battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,712
- 2,577
Kuna uvumi kuwa bunge maalum la katiba limeongeza kifungu kipya kinacho ruhusu uwepo wa MAHAKAMA YA KADHI ndani ya katiba mpya.
Jambo hili tayari limeanza kuanzisha mijadala
indani ya forum yetu,na zimaanza kuleta hisia za udini.Wako wanaodhani kuwa uwepo wa mahakama hizo ni kama kuisilimisha Tanzania.Wako wanaoihusisha na vita vya kidini,lakini hawatowi hoja zilizo na mashiko Ajabu hii,watanzania na imani zetu tulio owana na kuchanganya damu bado tunaogopana?Serikali ni yetu wote.kama tunaipa dhamana fulani yenye maslahi kwa dini fulani yasiyo idhuru dini nyingine kuna ubaya gani?Mbona hata wakiristo wanafungu kubwa la fedha wanachotewa toka serikalini ili luendesha taasisi zao kama mahospitali na vyuo na tumeridhia.! Kwasababu sisi ndio wadau husika wa taifa na hizi ndizo haja zetu.Kwa nini munataka kuzua mgogoro wa kijinga?Waislamu ni sehemu ya Taifa hili .Katiba inayohaki ya kuweka utaratibu wa kila kundi katika taifa wa kuendesha shughulozake za kidini kwa uhuru na haki bila ya upendeleo wala kuathiri imani nyingine
Ila naona wanasaha:-
Jambo hili tayari limeanza kuanzisha mijadala
indani ya forum yetu,na zimaanza kuleta hisia za udini.Wako wanaodhani kuwa uwepo wa mahakama hizo ni kama kuisilimisha Tanzania.Wako wanaoihusisha na vita vya kidini,lakini hawatowi hoja zilizo na mashiko Ajabu hii,watanzania na imani zetu tulio owana na kuchanganya damu bado tunaogopana?Serikali ni yetu wote.kama tunaipa dhamana fulani yenye maslahi kwa dini fulani yasiyo idhuru dini nyingine kuna ubaya gani?Mbona hata wakiristo wanafungu kubwa la fedha wanachotewa toka serikalini ili luendesha taasisi zao kama mahospitali na vyuo na tumeridhia.! Kwasababu sisi ndio wadau husika wa taifa na hizi ndizo haja zetu.Kwa nini munataka kuzua mgogoro wa kijinga?Waislamu ni sehemu ya Taifa hili .Katiba inayohaki ya kuweka utaratibu wa kila kundi katika taifa wa kuendesha shughulozake za kidini kwa uhuru na haki bila ya upendeleo wala kuathiri imani nyingine
Ila naona wanasaha:-