Mahakama ya Rufani Itoe Ratiba ya Kesi Zote Walizonazo

Hata Rostam Aziz mwaka jana Julai aliwahi kusema kuwa hawezi kupeleka kesi yake Mahakama ya Kisutu kwa vile Mahakimu wanapigiwa na simu "kutoka juu" na maamuzi yanabatilishwa
 
Hata Rostam Aziz alisema simu moja tu inaweza kubadili haki ya mtu.
 
First in First out, tunatajia kesi ya akina Mdee iitwe mwaka 2026/2027
 
Huyu Kindeena ana dalili zote kuwa ni Mtumishi wa Mahakama ndiyo maana anatetea MEDIOCRITY
 
Bora umeniita ambako wanakupiga spana tena🤣 nilijua ni mimi tu🤣 we bwana huna akili ni king of mediocre kaa utulie


Nilikuambia Manispaa ya Ubungo imetenga fedha kuhusu miundombinu ya Mitaa ila ukakaza fuvu!
 
Mimi siyo mtumishi wa Mahakama na wala siishi Tegeta A.
Sasa kama huishi tegeta A kwanini ulikua unabisha kuhusu shida za Tegeta A? Unatetea wapuuzi wenzio utasema unalala nao kitanda kimoja. Punguza kiherehere
 
Mimi siyo mtumishi wa Mahakama na wala siishi Tegeta A.
Wewe una ji expose mno. Tuliosoma Cuba tunmeshakujua. Hata mtu akikutaka kukukamata anakupata despite the fact kwamba unatumia pseudo identity humu
 
Wewe una ji expose mno. Tuliosoma Cuba tunmeshakujua. Hata mtu akikutaka kukukamata anakupata despite the fact kwamba unatumia pseudo identity humu
Ajabu ni kwamba hata sipo Mkoa wa Dar es Salaam kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…