Mahakama ya kadhi ndani ya Katiba - Tanzania

Mahakama ya kadhi ndani ya Katiba - Tanzania

Endelea kuamini huo uharo ulioandika hapo juu ukadhani muislamu wa kipindi cha mchonga ndie huyu wa sasa hivi.

Eti hatuna shule wala hospital mawazo ya kipuuzi kabisa ngoja nikuache na ujinga wako.

Sema ili tukuone ktk enzi ya Kikwete ulivyoweza kuondoa ujinga huo. Umejenga chuo chochote? Umejenga hospitali yoyote. Uongozi tulionao ni hoi! BAKWATA IS DEAD. Wengine ndo hao wanauza viwanja chang'ombe very prime area! Halafu unakuja unasema sijui mahakama, inisaidie nini nyumbani kwangu!

you seem to be deadwood of lowest quality. Mwaka huu wa 2014 unahitaji mahakama nje ya mfumo wa serikali? Shiiiit!
 
Tatizo lako ni ushabiki na husda, huna la ziada. unataka kuishawishi jamii wa watanzania hasa wakristo kuwa mahakama ya kadhi italeta vita!? huenda ww ndio hujafanya utafiti juu ya hili. Znz, Kenya, Uganda, SA na hata Uingereza kutaja kwa uchache zinamahakama ya kadhi. je umeshawahi sikia kuwa mahakama hizo zimesababisha vita? mahakama ni chombo cha haki na kuwekewa utaratibu maalum kwa uendeshaji wake. By the way hiyo mahakama ww haitakuhusu sasa jasho la nn? hata hvy wewe endelea tu kutetemeka na pengine jiny...kabisa, lakini wapaswa kujua kuwa watu wa aina yako ndio watakao iingiza nchi kwny shida na si mahakama.

wewe hujui kwamba nchi hizo zote ulizozitaja waislam ni wachache sana (less than 20%)? ukileta mahakama ya kadhi huku tanzania ambako waislam ni wengi (30-40%) na religious tensions already zipo huoni kama utakuwa unatibua mambo?
 
Watawala watanzania wanaraha sana kwa sabau asilimia kubwa wanaowaogoza niwajiga ndo maana wanafanya wanavyopenda maana hakuna wakuwauliza na wenye uelewa niwachache wamekuwa wakijarbu kupaza saut wananyamazshwa maana niwachache sana. Ombi langu wananch tuugane pamoja tuukatae uonevu huu wa watala
 
Ndugu zangu, nimeshtushwa sana na habari niliyoisoma hata jukwaani kwamba ccm inaandaa sura mpya katika katiba ya nchi itakayosimamia mahakama ya kadhi.

Sichukii dini na imani za watu lakini ninaangalia amani na mwelekeo wa tiafa hili kwa sasa. Kwa muda wote katia historia ya nchi yetu, serikali haijawahi kuwa na dini lakini raia wake wamepewa uhuru wa kuabudu dini wanazozitaka ili mradi wasivunje sheria.

Ni jambo lisilomithirika, kwa ccm kuiingiza nchi yetui kwenye dhahama hii wakat dunia nzima ikishuhudia tabu ambazo watu wanapata kutokana na kuwa na serikali zenye udini.

Ninaomba ndugu zetu wa ccm, acheni jambo hili. Hamjalifanyia utafiti ila mnafanya kinafiki ili kuwa impress wazanzibar wawape 2/3 na kutafuta kura kwa misingi ya udini. Msitupeleke huko. Mnafanya jambo la hatari kuliko yote mliyowahi kufanya.

Ninaomba suala la kadhi waachiwe waislam wenyewe walisimamie na kulitekelza kuliko serikali kujiingiza katika jambo la namna hii.

Ninatetemeka, nashindwa kuandika.

Wanaoitakia mema Tanzania, wakiwemo wana ccm, waisllam na watu wa dini zote, naomba tusimamie amani ya taifa hili ambayo sasa ccm imeama kuizika rasmi.

SITA UMEFANYA LINI RESEARCH HADI UKA VALIDATE KWAMBA MAHAKAMA YA KADHI ITAONDOA KERO ZA MUUNGANO? UNA MAAGANO GANI NA DAMU YA WANTANZANIA?

mkuu usiumize kichwa kwa jambo hilo ccm yenyewe inajipalia makaa kwenye moto mkali unafikiri ccm wote watakubali hiyo mahakama ya kadhi
 
usitushirikishe kwenye ibada yenu tena kwa kodi zetu, never. NATHUBUTU KUSEMA NI UPUUZI

Kwani hizi mahakama za sasa mbona zinahukumu kesi za waislam zinahusu talaka na urithi mbona haulalamiki juu ya kodi yako unayotoa? by the way hata waislam nao wanalipa kodi sio wakristo , kwa hiyo tunachotaka hapa ni kwamba ile kodi inayotolewa na waislam itumike kugharamia maswala hayo na nyie kodi yenu mnayotoa itashugulika na mabo ya ujambazi na mengineyo shida iko wapi?.

Alafu watakaohusika na mahakama hiyo ni waislam pekee yao wewe mkristo hautoguswa shida yako iko wapi mzee?
 
CCm ni magaidi, majambazi, watumia rushwa na kila aina ya hila. Wanaweza kulazimisha hata yasiyowezekana. Kama wamediriki kuchakachua katiba na mchakato wake, wanaweza wakadictate kwamba hicho wanachokifanya ndio iwe katiba. Tunakwenda wapi na watoto wetu?

Ee Mungu, Tanzania sasa siyo nchi ya kuwekeza tena. Hapakaliki hapa.

mkuu usiumize kichwa kwa jambo hilo ccm yenyewe inajipalia makaa kwenye moto mkali unafikiri ccm wote watakubali hiyo mahakama ya kadhi
 
Unapaswa uelewe katiba ya taifa ni kwa mambo ya kitaifa tu. Mahakama zilizopo zinashughulikia taifa zima. Hazipo kwa ajili ya dini fulani. Unaelewa. Tunachokikataza ni serikali kufanya masuala ya dini moja kuwa ya kitaifa. Pamoja na matumizi mabaya na kodi za watu wote, bado lilko suala muhimu zaidi la usimamizi wa serikali katika masuala ya imani za dini wakati serikali haina dini. Dunia sasa inamwaga damu kwa sababu ya seriakli zilizoingiza dini katika katiba. Wewe huangalii TV? Watu wanachinjana kwa sababu ya tawala za kidini. Na mauaji haya yanagusa wenye dini yao na wasio nayo. Huu ni mwanzo wa machafuko. Usilitazame juu juu ukadhan ni suala jepesi.
Kwani hizi mahakama za sasa mbona zinahukumu kesi za waislam zinahusu talaka na urithi mbona haulalamiki juu ya kodi yako unayotoa? by the way hata waislam nao wanalipa kodi sio wakristo , kwa hiyo tunachotaka hapa ni kwamba ile kodi inayotolewa na waislam itumike kugharamia maswala hayo na nyie kodi yenu mnayotoa itashugulika na mabo ya ujambazi na mengineyo shida iko wapi?.

Alafu watakaohusika na mahakama hiyo ni waislam pekee yao wewe mkristo hautoguswa shida yako iko wapi mzee?
 
CCm ni magaidi, majambazi, watumia rushwa na kila aina ya hila. Wanaweza kulazimisha hata yasiyowezekana. Kama wamediriki kuchakachua katiba na mchakato wake, wanaweza wakadictate kwamba hicho wanachokifanya ndio iwe katiba. Tunakwenda wapi na watoto wetu?

Ee Mungu, Tanzania sasa siyo nchi ya kuwekeza tena. Hapakaliki hapa.

km nakujua vilee
 
Ndugu zangu, nimeshtushwa sana na habari niliyoisoma hata jukwaani kwamba ccm inaandaa sura mpya katika katiba ya nchi itakayosimamia mahakama ya kadhi.

Sichukii dini na imani za watu lakini ninaangalia amani na mwelekeo wa tiafa hili kwa sasa. Kwa muda wote katia historia ya nchi yetu, serikali haijawahi kuwa na dini lakini raia wake wamepewa uhuru wa kuabudu dini wanazozitaka ili mradi wasivunje sheria.

Ni jambo lisilomithirika, kwa ccm kuiingiza nchi yetui kwenye dhahama hii wakat dunia nzima ikishuhudia tabu ambazo watu wanapata kutokana na kuwa na serikali zenye udini.

Ninaomba ndugu zetu wa ccm, acheni jambo hili. Hamjalifanyia utafiti ila mnafanya kinafiki ili kuwa impress wazanzibar wawape 2/3 na kutafuta kura kwa misingi ya udini. Msitupeleke huko. Mnafanya jambo la hatari kuliko yote mliyowahi kufanya.

Ninaomba suala la kadhi waachiwe waislam wenyewe walisimamie na kulitekelza kuliko serikali kujiingiza katika jambo la namna hii.

Ninatetemeka, nashindwa kuandika.

Wanaoitakia mema Tanzania, wakiwemo wana ccm, waisllam na watu wa dini zote, naomba tusimamie amani ya taifa hili ambayo sasa ccm imeama kuizika rasmi.

SITA UMEFANYA LINI RESEARCH HADI UKA VALIDATE KWAMBA MAHAKAMA YA KADHI ITAONDOA KERO ZA MUUNGANO? UNA MAAGANO GANI NA DAMU YA WANTANZANIA?

Mbona waislam hawana mashaka na MOU>? serikali kupitia kodi za waislam , wakristo na wapagani wasio na dini inatoa ruzuku kwa hospital za kikristo tena kiasi kikubwa cha fedha za walipa kodi, sehemu kubwa ya pesa hizo zinatumika kusomesha wataalam mbalimbali wa afya wa hospitali hizo na uendeshaji jambo ambalo mimi binafsi naamini limefanywa kwa dhamira njema , sasa wenzetu mnakuaje kuwa na hofu juu ya jambo ambalo tena linajadiliwa kwa uwazi katika chombo cha kutunga sheria mama ya Taifa letu?. minadhani kwa wale wenye hofu juu ya uwepo wa mahakama ya kadhi basi waombe maelezo ya kina juu ya jambo hilo na waislam tuwe tayari kutoa ufafanuzi wa kutosha ili kuwaondoa hofu ndugu zetu kama sisi tusivyokuwa na hofu juu ya MOU na mambo mengine.
 
Kwani kuna haki gani ambazo tumewahi kuzikosa kwa kukosekana mahakama ya kadhi?au ili mradi tuwe nazo tu?

Mf ndoa ya kislam hufungwa kwa mujibu wa taratibu za kidini, hata inapovunjika inapaswa kufuata taratibu za kidini sasa inakuaje kuozesha ndoa anaozesha shekh, alafu kuivunja anaivunja hakimu ambaye hajui hata taratibu zilizotumika kuifungisha ndoa ile? lakini vilevile kwa mujibu wa uislam mirathi ni jambo ambalo lipo kwa mujibu wa sharia, kwa hiyo ikiwa mtu uhai wake wote amekuwa anafuata uislam, mara baada ya kufa maswala ya urithi yanashughulikiwa na hakimu ambaye hajui uislam hapa huyu marehemu amenyimwa haki zake.na swala la mirathi ni sehemu ya ibada katika Uislam , hizi ni baadhi tu ya haki zinakosekana katika mfumo huu wa sasa.
 
Ndugu zangu, nimeshtushwa sana na habari niliyoisoma hata jukwaani kwamba ccm inaandaa sura mpya katika katiba ya nchi itakayosimamia mahakama ya kadhi.

Sichukii dini na imani za watu lakini ninaangalia amani na mwelekeo wa tiafa hili kwa sasa. Kwa muda wote katia historia ya nchi yetu, serikali haijawahi kuwa na dini lakini raia wake wamepewa uhuru wa kuabudu dini wanazozitaka ili mradi wasivunje sheria.

Ni jambo lisilomithirika, kwa ccm kuiingiza nchi yetui kwenye dhahama hii wakat dunia nzima ikishuhudia tabu ambazo watu wanapata kutokana na kuwa na serikali zenye udini.

Ninaomba ndugu zetu wa ccm, acheni jambo hili. Hamjalifanyia utafiti ila mnafanya kinafiki ili kuwa impress wazanzibar wawape 2/3 na kutafuta kura kwa misingi ya udini. Msitupeleke huko. Mnafanya jambo la hatari kuliko yote mliyowahi kufanya.

Ninaomba suala la kadhi waachiwe waislam wenyewe walisimamie na kulitekelza kuliko serikali kujiingiza katika jambo la namna hii.

Ninatetemeka, nashindwa kuandika.

Wanaoitakia mema Tanzania, wakiwemo wana ccm, waisllam na watu wa dini zote, naomba tusimamie amani ya taifa hili ambayo sasa ccm imeama kuizika rasmi.

SITA UMEFANYA LINI RESEARCH HADI UKA VALIDATE KWAMBA MAHAKAMA YA KADHI ITAONDOA KERO ZA MUUNGANO? UNA MAAGANO GANI NA DAMU YA WANTANZANIA?

Njia bora zaidi ya kuondoa hofu zako ndugu ni kuwashawishi viongozi wa kikristo na wao kuunda mahakama ya kikristo ili kubalance .
 
Ndugu zangu, nimeshtushwa sana na habari niliyoisoma hata jukwaani kwamba ccm inaandaa sura mpya katika katiba ya nchi itakayosimamia mahakama ya kadhi.

Sichukii dini na imani za watu lakini ninaangalia amani na mwelekeo wa tiafa hili kwa sasa. Kwa muda wote katia historia ya nchi yetu, serikali haijawahi kuwa na dini lakini raia wake wamepewa uhuru wa kuabudu dini wanazozitaka ili mradi wasivunje sheria.

Ni jambo lisilomithirika, kwa ccm kuiingiza nchi yetui kwenye dhahama hii wakat dunia nzima ikishuhudia tabu ambazo watu wanapata kutokana na kuwa na serikali zenye udini.

Ninaomba ndugu zetu wa ccm, acheni jambo hili. Hamjalifanyia utafiti ila mnafanya kinafiki ili kuwa impress wazanzibar wawape 2/3 na kutafuta kura kwa misingi ya udini. Msitupeleke huko. Mnafanya jambo la hatari kuliko yote mliyowahi kufanya.

Ninaomba suala la kadhi waachiwe waislam wenyewe walisimamie na kulitekelza kuliko serikali kujiingiza katika jambo la namna hii.

Ninatetemeka, nashindwa kuandika.

Wanaoitakia mema Tanzania, wakiwemo wana ccm, waisllam na watu wa dini zote, naomba tusimamie amani ya taifa hili ambayo sasa ccm imeama kuizika rasmi.

SITA UMEFANYA LINI RESEARCH HADI UKA VALIDATE KWAMBA MAHAKAMA YA KADHI ITAONDOA KERO ZA MUUNGANO? UNA MAAGANO GANI NA DAMU YA WANTANZANIA?
Magamba yanatafuta kura za waslam! Hayana pa kutokea mwakani ku.m. make Sitta safari hii utajibeba!! Hii sura inayohusu mahakama ya kadhi ilikuwamo kwenye rasmu jamani? Au magamba yameanza kuongeza ya kwake? Ku.m.make Sitta hii katiba yenu kama itapita nakuhakikishia Sitta nitakutafuta nikukojolee mdo.mo.ni!!
 
Hapa hakuna cha UKAWA wala nini. Ni suala la kuona wazi kwamba ccm wanamrengo wa kigaidi. Huwezi kutuwekea mfumo mwagaji damu huku unafahamu. Afadhil nchi zilizofanya makosa kama haya mwanzoni kama Nigeria, Syria, nk. Hawakufahamu inaweza kuja kuwa hivi. Lakin sisi kuingiza kichwa kwenye tanuru la moto hukku tukiona!. Hapana watanzania tuikataeni hii katiba bila kuangalia vyama wala dini. Haifai kwa mustakablia wa taifa letu.

Kaka hiyo ni muvu ya kisiasa.Ili wanaopinga mahakama ya kadhi waichukie ukawa,itachorwa picha kuaminisha watu kama ukawa wangekuwepo suala hilo lisingepita.hapo ndipo ukawa wanaweza kupoteza wafuasi.Lakini bado mchakato kaka tusubri kura ya maoni,ikubukwe nafasi ya kampeni itakua sawa kwa kila mtu
 
Unapaswa uelewe katiba ya taifa ni kwa mambo ya kitaifa tu. Mahakama zilizopo zinashughulikia taifa zima. Hazipo kwa ajili ya dini fulani. Unaelewa. Tunachokikataza ni serikali kufanya masuala ya dini moja kuwa ya kitaifa. Pamoja na matumizi mabaya na kodi za watu wote, bado lilko suala muhimu zaidi la usimamizi wa serikali katika masuala ya imani za dini wakati serikali haina dini. Dunia sasa inamwaga damu kwa sababu ya seriakli zilizoingiza dini katika katiba. Wewe huangalii TV? Watu wanachinjana kwa sababu ya tawala za kidini. Na mauaji haya yanagusa wenye dini yao na wasio nayo. Huu ni mwanzo wa machafuko. Usilitazame juu juu ukadhan ni suala jepesi.

Nchi gani wanayochinjana kwa ajili ya uwepo wa Mahakama ya kadhi?
Usipotoshe watu kama ww tu ndio mwenye tv.
Mahakama za kadhi zipo nchi nyingi tu ikiwemo kenya je nilini wakenya waliuwana kwa uwepo wa Mahakama ya kadhi?
Na kuhusu gharama ni wajibu wa serikali kugharamia wananchi wake
Na utambue waislam wa tz ni raiya kama walivyo raiya wengine. Ukumbuke kama kuna mahakama za nyumba zinagharamiwa na serikali lakini sio wtz wote wananyumba, mbona hili halimuoni? Hata hizi mahakama zilizopo zinagharamiwa na serikali lakini sio wtz kuwa majambazi au wameathirika na ujambazi.
Mm Baba yangu amekufa akiwa na miaka 75 sikuwahi kimuona kashtaki au kashtakiwa. Lakini alikuwa analipa kodi mm nina miaka 52 sijawahi kushtaki wala kushtakiwa ktk mahakama yoyote ile. Na nalipa kodi na sijawahi kutibiwa ktk hospitali za kikiristo zinazo pewa mabilioni ya tsh kutoka serikalini.
Kwahiyo ujue mahakama za kadhi ni wajibu wa serikali kuzikubali na kuzigharamia kwa kuwa zitahudumia wtz waislam. Kama zinavyo gharimiwa hospitali za kikiristo.
 
Nchi imekaa kwa Amani kipindi hiki chote, juzi watoto wamebishana wao kwa wao then makanisa 5 yakachomwa moto maeneo ya Dar na Znz hapo Mahakama ya Kadhi haijawekwa kikatiba, Je ikiwekwa kikatiba si tutapigana mawe afu tuambie ndo sheria isemavyo?
Hivi ni lazima muilazimishie hiyo kitu kwa taifa? Na wahindu nao walete mahakama zao, wakristo, wabudha na kila dini? Sasa wasio na dini waende wapi wakapate haki zao kisheria?
Mahakama zetu za sasa kazi yake itakuwa ni nini?

Kwa nini kila kukicha hamtaki kutulia kuangalia mambo ya muhimu ya kulikomboa taifa, kazi ni udini tuu, UISLAMU UISLAMU. Bana kuweni waungwana na ishini na jamii kwa ustaarabu. Kuna hadi taifa jipya Iraq la Kiislamu, mtu akihiisi anapenda Zaidi kuiahi kama wale sidhani kama Tz itamnyima haki yake ya kwenda kule, nendeni uharabuni huko mkaishi kama mpendavyo ila huku kusiko na dini kuacheni kama kuliko.

Ukitaka kupata waislamu wengi zaidi si muwahubirie watu kwa mihadhara nao wakipenda waje wenyewe but sio kwa vitu kama Kadhi OIC n.k
 
Huu ni umbumbumbu wa hali ya juu. Suala la mahakama ya kadhi kuingizwa kwenye katiba kutaifanya vipi Tanzania kuwa nchi ya kiislamu?.

Hili suala limo kwenye katiba ya Kenya na Uganda, mbona Kenya na Uganda hazijawa nchi za kiislamu?. Unajua maana ya mahakama ya kadhi ama unakurupuka tu na chuki zako za kitoto?.

Mbona kwa sasa tuna mahakama za kijeshi na za jadi hapa Tanzania, kwanini na hizi usizipigie kelele?.

Mahakama ya kadhi itakuwa inashughulikia mambo ya kiislamu ambayo yanashindikana katika mahakama zetu za kawaida. Mambo kama ndoa za kiislamu (mtu anaruhusiwa kuwa na wanawake mpaka wanne, mirathi nk).

Kwa kweli nashindwa kuwaelewa mijitu kama mleta maada mnaogopa vitu ambavyo havipo kabisa. Mnaogopa Tanzania kuwa mwanachama wa OIC kwa sababu hizohizo za kipuuzi, lakini mbona jirani zetu nchi zao ni wanachama wa OIC na nchi hazijawa za kiislamu?.

Mnaogopa uraia wa nchi mbili, sababu za maana hakuna.
Mnaogopa Tanzania kujiunga OIC, sababu za maana hakuna.
Mnaogopa Tanzania kuwa na mahakama ya kadhi, sababu za maana hakuna.

Mh Benjamini Mkapa alisema watanzania wengi wana wivu wa kike.
 
Back
Top Bottom