Mahakama ya kadhi ndani ya Katiba - Tanzania

Mahakama ya kadhi ndani ya Katiba - Tanzania

Ndugu zangu, nimeshtushwa sana na habari niliyoisoma hata jukwaani kwamba ccm inaandaa sura mpya katika katiba ya nchi itakayosimamia mahakama ya kadhi.

Sichukii dini na imani za watu lakini ninaangalia amani na mwelekeo wa tiafa hili kwa sasa. Kwa muda wote katia historia ya nchi yetu, serikali haijawahi kuwa na dini lakini raia wake wamepewa uhuru wa kuabudu dini wanazozitaka ili mradi wasivunje sheria.

Ni jambo lisilomithirika, kwa ccm kuiingiza nchi yetui kwenye dhahama hii wakat dunia nzima ikishuhudia tabu ambazo watu wanapata kutokana na kuwa na serikali zenye udini.

Ninaomba ndugu zetu wa ccm, acheni jambo hili. Hamjalifanyia utafiti ila mnafanya kinafiki ili kuwa impress wazanzibar wawape 2/3 na kutafuta kura kwa misingi ya udini. Msitupeleke huko. Mnafanya jambo la hatari kuliko yote mliyowahi kufanya.

Ninaomba suala la kadhi waachiwe waislam wenyewe walisimamie na kulitekelza kuliko serikali kujiingiza katika jambo la namna hii.

Ninatetemeka, nashindwa kuandika.

Wanaoitakia mema Tanzania, wakiwemo wana ccm, waisllam na watu wa dini zote, naomba tusimamie amani ya taifa hili ambayo sasa ccm imeama kuizika rasmi.

SITA UMEFANYA LINI RESEARCH HADI UKA VALIDATE KWAMBA MAHAKAMA YA KADHI ITAONDOA KERO ZA MUUNGANO? UNA MAAGANO GANI NA DAMU YA WANTANZANIA?

Wewe suala la mahakama ya kadhi linakuhusu nini au unasukumwa na chuki zako,eti unatetemeka! mbona suala la MOU hukutetemeka?
 
Tatizo lako ni ushabiki na husda, huna la ziada. unataka kuishawishi jamii wa watanzania hasa wakristo kuwa mahakama ya kadhi italeta vita!? huenda ww ndio hujafanya utafiti juu ya hili. Znz, Kenya, Uganda, SA na hata Uingereza kutaja kwa uchache zinamahakama ya kadhi. je umeshawahi sikia kuwa mahakama hizo zimesababisha vita? mahakama ni chombo cha haki na kuwekewa utaratibu maalum kwa uendeshaji wake. By the way hiyo mahakama ww haitakuhusu sasa jasho la nn? hata hvy wewe endelea tu kutetemeka na pengine jiny...kabisa, lakini wapaswa kujua kuwa watu wa aina yako ndio watakao iingiza nchi kwny shida na si mahakama.

Sitakujibu maana umeanza na matusi. nasubiri wenye busara.
 
Tatizo lako ni ushabiki na husda, huna la ziada. unataka kuishawishi jamii wa watanzania hasa wakristo kuwa mahakama ya kadhi italeta vita!? huenda ww ndio hujafanya utafiti juu ya hili. Znz, Kenya, Uganda, SA na hata Uingereza kutaja kwa uchache zinamahakama ya kadhi. je umeshawahi sikia kuwa mahakama hizo zimesababisha vita? mahakama ni chombo cha haki na kuwekewa utaratibu maalum kwa uendeshaji wake. By the way hiyo mahakama ww haitakuhusu sasa jasho la nn? hata hvy wewe endelea tu kutetemeka na pengine jiny...kabisa, lakini wapaswa kujua kuwa watu wa aina yako ndio watakao iingiza nchi kwny shida na si mahakama.

Mkuu Masterproud umesema kweli kuna watu hapa ushabiki unawasumbua wanatazama mambo kwa jicho moja kama fundi saa wana chuki sanaaa.

Hilo la kusema ohh! vita sijui watu watakatwa mikono hizo ni sababu za kipuuzi wala hazina mashiko.
 
Last edited by a moderator:
daaaaa sasa tuanze kutafuta nchi za kukimbilia

utafute nchi ya kumbilia kwa sababu ya kusikia kuwa inapendekezwa uwepo wa mahakama ya kadhi? Me naona unatania ila ni utani mbaya sana. Siku nyingi nilikuwa nakuona unaakili kumbe.....mh!
 
Kwa sababu halinihusu na mimi ni Mtanzania, maana yake halina maslahi kwa taifa na ndiyo sababu halipaswi kuweno kwenye katiba ya taifa. Tena sina muda wa kuongea na wewe. Pita uende uendako lakini hakuna katiba yenye kadhi itakayopita. Labda isipigiwe kura na Watanzania. Subiri uone.

Wewe suala la mahakama ya kadhi linakuhusu nini au unasukumwa na chuki zako,eti unatetemeka! mbona suala la MOU hukutetemeka?
 
Si baadhi ya viongozi wa dini walibariki CCM waendelee na katiba?
 
Ndugu zangu, nimeshtushwa sana na habari niliyoisoma hata jukwaani kwamba ccm inaandaa sura mpya katika katiba ya nchi itakayosimamia mahakama ya kadhi.

Sichukii dini na imani za watu lakini ninaangalia amani na mwelekeo wa tiafa hili kwa sasa. Kwa muda wote katia historia ya nchi yetu, serikali haijawahi kuwa na dini lakini raia wake wamepewa uhuru wa kuabudu dini wanazozitaka ili mradi wasivunje sheria.

Ni jambo lisilomithirika, kwa ccm kuiingiza nchi yetui kwenye dhahama hii wakat dunia nzima ikishuhudia tabu ambazo watu wanapata kutokana na kuwa na serikali zenye udini.

Ninaomba ndugu zetu wa ccm, acheni jambo hili. Hamjalifanyia utafiti ila mnafanya kinafiki ili kuwa impress wazanzibar wawape 2/3 na kutafuta kura kwa misingi ya udini. Msitupeleke huko. Mnafanya jambo la hatari kuliko yote mliyowahi kufanya.

Ninaomba suala la kadhi waachiwe waislam wenyewe walisimamie na kulitekelza kuliko serikali kujiingiza katika jambo la namna hii.

Ninatetemeka, nashindwa kuandika.

Wanaoitakia mema Tanzania, wakiwemo wana ccm, waisllam na watu wa dini zote, naomba tusimamie amani ya taifa hili ambayo sasa ccm imeama kuizika rasmi.

SITA UMEFANYA LINI RESEARCH HADI UKA VALIDATE KWAMBA MAHAKAMA YA KADHI ITAONDOA KERO ZA MUUNGANO? UNA MAAGANO GANI NA DAMU YA WANTANZANIA?
Acha udini na unafiki mtoa mada.eti unatetemeka kufa kabisa kafiri wewe.
 
Hakuna utata hapo wala handling techniques, nchi haina dini, mjadala wa nini? Kesho watadai kuwa kufuga nguruwe iwekwe kwenye katiba kuwa ni haramu and therefore marufuku! Wakristo watadai kuwa kuoa mke zaidi ya mmoja ni haramu iwekwe kwenye katiba, can you see CCM inatupeleka wapi. Nakuapia hayo yatakuja kama tukiendekeza haya mambo!

Tatizo hamzijui kaz za hiyo mahakama. Wala hamhusiki huko
 
Kwa sababu halinihusu na mimi ni Mtanzania, maana yake halina maslahi kwa taifa na ndiyo sababu halipaswi kuweno kwenye katiba ya taifa. Tena sina muda wa kuongea na wewe. Pita uende uendako lakini hakuna katiba yenye kadhi itakayopita. Labda isipigiwe kura na Watanzania. Subiri uone.

Kwa hiyo ili suala lionekane linamaslahi na watanzania ni lazima liwe na maslahi kwako? je hao linalowahusu hilo suala si watanzania. By the way, neno lako sio sheria ambayo hata nayo sometimes huvunjwa
 
Hupaswi kuwa na muda na mimi wala yyt yuke bali wapaswa kuwa na muda na hoja zilizotolewa. mimi mf. nilipoeleza hata sikuwa na haja na nani kaandika bali nini kimeandikwa
 
Hupaswi kuwa na muda na mimi wala yyt yule bali wapaswa kuwa na muda na hoja zilizotolewa. mimi mf. nilipoeleza hata sikuwa na haja na nani kaandika bali nini kimeandikwa
 
Hakuna utata hapo wala handling techniques, nchi haina dini, mjadala wa nini? Kesho watadai kuwa kufuga nguruwe iwekwe kwenye katiba kuwa ni haramu and therefore marufuku! Wakristo watadai kuwa kuoa mke zaidi ya mmoja ni haramu iwekwe kwenye katiba, can you see CCM inatupeleka wapi. Nakuapia hayo yatakuja kama tukiendekeza haya mambo!

Tatizo hamzijui kaz za hiyo mahakama. Wala hamhusiki huko
 
Hicho kitu hakipo huyu mleta mada kaamua kupotosha tu kwa matakwa yake anayojua yeye make hakuna sehemu suala hili limewekwa kwenye katiba badala yake limewekwa kando wakati busara zikitafutwa namna ya kulihendo.

Usikatae, kwa mwendo wa CCM kuwaghiribu waislamu wapitishe katiba yao, they will do that maadamu wanajua kuwa waislamu tangu zamani wanataka mahakama ya kadhi.
 
Kuweka mahkama ya kadh cyo tatzo Kwan hata Uingereza ni Relogion states(anglican) lkn kuna mahkama ya kadh na hii.mahkama weng mnapotosha kwa sbb ya kutoelewa au manufaa yenu mahkama ya kadh ktk nch icyo ya kidin inahusika maeneo 3 NDOA,TALAKA na MIRATHI na ji kwa waislam tu wengne nenden kwenye hzo mahkama za kawaida kwa waislam hayo mambo.yote ni ibada mbona hamlalamik kwanin waislam wanafunga? au wanaswal ijumaa yote hayo ni utaratibu wa din yao
 
Tatizo hamzijui kaz za hiyo mahakama. Wala hamhusiki huko

Tunajua sana kazi ya hiyo mahakama, tumesoma we are not lay man. Lawyers, Judges , magistrates, priests, bishops, sheikhs etc- Humu JF kuna wasomi usiowadhania.
 
Tatizo lako ni ushabiki na husda, huna la ziada. unataka kuishawishi jamii wa watanzania hasa wakristo kuwa mahakama ya kadhi italeta vita!? huenda ww ndio hujafanya utafiti juu ya hili. Znz, Kenya, Uganda, SA na hata Uingereza kutaja kwa uchache zinamahakama ya kadhi. je umeshawahi sikia kuwa mahakama hizo zimesababisha vita? mahakama ni chombo cha haki na kuwekewa utaratibu maalum kwa uendeshaji wake. By the way hiyo mahakama ww haitakuhusu sasa jasho la nn? hata hvy wewe endelea tu kutetemeka na pengine jiny...kabisa, lakini wapaswa kujua kuwa watu wa aina yako ndio watakao iingiza nchi kwny shida na si mahakama.

WAKATHOLIKI HATUITAKI MAHAKAMA YA KADHI Kabisa.
 
Kuweka mahkama ya kadh cyo tatzo Kwan hata Uingereza ni Relogion states(anglican) lkn kuna mahkama ya kadh na hii.mahkama weng mnapotosha kwa sbb ya kutoelewa au manufaa yenu mahkama ya kadh ktk nch icyo ya kidin inahusika maeneo 3 NDOA,TALAKA na MIRATHI na ji kwa waislam tu wengne nenden kwenye hzo mahkama za kawaida kwa waislam hayo mambo.yote ni ibada mbona hamlalamik kwanin waislam wanafunga? au wanaswal ijumaa yote hayo ni utaratibu wa din yao
Uko sahihi, kwani nani kawakataza. Kwa nini kwenye katiba? Naomba jibu
 
Back
Top Bottom