Umekwisha andaa 7m kabisa.wazo la mahakama ya mafisadi iliotelewa na Mama janeth alipo kuwa akimfanyia masaji pombe kitandani,, mahakama imekuja kufukia makaburi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekwisha andaa 7m kabisa.wazo la mahakama ya mafisadi iliotelewa na Mama janeth alipo kuwa akimfanyia masaji pombe kitandani,, mahakama imekuja kufukia makaburi
Wepi hao wataje maana aliyebaki nadhani ni LOWASA tu ndiyo atakuwa wa mwisho.Sina imani na hii mahakama sbb dagaa ndiyo wanaoshitakiwa.
Papa na nyangumi wanadunda tu mitaani hata wale wapiga dili wa milion 10 nao wanadunda tu mitaani.
Sina imani na hii mahakama sbb dagaa ndiyo wanaoshitakiwa.
Papa na nyangumi wanadunda tu mitaani hata wale wapiga dili wa milion 10 nao wanadunda tu mitaani.
Bwana Yule alishasema hatafukua makaburi ya zamani na hatawaangusha watangulizi wake.wapo wapi mafisadi wa EPA,KAGODA, RICHMOND,ESCROW, LUGUMI? sidhani kama itakuwa na jipya lolote
Kweli mkuu, hapa tunataka kuona/kusikia kesi za watu waliosababishia Taifa hasara kubwa sio hizo kesi za jinai mmnaziita eti za ufisadi, kama hiyo mahakama ina meno kweli basi ianze na NYOKA WA MAKEKENZA.Sina imani na hii mahakama sbb dagaa ndiyo wanaoshitakiwa.
Papa na nyangumi wanadunda tu mitaani hata wale wapiga dili wa milion 10 nao wanadunda tu mitaani.
Eti anachukia ufisadi na mafisadi at the same time anasema hawezi kufukua makaburi.wazo la mahakama ya mafisadi iliotelewa na Mama janeth alipo kuwa akimfanyia masaji pombe kitandani,, mahakama imekuja kufukia makaburi
mbona mkuu alikiri kuwa kama kuna mtu anazipenda 10m ahamie wanakozitoa? hukumsikia?Ivi wewe ushawahi kuwamini Mbowe? yaani mbowe anakuaminisha kuwa kuna watu wamepewa Rushwa milion 10 10?
Mkuu ivi bado mna imani na Mbowe? aisee watu mna roho ngumu sana. Alshabab nawashauri waje kuchukua watu tanzania.mbona mkuu alikiri kuwa kama kuna mtu anazipenda 10m ahamie wanakozitoa? hukumsikia?