Mahakama ya rufaa Kenya yasema SGR ya Kenya ilijengwa kihuni bila kufuata sheria za Kenya

Mahakama ya rufaa Kenya yasema SGR ya Kenya ilijengwa kihuni bila kufuata sheria za Kenya

Judiciary inakua independent lakini Serikali inazidi kuwa na akili mbovu katika kuongoza nchi sio? Mradi mkubwa kama huo hamfuati sheria za nchi, hiyo ndio matokeo ya bajeti kubwa ya Elimu?
1.5 trillion na $12m za makonda kutibiwa vp..
Mpka sai nani ana uwezo wakusema
 
We boya issue si utaalamu.....wataalamu wa mazingira Tanzania na nje ya Tanzania wameukosoa ule mradi wenu wa staigler mara si moja ila serikali yenu imeamua kutumia kichwa...unawaita wakenya wajinga ila we mwenyewe IQ yako inakaa ya mtoto wa chekechea
Mjinga huyo, ana support wataalamu wakati kwao walikataa kuwasikiza kuhusu like bwawa lao
 
Sisi tumekataa kusikiliza hao wataalamu wa nje kwasababu wataalamu wetu wamejiridhisha kwamba ule mradi utakua na manufaa zaidi kuliko hiyo athari ya mazingira wanayosema, sisi tunazalisha umeme ili wananchi waache kukata miti kwa ajili ya kupikia, kumbuka ukataji wa miti kwa ajili ya kutengeneza mkaa ndio unaoharibu mazingira zaidi kuliko kitu chochote.

Ule mto kila mwaka unafurika na kusababisha vifo vya watanzania wengi, ujenzi wa hili bwawa utamaliza kabisa mafuriko na kuokoa maisha ya watanzania. Tutapata umeme ambao ni lazima kwa maendeleo ya nchi.

Tanzania huwa tunajiamulia mambo yetu baada ya kufanya utafiti wa kutosha kwa kutumia wataalamu wetu wazalendo, ninyi wakenya lolote litakalisemwa na wazungu nje ya nchi yenu,nalichukua kama lilivyo, ndio sababu tunawaambia hamna akili ninyi.
Ndio muanze kumsikiza mbowe na zitto pia, kwa sababu na wao wanasiasa wa ndani
 
Zitto zaidi ya kuwa mwanasiasa hana SIFA zozote za kitaaluma hasa katika Eneo la uchumi wa nchi. Dr. Ndii ni mchumi aliyebobea anatambulika duniani kote, alishafanya kazi katika taasisi zote za kidunia zinazojihusisha na uchumi wa dunia, Zitto hajawahi kufanya kazi yoyote zaidi ya Ubunge.
Zitto lazima ana taaluma fulani. Sidhani kama ni kweli kuwa hajasomea fani yoyote ile.
 
Zitto lazima ana taaluma fulani. Sidhani kama ni kweli kuwa hajasomea fani yoyote ile.
Unaweza kusoma lakini kama hujafanyia kazi hicho ulichokisomea elimu yako inapotea. Zitto alipomaliza chuo kikuu akaingia katika siasa za upinzani, hajawahi kufanya kazi katika eneo alilosomea.
 
Sema "yuko rumande" siyo "ako rumande" mnaharibu sana kiswahili ninyi mende
Wewe heshimu Kiswahili cha Kenya. Sio lazima tuongee kama nyie. Hata kuna kiingereza cha Marekani na cha UK. Sio lazima tufanane, sawa nyumbu?
 
Zitto yupo juu ya Dr. Ndii ,upo hapo nyonyo
Zitto zaidi ya kuwa mwanasiasa hana SIFA zozote za kitaaluma hasa katika Eneo la uchumi wa nchi. Dr. Ndii ni mchumi aliyebobea anatambulika duniani kote, alishafanya kazi katika taasisi zote za kidunia zinazojihusisha na uchumi wa dunia, Zitto hajawahi kufanya kazi yoyote zaidi ya Ubunge.
 
Hatuwezi kuheshimu kiswahili chenu kibovu namna hiyo,jaribuni kuonesha improvement kidogo.Mnakera sana ujue
Wewe heshimu Kiswahili cha Kenya. Sio lazima tuongee kama nyie. Hata kuna kiingereza cha Marekani na cha UK. Sio lazima tufanane, sawa nyumbu?
 
Tanzania ilitaka kuingia kwenye huo mtego Benki ya exim ya china ingetoa pesa za mradi halafu wachina ndio wajenge hiyo pia walitaka kufanya kwenye mradi wa bandari ya dar es salaam wakashitukiwa
 
Kapewa fursa na Wananchi ya ku-exercise elimu yake bungeni kwa kuwapiga msasa Wabunge na anayorekodi ya kuwangoa baadhi ya mawaziri including waziri wa fedha katika awamu ya nne ya raisi Kikwete kutokana na uwezo wake binafsi wa kujenga hoja,fedha nyingi ambazo zilikuwa either zimeliwa au kuelekea kuliwa na mafisadi ambazo ni fedha za wananchi ziliokolewa na kuelekezwa kwenye miradi ya umma,hilo watanzania wanajua na dunia inajua juu ya mchango wa Zitto kwa miaka takriban 15 akiwa mwakilishi wa wananchi.Wewe endelea kujisahaulisha kwa kuishi kwenye comfort zone kwa shemeji yako,nyau wewe !
Wapi ameifanyia kazi hiyo degree katika fani ya UChumi?, au ni degree ya vitabuni?

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom