Mahakama ya mafisadi ni imeenda kusipojulikana

Hiyo Mahakama iko wapi? Na Majaji wake ni akina nani? Na kesi zinazoendelea ni zipi?
Wwe fanya ufisadi ,wwe na ndg zako mbona mtaijua ilipo na hadi majaji na ma offisa wa magereza mtawajuwa wote tena kwa majina yao!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…