Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Mkuu hamna bomu la kupiga Tanzania nzima ndio ila kama Najua kuna Barracks gongo la mboto, mbagala, Ruvu n.k natuma kila kombora kivyake katika hizo coordinates. Mwendo wa kufikia huko ni hypersonic maana yatapishana sekunde tu 😀😀😀
Kwa Urusi itakuwa hivi: Makombora yake ya Nuklia hana hata limoja linalopiga 0 (Zero)Distance. Hii maana yake kama watamfikia say 5km, basi Nuklia yake au Hypersonic haina tena uwezo - haina manufaa kwake.

Ni kama tuseme katika scenario hii kwamba ww una bunduki lakini adui yako kajitahidi mpaka amekufikia na kakukwida shati au kukupiga kabali. Hiyo bunduki yako ujue haina uwezo tena haikusaidii -huwezi kuitumia tena bali hapo ni kupigana kwa ngumi, mweleka, mateke n.k. Hicho ndicho kinaenda kutokea kwa Putin.

Maadui wake US,NATO, EU na Ukraine wamemkaribia mno kiasi kwamba na maadui wengine tayari wapo ndani ya Urussi kwenyewe. Hapo hata yy atajiuliza anatumiaje Nuklia ndani ya nyumba yake mwenyewe kwa mfano? Hapo ni akimbie au akubaliane na matokeo vita iishe.
 
Hujui siasa za kimataifa na hufuatilii

Ataenda kwa usafiri upi wakati ndege zote za Russia zina vikwazo vya Anga Marekani

Pili yeye na familia yake hawaruhusiwi kukanyaga marekani wako blacklisted ulaya na marekani kwa majina yao
We jamaa una pumba mpaka basi😊
 
Vita part two wanawapa mwanya magenerali wa kirusi kupindua Russia kwa kumkamata kuwa wasipate shida wakimpindua kuwa wampeleke wapi ni the Hague

Hadi hilo tamko kutolewa ina maana assessment ya vita inaonyesha mwelekeo mzuri wa Putin kuchokwa ndani ya Russia kwenye inner circle za chama tawala na jeshi
Una akili sana

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kwa Urusi itakuwa hivi: Makombora yake ya Nuklia hana hata limoja linalopiga 0 (Zero)Distance. Hii maana yake kama watamfikia say 5km, basi Nuklia yake au Hypersonic haina tena uwezo - haina manufaa kwake. Ni kama tuseme katika scenario hii kwamba ww una bunduki lakini adui yako kajitahidi mpaka amekufikia na kakukwida shati au kukupiga kabali. Hiyo bunduki yako ujue haina uwezo tena haikusaidii -huwezi kuitumia tena bali hapo ni kupigana kwa ngumi, mweleka, mateke n.k. Hicho ndicho kinaenda kutokea kwa Putin. Maadui wake US,NATO, EU na Ukraine wamemkaribia mno kiasi kwamba na maadui wengine tayari wapo ndani ya Urussi kwenyewe. Hapo hata yy atajiuliza anatumiaje Nuklia ndani ya nyumba yake mwenyewe kwa mfano? Hapo ni akimbie au akubaliane na matokeo vita iishe.
Japo unaaandika pumba ila ngoja nikuulize swali,

Ni nchi gani iliyojaribu successful hypersonic missiles?
 
Wafinye Nuclear kama wanauwezo. Hii kitu mwisho wake ni WW3 amini kwamba.
Mkuu; Hakuna cha WW3. eneo la mapigano (frontline) itakuwa wapi? Urusi ndiye anayepigana na Mataifa hayo ambapo kwa sasa au hivi punde watakuwa ndani ya nchi ya Urusi. Akijichanganya basi atabomoa miundombinu yake mwenyewe, ataua raia wake mwenyewe yani atajiangamiza mwenyewe.

Ni kama tuseme nyuki amepenyeza na kuingia ndani ya shati lako. Huwezi kumpiga au kumwua bila kujipiga kibao/kofi ww mwenyewe.

Mrusi ameshasogezwa hadi kwenye kona. Ana shida ya Silaha, Askari, Mamluki wake ameshapishana nao (hawako tena in good terms), kuna askari wanagoma kuingia vitani, kuna vitendo vya hujuma vinavyo fanywa na makundi hasidi ndani ya Urussi.

Tuseme tu kwamba kiukweli Putin inavyoelekea ana wakati mgumu sana.
 
US alikua anatafuta uhalali wa kuingilia vita hii sasa ameupata. Lakini wasichokijua ni kwamba, Putin sio mtu wa kutishiwa sana na Kuna kila dalili kwamba atakua radhi kuachia nyuklia kuliko kukamatwa au kushuhudia mwisho wake ukiwa mwepesi.

Movie iendelee, tukumbuke kuweka akiba ya chakula.
 
OK; Sasa ni zamu ya Putin kusurrender au kukimbilia Uhamishoni kama alivyomtishia Zele eti nakupa 72 hrs. utekelezaji ufanyike chap. na mavifaru yake yenye nembo ya Z mlolongo km 64. Sasa kibao kimegeuka kwani atawindwa na wabobezi wa kimataifa(Interpol) mataifa 194. Kazi anayo.
Umeyawaza mwenyewe hayo au una msaidizi?
 
Wanatingisha tu mbuyu...

Dunia ya kinafiki sana, nani asiyejua kuwa ICC ni chombo cha US , na vyombo vingine...

Ni wazi dunia inajua unyama uliofanyika Iraq, Syria+ Libya....hujisikia ICC japo kumlaumu BUSH na kwanza Obama kapewa tuzo ya NOBEL.

Binadamu hata asome Vipi....ajiite amestaaribika kivipi..bado .hawezi kuwa adili...

Hasa kama watu hao hawaamini uwepo wa siku ya malipo...
Nani kasema BIDEN, BUSH + OBAMA wataishi mililele....

Hakuna anayependa vita ya UKRAINE3 ila unafiki wa westen block + US ...

.ipo siku tu NUCLEAR itarushwa...kwa mwenendo huu

By nature binadamu hawezegi kuvumilia muda wote ujanja ujanja kuona mtu mmoja anawendesha watu na anapata support tu ya kijinga.....

Hii ICC itabaki kwa wanaofaidika nayo. Na viinchi vya Africa...
 
Icc nao wapuuzi tu hawana jipya!! Wana nyavu za kuvua vidagaa tu, big fish hawatawaweza
Putin Ni miongoni mwa big fishes in the world ngoja tuone itakuwaje, labda alazimishe kushinda uchaguzi unaofuata alafu asitoke nje ya mipaka ya Russia
 
Majaji wa mahakama ya kimataifa (ICC),imetoa hati ya kukamatwa popote atakapopatikana rais wa urusi Vladimir Putin.

=====

Katika uamuzi wake, ICC imemtuhumu Rais wa Russia kuhusika na uhalifu wa kivita kutokana na kufanya uvamizi na kutwaa ardhi Nchini Ukraine ingawa Moscow imesema hatua hiyo haina maana yoyote.

View attachment 2555625

Pia, Hati ya Mahakama ya ICC imeeleza kuwa Rais Vladimir Putin aliagiza mashambulizi yaliyosababisha Watoto kuhamishwa kinyume cha Sheria pamoja na uhamisho usio halali wa Raia kutoka eneo la Ukraine na kuingia Nchini Urusi.

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi Maria Zakharova amesema "Maamuzi ya ICC hayana maana kwasababu Urusi haiko kwenye Mkataba wa Roma wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, hivyo haiwajibiki chini yake."
ICC ni 🚮
 
Putin kwa sasa atajilinda mno asipoteze madaraka, maana ndio njia pekee ya kujihakikishia usalama wake.
ikitokea kapanick anarusha makombora kwa wanaotaka kumkamata lawama zitakuwa juu ya nani
 
Back
Top Bottom