Tabby

CCM wajue kuwa wanaipeleka nchi kwenye vita ya dini! Madhehebu mengine ya kikristo yakidai mahakama zao kwenye katiba watawakatalia! Au wakidai lolote liwe kwenye katiba watakuwa na kigezo gani cha kuwakatalia. Let us wait and see. Labda kwa vile CCM ina risasi, itaua wakristo!
 
Last edited by a moderator:
Jana katibu wa bunge maalumu alisema suala hili limewekwa kando kwanza wewe umeyatoa wapi haya unapenda sna umbea binti.
 
Ccm wanaishi sayari gani wenzetu? Wakati dunia nzima sasa inajaa damu kwa sababu ya serikali za kidini, na watu hawalali wakifikiria namna ya kutatua tatizo hili la kidunia, ccm ndiyo inatupeleka huko kweli? Hivi hawa ccm ni binadamu wa kawaida ama ni viumbe gani?

Sasa, tunayokazi moja. Kila mtu mahali alipo ampe habari mwenzake, kuigomea katiba hii. Wakti wote ikikatiza katika eneo aliloko mtu mpenda amani, tuungane tuikatae kwa umoja bia kujali chama. Mauaji yanayotokea kwa udini hayachagui mwenye dini inayoua wala asiye nayo. Hayaangalii ni kiongozi ama raia. Ni afahali kuzuia kuliko kutibu. Ninajua kuna wana ccm wengi sana ambao hili suala halitawafurahisha. Tuunganeni tuikatae hii katiba ya wauaji. Hata wakisema tupige kura za wazi, tupigeni kinyume na katiba hii bila woga. Maisha yetu yanathamani kuliko tamaa ya viongzi wachache wa ccm.

Hawa jamaa wanataka kukaa madarakani kwa hata kwa laghai yoyote ile wanayoiona itawasaidia, no matter what matokeo yake ya baadae.
 
Na Kama aya yenye we inasema "Madhehebu ikiwemo Waislamu wana Uhuru wa kuanzisha mahakama ya kadhi Kwa mujibu wa Imani Yao na wataiendesha na kugharamia wenyewe" hapo kutakuwa na nongwa gani... Don't judge the book by its cover .... Wait and see the content, it is the content of the article that will matter!
 
ndugu zangu, nimeshtushwa sana na habari niliyoisoma hata jukwaani kwamba ccm inaandaa sura mpya katika katiba ya nchi itakayosimamia mahakama ya kadhi.

Sichukii dini na imani za watu lakini ninaangalia amani na mwelekeo wa tiafa hili kwa sasa. Kwa muda wote katia historia ya nchi yetu, serikali haijawahi kuwa na dini lakini raia wake wamepewa uhuru wa kuabudu dini wanazozitaka ili mradi wasivunje sheria.

Ni jambo lisilomithirika, kwa ccm kuiingiza nchi yetui kwenye dhahama hii wakat dunia nzima ikishuhudia tabu ambazo watu wanapata kutokana na kuwa na serikali zenye udini.

Ninaomba ndugu zetu wa ccm, acheni jambo hili. Hamjalifanyia utafiti ila mnafanya kinafiki ili kuwa impress wazanzibar wawape 2/3 na kutafuta kura kwa misingi ya udini. Msitupeleke huko. Mnafanya jambo la hatari kuliko yote mliyowahi kufanya.

Ninaomba suala la kadhi waachiwe waislam wenyewe walisimamie na kulitekelza kuliko serikali kujiingiza katika jambo la namna hii.

Ninatetemeka, nashindwa kuandika.

Wanaoitakia mema tanzania, wakiwemo wana ccm, waisllam na watu wa dini zote, naomba tusimamie amani ya taifa hili ambayo sasa ccm imeama kuizika rasmi.

Sita umefanya lini research hadi uka validate kwamba mahakama ya kadhi itaondoa kero za muungano? Una maagano gani na damu ya wantanzania?

hata kama wataingiza kwenye rasm mambo yote wanayotaka hatasaidia 2/3 wataitoa wap?
 
Ndugu zangu, nimeshtushwa sana na habari niliyoisoma hata jukwaani kwamba ccm inaandaa sura mpya katika katiba ya nchi itakayosimamia mahakama ya kadhi.

Sichukii dini na imani za watu lakini ninaangalia amani na mwelekeo wa tiafa hili kwa sasa. Kwa muda wote katia historia ya nchi yetu, serikali haijawahi kuwa na dini lakini raia wake wamepewa uhuru wa kuabudu dini wanazozitaka ili mradi wasivunje sheria.

Ni jambo lisilomithirika, kwa ccm kuiingiza nchi yetui kwenye dhahama hii wakat dunia nzima ikishuhudia tabu ambazo watu wanapata kutokana na kuwa na serikali zenye udini.

Ninaomba ndugu zetu wa ccm, acheni jambo hili. Hamjalifanyia utafiti ila mnafanya kinafiki ili kuwa impress wazanzibar wawape 2/3 na kutafuta kura kwa misingi ya udini. Msitupeleke huko. Mnafanya jambo la hatari kuliko yote mliyowahi kufanya.

Ninaomba suala la kadhi waachiwe waislam wenyewe walisimamie na kulitekelza kuliko serikali kujiingiza katika jambo la namna hii.

Ninatetemeka, nashindwa kuandika.

Wanaoitakia mema Tanzania, wakiwemo wana ccm, waisllam na watu wa dini zote, naomba tusimamie amani ya taifa hili ambayo sasa ccm imeama kuizika rasmi.

SITA UMEFANYA LINI RESEARCH HADI UKA VALIDATE KWAMBA MAHAKAMA YA KADHI ITAONDOA KERO ZA MUUNGANO? UNA MAAGANO GANI NA DAMU YA WANTANZANIA?

Kaka hiyo ni muvu ya kisiasa.Ili wanaopinga mahakama ya kadhi waichukie ukawa,itachorwa picha kuaminisha watu kama ukawa wangekuwepo suala hilo lisingepita.hapo ndipo ukawa wanaweza kupoteza wafuasi.Lakini bado mchakato kaka tusubri kura ya maoni,ikubukwe nafasi ya kampeni itakua sawa kwa kila mtu
 
CCM wajue kuwa wanaipeleka nchi kwenye vita ya dini! Madhehebu mengine ya kikristo yakidai mahakama zao kwenye katiba watawakatalia! Au wakidai lolote liwe kwenye katiba watakuwa na kigezo gani cha kuwakatalia. Let us wait and see. Labda kwa vile CCM ina risasi, itaua wakristo!
Hicho kitu hakipo huyu mleta mada kaamua kupotosha tu kwa matakwa yake anayojua yeye make hakuna sehemu suala hili limewekwa kwenye katiba badala yake limewekwa kando wakati busara zikitafutwa namna ya kulihendo.
 
Tatizo lako ni ushabiki na husda, huna la ziada. unataka kuishawishi jamii wa watanzania hasa wakristo kuwa mahakama ya kadhi italeta vita!? huenda ww ndio hujafanya utafiti juu ya hili. Znz, Kenya, Uganda, SA na hata Uingereza kutaja kwa uchache zinamahakama ya kadhi. je umeshawahi sikia kuwa mahakama hizo zimesababisha vita? mahakama ni chombo cha haki na kuwekewa utaratibu maalum kwa uendeshaji wake. By the way hiyo mahakama ww haitakuhusu sasa jasho la nn? hata hvy wewe endelea tu kutetemeka na pengine jiny...kabisa, lakini wapaswa kujua kuwa watu wa aina yako ndio watakao iingiza nchi kwny shida na si mahakama.
 
Hicho kitu hakipo huyu mleta mada kaamua kupotosha tu kwa matakwa yake anayojua yeye make hakuna sehemu suala hili limewekwa kwenye katiba badala yake limewekwa kando wakati busara zikitafutwa namna ya kulihendo.

Hakuna utata hapo wala handling techniques, nchi haina dini, mjadala wa nini? Kesho watadai kuwa kufuga nguruwe iwekwe kwenye katiba kuwa ni haramu and therefore marufuku! Wakristo watadai kuwa kuoa mke zaidi ya mmoja ni haramu iwekwe kwenye katiba, can you see CCM inatupeleka wapi. Nakuapia hayo yatakuja kama tukiendekeza haya mambo!
 
Sidhani kama hicho kitu kipo, na kama kitakuwepo, kwenye kura ya maoni hakitapita.
 
Back
Top Bottom