Mahakama ya kadhi ndani ya Katiba - Tanzania

Mahakama ya kadhi ndani ya Katiba - Tanzania

Waislam tulisha jitambua na hatudanganyiki.

Tumia nafsi yako, usitumie ya kwangu. Uislamu wangu siyo sawa na wako na usinilazimishe kuishi kama enzi za mtume na sitamani dada yangu apewe thumni, watoto wangu niliowapata kabla ya ndoa wapewe thumni.

ujinga wa kiongozi mmoja sasa unatafuna nchi yote. Kama kweli haya yatatokea.
 
Hata mimi sina muda wa kujibishana na galatians kama wewe tukutane kwenye box la kura 2015 .
Kwa sababu halinihusu na mimi ni Mtanzania, maana yake halina maslahi kwa taifa na ndiyo sababu halipaswi kuweno kwenye katiba ya taifa. Tena sina muda wa kuongea na wewe. Pita uende uendako lakini hakuna katiba yenye kadhi itakayopita. Labda isipigiwe kura na Watanzania. Subiri uone.
 
Wakatholiki Hatutakubali Kodi Zetu Zigharamie Mahakama Ya Waislamu. PAMOJA NA KWAMBA MTANI ANATEKELEZA AHADI ALIYOWAAHIDI WAISLAM WAKATI WA KAMPENI KUWA WAKIMCHAGUA ATAWALETEA MAHAKAMA YA KADHI KWA KUTUMIA KODI ZETU, WAKATHOLIKI TUMESHASTUKA, TUKO MACHO NA IMARA, MR 6 LETEN TU KAZI YETU ITAKUWA HAPANA.
 
yote hii ni upumbavu wa mzee tano jumlisha moja, sasa hivi wapemba washajua bila wao hakiendi kitu wanatupia chochote,
 
Kikwete anataka
tumkumbuke kwa lipi sasa?yaani upuuzi wa mahakama ya kadhi ndani ya
katiba!!nitaandamana peke yangu pumbavu ccm

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

tuko wengi mkuu, mie shashona gunia la kuvaa siku hiyo.
 
Hata mimi sina muda wa kujibishana na galatians kama wewe tukutane kwenye box la kura 2015 .

Yapo mambo ambayo uislamu unastahili kuyatafuta kwa nguvu zote ktk nchi hii badala ya upuuzi wa mahakama. Nini tulichokosa ktk mahakama ya kawaida? Siwezi kuwaza kama mufti au sheikh wa msikiti fulani. Mimi nimeenda shule na nastahili kuwa ktk level ya elimu yangu.

Uislamu hauna shule ya maana ktk nchi hii, hauna hospitali ya kujivunia, hakuna chuo kikuu cha kujivunia, halafu tunahangaikia mahakama itakolazimisha nitoe thumni. Sawa! Lakini pia itakayotoa thumni kwa dada yangu. it is stupid and rubbish!
 
Yapo mambo ambayo uislamu unastahili kuyatafuta kwa nguvu zote ktk nchi hii badala ya upuuzi wa mahakama. Nini tulichokosa ktk mahakama ya kawaida? Siwezi kuwaza kama mufti au sheikh wa msikiti fulani. Mimi nimeenda shule na nastahili kuwa ktk level ya elimu yangu.

Uislamu hauna shule ya maana ktk nchi hii, hauna hospitali ya kujivunia, hakuna chuo kikuu cha kujivunia, halafu tunahangaikia mahakama itakolazimisha nitoe thumni. Sawa! Lakini pia itakayotoa thumni kwa dada yangu. it is stupid and rubbish!

Endelea kuamini huo uharo ulioandika hapo juu ukadhani muislamu wa kipindi cha mchonga ndie huyu wa sasa hivi.

Eti hatuna shule wala hospital mawazo ya kipuuzi kabisa ngoja nikuache na ujinga wako.
 
Tatizo hamzijui kaz za hiyo mahakama. Wala hamhusiki huko


Kwa sisi tusioamini katika dini yeyote pesa zetu haiwezekani zitumike kushughulikia masuala tusiyohusiana nayo na hatuamini ktk njia hizo, kama sio kutengeneza vita ni kitu gani?.Wewe ukianza kutetea kwa imani yako na mimi nikakupinga kwa imani yangu tayari hapo tutakuwa tumeanza kubaguana sasa kanuni ya kubaguana mwisho wake ni mmbaya.
 
Ina maana watu hawajasoma rasimu?ni vigumu sana kuongeza hicho kisula,mtoa mada hizi habari umepewa na nani?
 
Waislamu wamepewa haki ya mahakama ya kadhi kuingizwa kwenye katiba,Haki ya kuchinja imekuwa ni haki ya waislamu.Nchi imeanza kusilimishwa polepole.
 
Wakatholiki Hatutakubali Kodi Zetu Zigharamie Mahakama Ya Waislamu. PAMOJA NA KWAMBA MTANI ANATEKELEZA AHADI ALIYOWAAHIDI WAISLAM WAKATI WA KAMPENI KUWA WAKIMCHAGUA ATAWALETEA MAHAKAMA YA KADHI KWA KUTUMIA KODI ZETU, WAKATHOLIKI TUMESHASTUKA, TUKO MACHO NA IMARA, MR 6 LETEN TU KAZI YETU ITAKUWA HAPANA.
haa haa na nyie kwa mfumo huu k, nadhani mapambio yote kanisani itakuwa ni hapana kwa katiba mpya.
 
Kwani kuna haki gani ambazo tumewahi kuzikosa kwa kukosekana mahakama ya kadhi?au ili mradi tuwe nazo tu?
 
Zanzibar ipo,Kenya waislam wachache ipo,UK ipo Afrika kusini ipo,nchi nyingi tu yan,Wakoloni walioleta Ukristo waliruhusu mpaka miaaka ya 1967 ndo Mwalim akaitoa, si mpya ni swala la kurudisha tu.
 
Wewe suala la mahakama ya kadhi linakuhusu nini au unasukumwa na chuki zako,eti unatetemeka! mbona suala la MOU hukutetemeka?
haa haa, mkuu chezea mfumo wewe? Tatizo la ccm ubaguzi ni kawaida yao, hata kwenye uislamu, serikali yao huitambua bakwata tu na sio taasisi zingine za kiislamu!
 
Leo tunataka kadhi,kesho tutapigana iongozwe na suni,shia au ahmadia!mwisho kila mtu ataamua ahukumiwe na mahakama yake!
 
Back
Top Bottom