Mahakama ya kadhi ndani ya Katiba - Tanzania

Mahakama ya kadhi ndani ya Katiba - Tanzania

Ndugu zangu, nimeshtushwa sana na habari niliyoisoma hata jukwaani kwamba ccm inaandaa sura mpya katika katiba ya nchi itakayosimamia mahakama ya kadhi.

Sichukii dini na imani za watu lakini ninaangalia amani na mwelekeo wa tiafa hili kwa sasa. Kwa muda wote katia historia ya nchi yetu, serikali haijawahi kuwa na dini lakini raia wake wamepewa uhuru wa kuabudu dini wanazozitaka ili mradi wasivunje sheria.

Ni jambo lisilomithirika, kwa ccm kuiingiza nchi yetui kwenye dhahama hii wakat dunia nzima ikishuhudia tabu ambazo watu wanapata kutokana na kuwa na serikali zenye udini.

Ninaomba ndugu zetu wa ccm, acheni jambo hili. Hamjalifanyia utafiti ila mnafanya kinafiki ili kuwa impress wazanzibar wawape 2/3 na kutafuta kura kwa misingi ya udini. Msitupeleke huko. Mnafanya jambo la hatari kuliko yote mliyowahi kufanya.

Ninaomba suala la kadhi waachiwe waislam wenyewe walisimamie na kulitekelza kuliko serikali kujiingiza katika jambo la namna hii.

Ninatetemeka, nashindwa kuandika.

Wanaoitakia mema Tanzania, wakiwemo wana ccm, waisllam na watu wa dini zote, naomba tusimamie amani ya taifa hili ambayo sasa ccm imeama kuizika rasmi.

SITA UMEFANYA LINI RESEARCH HADI UKA VALIDATE KWAMBA MAHAKAMA YA KADHI ITAONDOA KERO ZA MUUNGANO? UNA MAAGANO GANI NA DAMU YA WANTANZANIA?

Meaning Tanganyika?
 
Huko kenya,uganda na uk zimesaidia nini?au tuweke tu kwa sababu wao wameweka?kip unakimiss ukihukumiwa na mahakama zetu?
 
Swali langu ni dogo tu.
Hiyo rasmu itapigiwa kura na watz ili iwe katiba?
Mijitu mivivu hata haina msaada kwa nchi zaidi ya chokochoko za kidini alafu kodi yangu iwalipe wala nguruwe kwa siri. Haya masisiemu yaangalie sn.
 
Nianza kusaka pakwenda mapema niandae mazingira hali ya hewa inanipa hofu.
 
Huko kenya,uganda na uk zimesaidia nini?au tuweke tu kwa sababu wao wameweka?kip unakimiss ukihukumiwa na mahakama zetu?
Wanataka kuiga hata mambo ya kipumbabu. Km kwa mfano wakenya wanakula miraa nasisi tuanze. Km mombasa republican wanataka kujitenga na hapa mikoa yetu ianze. Viongozi wa ccm ni km wana laana. Si mnaona kikwete alivovuruga bunge la katiba kwa mkusudi? Na hii dhambi haimuachi
 
ccm hapo ndo huwa wanaonekana dhahili kwamba akili yao ni ndogo sana.
 
Makafiri mahakama haiwahusu nyinyi kinauwaumeni nini ?
 
haa haa, kwa njia hii watanzania tusipokuwa makini mchakato huu wa katiba mpya utalipasua taifa!

Upasuke mara ngapi? ndio vizuri wanafki wajulikane watu walijua ni serikali mbili au tatu hata hili ni kubwa zaidi.
 
Zanzibar ipo,Kenya waislam wachache ipo,UK ipo Afrika kusini ipo,nchi nyingi tu yan,Wakoloni walioleta Ukristo waliruhusu mpaka miaaka ya 1967 ndo Mwalim akaitoa, si mpya ni swala la kurudisha tu.

hatutaki upuuzi huo
 
Hata kama wakiingiza mahakama ya Kadhi kwenye katiba lakini wahakkishe inagharamiwa na waislam wenyewe. Haiwezekani kodi yangu iendeshe mahakama ya mtu anaeniita KAFIR
 
Hata kama wakiingiza mahakama ya Kadhi kwenye katiba lakini wahakkishe inagharamiwa na waislam wenyewe. Haiwezekani kodi yangu iendeshe mahakama ya mtu anaeniita KAFIR

mkuu Kakende hakuna cha kuiweka, hatutaki kabisaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu, nimeshtushwa sana na habari niliyoisoma hata jukwaani kwamba ccm inaandaa sura mpya katika katiba ya nchi itakayosimamia mahakama ya kadhi.

Sichukii dini na imani za watu lakini ninaangalia amani na mwelekeo wa tiafa hili kwa sasa. Kwa muda wote katia historia ya nchi yetu, serikali haijawahi kuwa na dini lakini raia wake wamepewa uhuru wa kuabudu dini wanazozitaka ili mradi wasivunje sheria.

Ni jambo lisilomithirika, kwa ccm kuiingiza nchi yetui kwenye dhahama hii wakat dunia nzima ikishuhudia tabu ambazo watu wanapata kutokana na kuwa na serikali zenye udini.

Ninaomba ndugu zetu wa ccm, acheni jambo hili. Hamjalifanyia utafiti ila mnafanya kinafiki ili kuwa impress wazanzibar wawape 2/3 na kutafuta kura kwa misingi ya udini. Msitupeleke huko. Mnafanya jambo la hatari kuliko yote mliyowahi kufanya.

Ninaomba suala la kadhi waachiwe waislam wenyewe walisimamie na kulitekelza kuliko serikali kujiingiza katika jambo la namna hii.

Ninatetemeka, nashindwa kuandika.

Wanaoitakia mema Tanzania, wakiwemo wana ccm, waisllam na watu wa dini zote, naomba tusimamie amani ya taifa hili ambayo sasa ccm imeama kuizika rasmi.

SITA UMEFANYA LINI RESEARCH HADI UKA VALIDATE KWAMBA MAHAKAMA YA KADHI ITAONDOA KERO ZA MUUNGANO? UNA MAAGANO GANI NA DAMU YA WANTANZANIA?

kwa unafiki wa baadhi ya waislamu watasahahu yote aliyofanyiwa Sheikhe Ponda
 
Wakristo 75 percent waislam 20 percent Hindi plus wapagani utamalizia mwenyewe hata kwa bunduki hakuna mahakamani ya kadhiaaa,mkiwa na makesi yenu pelekeni huko Kenya kwenye hiyo mahakamani ya kadhiaaa
 
hatutaki upuuzi huo

Sasa upuuzi wangu nini kaka?inanikera Waislam wenzangu wanapo waita wasio waislam Makafiri sasa nimejua kwanini wanakosa kuwa wavumilivu.lkn Mimi inatataendelea kuwa na subra na nitaheshimu mitazamo mingine na kamwe hatuwezi kuwa sawa, ndio sifa ya binadam muhimu tuheshimiane.
 
Upasuke mara ngapi? ndio vizuri wanafki wajulikane watu walijua ni serikali mbili au tatu hata hili ni kubwa zaidi.
mkuu unafiki ndo uliotawala taifa hili, jk alijifanya anataka katiba mpya wakati siyo. Mchakato huu usipohairishwa utaliangamiza taifa!
 
Kuweka mahkama ya kadh cyo tatzo Kwan hata Uingereza ni Relogion states(anglican) lkn kuna mahkama ya kadh na hii.mahkama weng mnapotosha kwa sbb ya kutoelewa au manufaa yenu mahkama ya kadh ktk nch icyo ya kidin inahusika maeneo 3 NDOA,TALAKA na MIRATHI na ji kwa waislam tu wengne nenden kwenye hzo mahkama za kawaida kwa waislam hayo mambo.yote ni ibada mbona hamlalamik kwanin waislam wanafunga? au wanaswal ijumaa yote hayo ni utaratibu wa din yao

wekeni kwenye katiba ya misikiti yenu na siyo katiba ya taifa
 
Back
Top Bottom