MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,011
- 2,185
Waislam tulisha jitambua na hatudanganyiki.
Tumia nafsi yako, usitumie ya kwangu. Uislamu wangu siyo sawa na wako na usinilazimishe kuishi kama enzi za mtume na sitamani dada yangu apewe thumni, watoto wangu niliowapata kabla ya ndoa wapewe thumni.
ujinga wa kiongozi mmoja sasa unatafuna nchi yote. Kama kweli haya yatatokea.