Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Hata Rostam Aziz mwaka jana Julai aliwahi kusema kuwa hawezi kupeleka kesi yake Mahakama ya Kisutu kwa vile Mahakimu wanapigiwa na simu "kutoka juu" na maamuzi yanabatilishwaKumbe Kuna kundi la wapumbavu bado wanaamini Tanzania Kuna mahakama? Nachelea kusema kwamba ndoto ya Nyerere kufuta ujinga bado sana.
Mahakama na majaji ni kundi la wapumbavu,ndio maana Kuna kiongozi aliwahi chana karatasi ya hukumu ya Jaji(kwa sasa mstaafu).