Mahakama ya Kikatiba ya Msumbiji, yakubali kura zirudiwe kuhesabiwa

Mahakama ya Kikatiba ya Msumbiji, yakubali kura zirudiwe kuhesabiwa

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
07 November 2024
Maputo, Mozambique

MAHAKAMA YA KIKATIBA MOZAMBIQUE YAKUBALI MAOMBI YA CHAMA CHA PODEMOS, KURA ZIRUDIWE KUHESABIWE


View: https://m.youtube.com/watch?v=AVFt6_Ok56U

Chama cha upinzani PODEMOS nchini Mozambique pamoja na cha PAO wamepeleka ushahidi wa kilo Mia tatu za ushahidi katika karatasi, wakionesha uchafuzi wa uchaguzi uliofanyika Oktoba 9 2024 .

Vyama vya PODEMOS na PAO wameonesha ushahidi ambapo idadi ya kura zilizidi idadi ya watu walioandikishwa katika maeneo mbalimbali, ushahidi huu ni mojawapo ulioishawishi Mahakama ya Kikatiba kutaka kurudia kuhesabiwa kura kujua uhalali wa matokeo na washindi waliotangazwa.

Ghasia na maandamano yameliandama taifa hili la kusini mwa Afrika lilopata uhuru miaka ya 1970 na chama kongwe dola FRELIMO kutangazwa mshindi kwa zaidi ya miaka 40 toka uhuru.
 
Mahakama ya Katiba imekubali rufaa zilizowasilishwa na chama cha PODEMOS na PAO , kuhusiana na mzozo wa uchaguzi. Habari za leo za Moçambique mwezi 11/07/2024 katika vyanzo rasmi zimethibitisha.

Na hivyo Tume Huru ya Uchaguzi imeamriwa kutekeleza uamuzi huo na pia zoezi hilo liwe shirikishi pia la uwazi mawakala wa vyama kushiriki uhesabuji upya wa kura.
 
Beira, Mozambique

View: https://m.youtube.com/watch?v=yhCqOS2txlI
Mji wa bandari wa Beira wenye wafuasi wengi wa PODEMOS walijitokeza na mabango eneo maarufu la Charanga. Polisi wameendelea kufanya patrol kuhakikisha hali inakuwa ya utulivu kufuatia uamuzi wa Mahakama ya Kikatiba kutoa nafasi ya kurudiwa kuhesabiwa matokeo ya kura za uchaguzi mkuu wa bunge na majimbo pamoja na wa urais.
 
Kamisaa wa siasa FRELIMO - kuna njama za kupindua serikali

View: https://m.youtube.com/watch?v=vMH2Lph_8EI
Alcinda Abreu akiongea kuhusu maandamano ya kupinga ushindi wa FRELIMO katika uchaguzi wa Oktoba 9, 2024 ni jaribio la kuangusha ...wapinzani wanaelewa ukweli nani alishinda.

Matumizi ya ghasia kutaka kuvamia majengo ya serikali na fujo zingine ni njia za walioshindwa uchaguzi kutaka nchi isiwe na amani alisema Kamisaa huyo wa Siasa wa chama kongwe dola FRELIMO Bi. Alcinda Abreu akiongea kwa hisia na machozi yakimlengalega huku sauti ikionesha ameingiwa na taharuki kubwa kwa kinachoendelea nchini humo kwa sasa ...
 
UPINZANI MOZAMBIQUE MATOKEO WALIYOKUSANYA MBALI NA YALE YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI :

Matokeo ya uchaguzi mkuu wa 9 Oktoba 2024 nchini Mozambique yanaendelea kuingia taratibu, na majumuisho endelevu yanatoa picha hali ilivyo hadi 14 Oktoba 2024 huku zoezi likiendelea la majumuisho :

WATCH LIVE: Venancio Mondlane leading in Mozambique

View: https://m.youtube.com/watch?v=C3PGFuQt_5A
Presidential electionsWATCH LIVE as Gambakwe looks at the stunning lead by the opposition presidential candidate in Mozambique, Venancio Mondlane.The opposition party is showing great leadership with Venancio issuing press conferences and parallel voter tabulations as the counting continues.KEY EVENTS FOR TODAYAttached is the update of the actual data of the Mozambique General Elections in the 11 provinces of the country:I

IN MAPUTO TOWN (JIJI)
  • Daniel Chapo: 25.42%
  • Venâncio Mondlane: 69,98%
  • Osufo Momade: 1.95%
  • Luther Simango: 2.65%
IN MAPUTO PROVINCE (JIMBO)
  • Luther Simango: 3.47%
  • Daniel Chapo: 32.80%
  • Venâncio Mondlane: 61.51%
  • Osufo Momade: 2.22%
AT GAZA PROVINCE (JIMBO)
  • Luther Simango: 6.32%
  • Daniel Chapo: 54.90%
  • Venâncio Mondlane: 37.13%
  • Osufo Momade: 1.65%
IN INHAMBANE PROVINCE (JIMBO)
  • Luther Simango: 4.68%
  • Daniel Chapo: 48.10%
  • Venâncio Mondlane: 38.85%
  • Osufo Momade: 8.27%
IN THE PROVINCE OF SOFALA (JIMBO)
  • Luther Simango: 3.15%
  • Daniel Chapo: 35.61%
  • Venâncio Mondlane: 57.76%
  • Osufo Momade: 3.41%
IN THE PROVINCE OF MANICA (JIMBO)
  • Luther Simango: 3.83%
  • Daniel Chapo: 28.12%
  • Venâncio Mondlane: 65.15%
  • Ossufo Momade: 2.90%
IN TETE PROVINCE (JIMBO)
  • Luther Simango: 2.06%
  • Daniel Chapo: 41.11%
  • Venâncio Mondlane: 50.46%
  • Osufo Momade: 6.38%
IN THE PROVINCE OF ZAMBEZIA (JIMBO)
  • Luther Simango: 0.95%
  • Daniel Chapo: 36.14%
  • Venâncio Mondlane: 57.89%
  • Ossufo Momade: 5.52%
AT THE PROVINCE OF NAMPULA (JIMBO)
  • Luther Simango: 1.61%
  • Daniel Chapo: 36.80%
  • Venâncio Mondlane: 54.44%
  • Ossufo Momade: 7.15%
IN CAPE DELGADO PROVINCE (JIMBO)
  • Luther Simango: 3.20%
  • Daniel Chapo: 37.60%
  • Venâncio Mondlane: 53.95%
  • Ossufo Momade: 5.25%
AT NIASSA PROVINCE (JIMBO)
  • Luther Simango: 4.52%
  • Daniel Chapo: 49.90%
  • Venâncio Mondlane: 40.72%
  • Osufo Momade: 4.86
 
07 November 2024
Maputo, Mozambique

MAHAKAMA YA KIKATIBA MOZAMBIQUE YAKUBALI MAOMBI YA CHAMA CHA PODEMOS, KURA ZIRUDIWE KUHESABIWE


View: https://m.youtube.com/watch?v=AVFt6_Ok56U

Chama cha upinzani PODEMOS nchini Mozambique pamoja na cha PAO wamepeleka ushahidi wa kilo Mia tatu za ushahidi katika karatasi, wakionesha uchafuzi wa uchaguzi uliofanyika Oktoba 9 2024 .

Vyama vya PODEMOS na PAO wameonesha ushahidi ambapo idadi ya kura zilizidi idadi ya watu walioandikishwa katika maeneo mbalimbali, ushahidi huu ni mojawapo ulioishawishi Mahakama ya Kikatiba kutaka kurudia kuhesabiwa kura kujua uhalali wa matokeo na washindi waliotangazwa.

Ghasia na maandamano yameliandama taifa hili la kusini mwa Afrika lilopata uhuru miaka ya 1970 na chama kongwe dola FRELIMO kutangazwa mshindi kwa zaidi ya miaka 40 toka uhuru.

CCM ni chanzo cha vurugu zote hizo kwa kuwafundisha wizi wa kura.
 
CCM ni chanzo cha vurugu zote hizo kwa kuwafundisha wizi wa kura.

Chama rafiki cha CCM walipanga mikakati chuo cha vyama dola kongwe kusini mwa Afrika kilichopo Kibaha mkoani Pwani nchini Tanzania, ili kuigizana kufanya uchafuzi wa uchaguzi na kupora mchakato mzima wa uchaguzi .....

TOKA MAKTABA :
17 January 2023
Kibaha, Pwani
Tanzania

Vyama rafiki vya ukombozi vyakutana Tanzania kujadili namna ya kujiimarisha 'kiuchumi'

View: https://m.youtube.com/watch?v=TZVsvyvS5fk
Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Daniel Chongolo ameongoza mkutano wa kwanza wa kawaida wa kamati ya uongozi wa vyama rafiki wa ukombozi wa Afrika.Mkutano huo unajumuisha vyama vya siasa vya CCM (Tanzania), FRELIMO (Msumbiji) ZANU PF (Zimbabwe), MPLA (Angola), SWAPO (Namibia) na ANC (Afrika Kusini).Katibu Mkuu huyo amesema lengo la mkutano huo wa makatibu wakuu wa nchi hizo uliofanyika wilayani Kibaha mkoani Pwani kuwa ni kujadili mambo mbalimbali na namna ya kukiendesha chuo cha uongozi cha CCM.
 
Chama rafiki cha CCM walipanga mikakati chuo cha vyama dola kongwe kusini mwa Afrika kuijizana kufanya uchafuzi wa uchaguzi na kupora mchakato mzima wa uchaguzi .....

TOKA MAKTABA :
17 January 2023
Kibaha, Pwani
Tanzania

Vyama rafiki vya ukombozi vyakutana Tanzania kujadili namna ya kujiimarisha 'kiuchumi'

View: https://m.youtube.com/watch?v=TZVsvyvS5fk
Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Daniel Chongolo ameongoza mkutano wa kwanza wa kawaida wa kamati ya uongozi wa vyama rafiki wa ukombozi wa Afrika.Mkutano huo unajumuisha vyama vya siasa vya CCM (Tanzania), FRELIMO (Msumbiji) ZANU PF (Zimbabwe), MPLA (Angola), SWAPO (Namibia) na ANC (Afrika Kusini).Katibu Mkuu huyo amesema lengo la mkutano huo wa makatibu wakuu wa nchi hizo uliofanyika wilayani Kibaha mkoani Pwani kuwa ni kujadili mambo mbalimbali na namna ya kukiendesha chuo cha uongozi cha CCM.

🤣 🤣 🤣
 
07 November 2024
Maputo, Mozambique

MAHAKAMA YA KIKATIBA MOZAMBIQUE YAKUBALI MAOMBI YA CHAMA CHA PODEMOS, KURA ZIRUDIWE KUHESABIWE


View: https://m.youtube.com/watch?v=AVFt6_Ok56U

Chama cha upinzani PODEMOS nchini Mozambique pamoja na cha PAO wamepeleka ushahidi wa kilo Mia tatu za ushahidi katika karatasi, wakionesha uchafuzi wa uchaguzi uliofanyika Oktoba 9 2024 .

Vyama vya PODEMOS na PAO wameonesha ushahidi ambapo idadi ya kura zilizidi idadi ya watu walioandikishwa katika maeneo mbalimbali, ushahidi huu ni mojawapo ulioishawishi Mahakama ya Kikatiba kutaka kurudia kuhesabiwa kura kujua uhalali wa matokeo na washindi waliotangazwa.

Ghasia na maandamano yameliandama taifa hili la kusini mwa Afrika lilopata uhuru miaka ya 1970 na chama kongwe dola FRELIMO kutangazwa mshindi kwa zaidi ya miaka 40 toka uhuru.

Serikali ya Msumbiji iache Urafiki na CCM. La sivyo wataiharibu nchi yao. Huku CCM ni chama cha mafisadi na mapolisi na wanajeshi lakini raia wa kawaida hawana haki kabisa
 
7 November 2024
Lisbon, Portugal

HALMASHAURI KUU YA CHAMA (NEC) DOLA KONGWE FRELIMO YAONGEA NA WAANDISHI WA HABARI

Msumbiji: Frelimo inaunganisha maandamano ya baada ya uchaguzi na jaribio la mapinduzi na maslahi ya nje - Tazama​

6:17 | 07 Nov 2024

Frelimosp.yt_

Picha : TVM . Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama (NEC ) dola kongwe FRELIMO katibu wa Siasa na Uenezi Bi. Alcinda Abreu

Chama cha Frelimo kinasema kuwa kuna vuguvugu la kuviondoa madarakani vyama vilivyokomboa baadhi ya nchi katika bara la Afrika kupitia mapinduzi ya kijeshi na kwamba huenda ikawa hivyo nchini Msumbiji.

Akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari, chama tawala kongwe FRELIMO kilifahamisha kuwa kinaamini kuwa nchi hiyo ina maliasili ambazo baadhi ya nchi zinatamani
Ilikuwa ni kuwaomba raia wa Msumbiji kuheshimu Katiba ya Jamhuri na kutoa wito kwa wakazi kuwa na utulivu kupitia taarifa kwa umma toka Kamati ya Kisiasa ya Frelimo iliitisha mkutano na waandishi wa habari Jumatano jioni, katika jiji la Maputo.


Bi. Alcinda de Abreu, anayewakilisha Halmashauri Kuu ya chama hicho FRELIMO , aliwasilisha msimamo wa Frelimo kuhusu maandamano na uharibifu katika kupinga uchaguzi mkuu wa tarehe 9 Oktoba 2024.


"Msumbiji, nchi yetu nzuri na tunayopenda, inadhulumiwa kwa njia isiyo ya kawaida, inayoonyeshwa na maandamano ya vurugu ambayo yanaleta maombolezo, maumivu, uharibifu, na kuongezeka kwa njaa na umaskini ndani ya familia kubwa ya Msumbiji," alisema Alcinda de Abreu, anaripoti mwandishi wa shirika la habari la ABNA.

Halmashauri Kuu ya Taifa ya Kisiasa ya chama kongwe dola Frelimo,
"Imechukua miaka ya kazi ngumu kufikia hapa tulipo leo. Tunaelewa kuwa tumepitia nyakati ngumu za mizozo ya kiuchumi na kifedha, iliyosababishwa na sababu za ndani na nje, pamoja na ugaidi huko Cabo Delgado, lakini, kama raia wa Msumbiji, lazima tufanye kazi kwa maendeleo ya nchi, "alisema Bi. Alconda Abreu MNEC mjumbe wa NEC FRELIMO .

Msemaji wa kikao cha 36 cha kawaida cha halmashauri kuu ya chama cha Frelimo alisisitiza wazo la Waziri wa Ulinzi kwamba kuna watu wanaotaka kufanya mapinduzi.


"Frelimo, kama chama kilichoikomboa Msumbiji kutoka kwa ukoloni mkongwe wa Mreno , ni sehemu ya vuguvugu la ukombozi wa taifa, na leo kuna harakati za kuondoa vyama vilivyokomboa baadhi ya nchi za Kusini mwa Afrika ."


MNEC Alcinda de Abreu pia alisema kuwa nchi hiyo ina utajiri mkubwa wa maliasili ambazo baadhi ya nchi zinatamani na, kwa hivyo, huajiri watu "waliokengeushwa" ili kuchochea ukosefu wa utulivu nchini.
 
Back
Top Bottom