Mahakama ya rufaa Kenya yasema SGR ya Kenya ilijengwa kihuni bila kufuata sheria za Kenya

Mahakama ya rufaa Kenya yasema SGR ya Kenya ilijengwa kihuni bila kufuata sheria za Kenya

Chukueni hatua,swahili is among of the most spoken language in the world,unaonekana una akili za ngamia,nyau wewe
Ingelikua ni kusukuma sawa, lkn lugha yakuja tu..hututishi
Nuacha mila ni mtumwa
 
Kapewa fursa na Wananchi ya ku-exercise elimu yake bungeni kwa kuwapiga msasa Wabunge na anayorekodi ya kuwangoa baadhi ya mawaziri including waziri wa fedha katika awamu ya nne ya raisi Kikwete kutokana na uwezo wake binafsi wa kujenga hoja,fedha nyingi ambazo zilikuwa either zimeliwa au kuelekea kuliwa na mafisadi ambazo ni fedha za wananchi ziliokolewa na kuelekezwa kwenye miradi ya umma,hilo watanzania wanajua na dunia inajua juu ya mchango wa Zitto kwa miaka takriban 15 akiwa mwakilishi wa wananchi.Wewe endelea kujisahaulisha kwa kuishi kwenye comfort zone kwa shemeji yako,nyau wewe !

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
Kumbe degree ya uchumi wanafundisha kulipua na kung'oa mafisadi, basi Magufuli atakua na degree za uchumi kama 200 au zaidi, kwasababu mawaziri na mafisadi wengi tu amewatimua.
 
Back
Top Bottom