Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
kesi ya ufisadi ni kuanzia billion moja kwa mujibu wa Mhe. Dr. Mwakyembe. Hivyo kwa sasa mafisadi wanajitahidi wasifikie hicho kiwango cha chini. Halafu sijui kama ni bilioni moja kwa mkupuo au bilioni moja kwa awamu tofauti katika matukio tofauti.