1.5 trillion na $12m za makonda kutibiwa vp..Judiciary inakua independent lakini Serikali inazidi kuwa na akili mbovu katika kuongoza nchi sio? Mradi mkubwa kama huo hamfuati sheria za nchi, hiyo ndio matokeo ya bajeti kubwa ya Elimu?
Mjinga huyo, ana support wataalamu wakati kwao walikataa kuwasikiza kuhusu like bwawa laoWe boya issue si utaalamu.....wataalamu wa mazingira Tanzania na nje ya Tanzania wameukosoa ule mradi wenu wa staigler mara si moja ila serikali yenu imeamua kutumia kichwa...unawaita wakenya wajinga ila we mwenyewe IQ yako inakaa ya mtoto wa chekechea
Ndio muanze kumsikiza mbowe na zitto pia, kwa sababu na wao wanasiasa wa ndaniSisi tumekataa kusikiliza hao wataalamu wa nje kwasababu wataalamu wetu wamejiridhisha kwamba ule mradi utakua na manufaa zaidi kuliko hiyo athari ya mazingira wanayosema, sisi tunazalisha umeme ili wananchi waache kukata miti kwa ajili ya kupikia, kumbuka ukataji wa miti kwa ajili ya kutengeneza mkaa ndio unaoharibu mazingira zaidi kuliko kitu chochote.
Ule mto kila mwaka unafurika na kusababisha vifo vya watanzania wengi, ujenzi wa hili bwawa utamaliza kabisa mafuriko na kuokoa maisha ya watanzania. Tutapata umeme ambao ni lazima kwa maendeleo ya nchi.
Tanzania huwa tunajiamulia mambo yetu baada ya kufanya utafiti wa kutosha kwa kutumia wataalamu wetu wazalendo, ninyi wakenya lolote litakalisemwa na wazungu nje ya nchi yenu,nalichukua kama lilivyo, ndio sababu tunawaambia hamna akili ninyi.
Hiyo Elimu ndio imewafanya viongozi wenu akiwemo rais kufanya ujinga na kuchezwa na wachina.Hyo elimu ndio imewafanya hao majamaa wajieleww hadi watumbue majipu km hayo
Zitto lazima ana taaluma fulani. Sidhani kama ni kweli kuwa hajasomea fani yoyote ile.Zitto zaidi ya kuwa mwanasiasa hana SIFA zozote za kitaaluma hasa katika Eneo la uchumi wa nchi. Dr. Ndii ni mchumi aliyebobea anatambulika duniani kote, alishafanya kazi katika taasisi zote za kidunia zinazojihusisha na uchumi wa dunia, Zitto hajawahi kufanya kazi yoyote zaidi ya Ubunge.
Unaweza kusoma lakini kama hujafanyia kazi hicho ulichokisomea elimu yako inapotea. Zitto alipomaliza chuo kikuu akaingia katika siasa za upinzani, hajawahi kufanya kazi katika eneo alilosomea.Zitto lazima ana taaluma fulani. Sidhani kama ni kweli kuwa hajasomea fani yoyote ile.
Povuuuu!!Hiyo Elimu ndio imewafanya viongozi wenu akiwemo rais kufanya ujinga na kuchezwa na wachina.
Zitto anaishi kuwaambia vitu vya maana ila sasa ako rumande. Naona nyinyi mna akili sana
Wewe heshimu Kiswahili cha Kenya. Sio lazima tuongee kama nyie. Hata kuna kiingereza cha Marekani na cha UK. Sio lazima tufanane, sawa nyumbu?Sema "yuko rumande" siyo "ako rumande" mnaharibu sana kiswahili ninyi mende
Zitto zaidi ya kuwa mwanasiasa hana SIFA zozote za kitaaluma hasa katika Eneo la uchumi wa nchi. Dr. Ndii ni mchumi aliyebobea anatambulika duniani kote, alishafanya kazi katika taasisi zote za kidunia zinazojihusisha na uchumi wa dunia, Zitto hajawahi kufanya kazi yoyote zaidi ya Ubunge.
Zitto lazima ana taaluma fulani. Sidhani kama ni kweli kuwa hajasomea fani yoyote ile.
Wewe heshimu Kiswahili cha Kenya. Sio lazima tuongee kama nyie. Hata kuna kiingereza cha Marekani na cha UK. Sio lazima tufanane, sawa nyumbu?
Kiswahili chetu ni chetu nyie shughulikieni yenu.Hatuwezi kuheshimu kiswahili chenu kibovu namna hiyo,jaribuni kuonesha improvement kidogo.Mnakera sana ujue
Kiswahili chetu ni chetu nyie shughulikieni yenu.
Wapi ameifanyia kazi hiyo degree katika fani ya UChumi?, au ni degree ya vitabuni?Zitto ana masters ya ECONOMICS
Wapi ameifanyia kazi hiyo degree katika fani ya UChumi?, au ni degree ya vitabuni?
Nilisha dharau shule za Kenya na elimu ya Kenya kwa ujumla watz kwenda Kenya kusoma ni kupoteza muda.joto la jiwe,
Wanatumia pesa nyingi kwenye budget ya elimu alafu wanatumia Tumbo kufikiri wakihitumu
Wakirudi bongo the best they can offer is speaking EnglishNilisha dharau shule za Kenya na elimu ya Kenya kwa ujumla watz kwenda Kenya kusoma ni kupoteza muda.