Mahakama ya mafisadi ni imeenda kusipojulikana

Mahakama ya mafisadi ni imeenda kusipojulikana

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Baada ya hayati Magufuli kujitahidi kushawishi Taasisi ya Mahakama kuanza kazi ya kutunga sheria na utaratibu wa mahakama ya Mafisadi,inaonesha nchi haikuwa tayari kulipokea wazo hilo kwani hadi hivi sasa hatujaona Mtu akifunguliwa mashtaka ya ufisadi na huenda kwa sababu wenye Mali ndiyo walaji wenyewe kwa hivo imekuwa ngumu kumkamata mtu mwenye ngozi.

Toka alipofariki hayati imekuwa hakuna hata chombo cha habari wala taasisi yeyote inayoongelea hii mahakama.

Leo Naileta kwako mahakama ya mafisadi imewaka kwa muda mfupi na kuzima hapo hapo kama umeme wa TANESCO.

Kwa ripoti ya CAG tungewadaka wengi ilaa ndiyo hivyo CCM inajimilikisha nchi na kukiuka sheria.

NIKUPONGEZE MADEREVA SEE YOU NEXT TO ARUSHA
 
Baada ya hayati Magufuli kujitahidi kushawishi Taasisi ya Mahakama kuanza kazi ya kutunga sheria na utaratibu wa mahakama ya Mafisadi,inaonesha nchi haikuwa tayari kulipokea wazo hilo kwani hadi hivi sasa hatujaona Mtu akifunguliwa mashtaka ya ufisadi na huenda kwa sababu wenye Mali ndiyo walaji wenyewe kwa hivo imekuwa ngumu kumkamata mtu mwenye ngozi.

Toka alipo fariki hayati imekuwa hakuna hata chombo cha habari wala taasisi yeyote inayoongelea hii mahakama.

Leo Naileta kwako mahakama ya mafisadi imewaka kwa muda mfupi na kuzima hapo hapo kama umeme wa TANESCO.

kwa ripoti ya CAG tungewadaka wengi ilaa ndiyo hivyo CCM inajimilikisha nchi na kukiuka sheria.

NIKUPONGEZE MADEREVA SEE YOU NEXT TO ARUSHA
IMEENDA ALIKOENDA ALIYEIANZISHA NCHI HAKUNA FISADI MAHAKAMA YA MAFISADI YA NINI?
 
Kwa Sasa haiwezi kuwepo hiyo mahakama Kwa sababu viongozi wote watafungwa kwenye hiyo mahakama.maana hakuna hata mmoja ambaye ni msafi Kwa Sasa isipokuwa Mimi tu
 
Labda alitaka ipewe jina la MAHAKAMA YA MAFISADI !!
 
Baada ya hayati Magufuli kujitahidi kushawishi Taasisi ya Mahakama kuanza kazi ya kutunga sheria na utaratibu wa mahakama ya Mafisadi,inaonesha nchi haikuwa tayari kulipokea wazo hilo kwani hadi hivi sasa hatujaona Mtu akifunguliwa mashtaka ya ufisadi na huenda kwa sababu wenye Mali ndiyo walaji wenyewe kwa hivo imekuwa ngumu kumkamata mtu mwenye ngozi.

Toka alipofariki hayati imekuwa hakuna hata chombo cha habari wala taasisi yeyote inayoongelea hii mahakama.

Leo Naileta kwako mahakama ya mafisadi imewaka kwa muda mfupi na kuzima hapo hapo kama umeme wa TANESCO.

Kwa ripoti ya CAG tungewadaka wengi ilaa ndiyo hivyo CCM inajimilikisha nchi na kukiuka sheria.

NIKUPONGEZE MADEREVA SEE YOU NEXT TO ARUSHA
Alipokuwepo ilishawahi kukamata hata Fisadi Mmoja?
 
Baada ya hayati Magufuli kujitahidi kushawishi Taasisi ya Mahakama kuanza kazi ya kutunga sheria na utaratibu wa mahakama ya Mafisadi,inaonesha nchi haikuwa tayari kulipokea wazo hilo kwani hadi hivi sasa hatujaona Mtu akifunguliwa mashtaka ya ufisadi na huenda kwa sababu wenye Mali ndiyo walaji wenyewe kwa hivo imekuwa ngumu kumkamata mtu mwenye ngozi.

Toka alipofariki hayati imekuwa hakuna hata chombo cha habari wala taasisi yeyote inayoongelea hii mahakama.

Leo Naileta kwako mahakama ya mafisadi imewaka kwa muda mfupi na kuzima hapo hapo kama umeme wa TANESCO.

Kwa ripoti ya CAG tungewadaka wengi ilaa ndiyo hivyo CCM inajimilikisha nchi na kukiuka sheria.

NIKUPONGEZE MADEREVA SEE YOU NEXT TO ARUSHA
Magufuli was evil hata Shetani mwenyewe alimuogopa. Unarundika watu rumande kwa sababu tu wanakuzidi fedha? Serious?

Kama wale matajiri walikuwa na hatia kwa nini basi kwa miaka yote 3 ya uwapo wa Mahakama ya mafisadi, hatukuona hata mtuhumiwa yeyote akikutwa na hatia?

Akaishia kuanzisha plea bargain ya mchongo. Watuhumiwa wote walikuwa wanatoa 80% ya fedha kwa Biswalo na Magufuli halafu 20% ndiyo ilikuwa inaingia vitabu vya Serikali.
 
Mahakama kuu division ya rushwa na uhujumu uchumi, mbona ipo na inafanya kazi kama kawaida
Hiyo Mahakama iko wapi? Na Majaji wake ni akina nani? Na kesi zinazoendelea ni zipi?
 
Baada ya hayati Magufuli kujitahidi kushawishi Taasisi ya Mahakama kuanza kazi ya kutunga sheria na utaratibu wa mahakama ya Mafisadi,inaonesha nchi haikuwa tayari kulipokea wazo hilo kwani hadi hivi sasa hatujaona Mtu akifunguliwa mashtaka ya ufisadi na huenda kwa sababu wenye Mali ndiyo walaji wenyewe kwa hivo imekuwa ngumu kumkamata mtu mwenye ngozi.

Toka alipofariki hayati imekuwa hakuna hata chombo cha habari wala taasisi yeyote inayoongelea hii mahakama.

Leo Naileta kwako mahakama ya mafisadi imewaka kwa muda mfupi na kuzima hapo hapo kama umeme wa TANESCO.

Kwa ripoti ya CAG tungewadaka wengi ilaa ndiyo hivyo CCM inajimilikisha nchi na kukiuka sheria.

NIKUPONGEZE MADEREVA SEE YOU NEXT TO ARUSHA
unasubiria updates zake kwenye page za Diamond na zuchu?

sisi wengine tuna updates za kila siku!
 
Mahakakama ipo mawasiliano (Simu 2000), nenda pale utapata majibu ya maswali yako mawili yaliyobaki.
Wewe uliyekwenda yajibu hayo. Mahakama siyo majengo bali ni mfumo
 
Wewe uliyekwenda yajibu hayo. Mahakama siyo majengo bali ni mfumo
Mimi sikwenda pale kwa ajili ya kujua majaji waliopo hapo ni akina nani wala sikukwenda kwa ajili ya kujua kesi zinazoendelea pale, wewe unayetaka kujua hayo nenda pale, fanya utaratibu wa kuingia kwenye ofisi ya Naibu msajiri utapata majibu ya maswali yako
 
Mimi sikwenda pale kwa ajili ya kujua majaji waliopo hapo ni akina nani wala sikukwenda kwa ajili ya kujua kesi zinazoendelea pale, wewe unayetaka kujua hayo nenda pale, fanya utaratibu wa kuingia kwenye ofisi ya Naibu msajiri utapata majibu ya maswali yako
Pale kuna majengo tu ya Mahakama ya Mafisadi
 
Back
Top Bottom