mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
kwani mende anaona ubaya kukaa chooni na kulabua mavi!Naziona hasira na hofu zawatoto wa michepuko juu ya mahakama ya kadhi..mi sioni ubaya wa hii mahakama kama kweli itadeal na mambo hayo matatu tuu.yaani ndoa,mirathi nann sijui....ila habari zaku pigana mawe,.kukatana mikono tuwaachie waarabu jamani😎😎