Mahakama ya Rufani: Maamuzi ya Rais kuhusu Wafanyakazi wa Umma ni ya mwisho

Mahakama ya Rufani: Maamuzi ya Rais kuhusu Wafanyakazi wa Umma ni ya mwisho

Mahakama ya Rufaa imejiongoza vibaya kutafsiri hivyo vifungu. Nina imani muda sio mrefu watafanya marejeo au watatoa hukumu nyingine itayorekebisha maamuzi waliyotoa katika Rufaa hii.

Discplinary Matters ni sahihi kupitia mchakato wa ndani kabla ya kwenda CMA au Mahakama Kuu kwa Judicial Review lakini sio sahihi kwa migogoro (disputes) isiyo ya kinidhamu, hii inatakiwa kwenda moja kwa moja CMA maana hakuna sheria inayoelekeza kuwa ishughulikiwe ndani ya taasisi husika au kwamba iende huko Tume ya utumishi wa umma nk. Tume ya utumishi wa umma uwezo wake ni kupokea Rufaa na sio kupokea migogoro iliyo fresh
Dominic A. Kalangi alikuwa mfanyakazi wa Shirika la Posta (Tanzania Posts Corporation), mwaka 2017 ajira yake ilisitishwa Kwa utovu wa nidhamu.
 
Dominic A. Kalangi alikuwa mfanyakazi wa Shirika la Posta (Tanzania Posts Corporation), mwaka 2017 ajira yake ilisitishwa Kwa utovu wa nidhamu.
Mahakama katika hukumu hiyo haijatoa uamuzi kwa kesi ya Dominic tu bali hata kwa kesi za watumishi wengine wa umma zilizopo CMA, na vilevile imezuia kabisa watumishi wa umma wenye migogoro ya kazi na waajiri wao kuwasilisha migogoro hiyo CMA
 
na endapo mfanyakazi atakuwa hajaridhika na maamuzi ya Tume ya Utumishi wa Umma basi anatakiwa akate rufaa kwenda Kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na maamuzi ya Rais yatakuwa ya mwisho, hii ni Kwa mujibu wa Kifungu Cha 25 Cha sheria ya utumishi wa umma Public Service Act (Cap 298 R.E. 2019)
Rais wa Tanzania ni Malkia & Mfalme.

Katiba ni lazima iangaliwe upya.
 
Ipoje hiyo Mkuu? Ingekuwa vema ukafafanua ili nipate uelewa kuhusu hiyo judicial review mara baada ya uamuzi wa Rais.
Sawa mkuu ipo hivi;

Maamuzi ya Rais ni Administrative order na kwakua ni final kwenye ranks za utawala basi njia pekee ya kuya challenge ni kwa kupitia Mahakama ambapo mhusika atapeleka maombi mahakama kuu akiiomba ifanye marejeo ya maamuzi ya Rais na kutoa amri kama yapo sahihi au la.
 
Sawa mkuu ipo hivi;

Maamuzi ya Rais ni Administrative order na kwakua ni final kwenye ranks za utawala basi njia pekee ya kuya challenge ni kwa kupitia Mahakama ambapo mhusika atapeleka maombi mahakama kuu akiiomba ifanye marejeo ya maamuzi ya Rais na kutoa amri kama yapo sahihi au la.
Nashukuru kwa ufafanuzi Mkuu, maana kuna ndugu yangu ni Mhanga, amekata Rufaa kwenda kwa Rais mara baada ya kutoridhishwa na maamuzi ya Tume ya Utumishi wa Umma, Rufaa amekata tangu mwaka 2019, lakini bado hajajibiwa mpaka sasa.
 
Nashukuru kwa ufafanuzi Mkuu, maana kuna ndugu yangu ni Mhanga, amekata Rufaa kwenda kwa Rais mara baada ya kutoridhishwa na maamuzi ya Tume ya Utumishi wa Umma, Rufaa amekata tangu mwaka 2019, lakini bado hajajibiwa mpaka sasa.
Kama hajaridhika na maamuzi ya Rais anaweza omba judicial Review Mahakama kuu.

Public Service Act inasema kwamba ili kutumia any other avenues lazima uexhaust zile zilizokuwa provided kwenye hiyo act.

Maamuzi ya Rais ndio final kwa watumishi wa umma ila sio ya mwisho kisheria.

Bado unaweza itumia mahakama na njia ya kuitumia ndio hiyo ya judicial review.
 
Watu wengi wanatafsiri vibaya, Sheria ya Utumishi wa Umma inataka watumishi wa Umma waexhaust all remedies kabla ya kwenda CMA au Mahakamani. Hivyo Mtumishi wa Umma (ambapo hata Mashirika ya Umma yanaangukia ndani ya Utumishi wa Umma) wanatakiwa wakiwa aggrieved na maamuzi ya mamlaka zao za ajira au nidhamu (hapa ni mambo yote disputes na nidhamu) wanatakiwa wakate rufaa Tume ya Utumishi wa Umma na wasiporidhika na uamuzi basi wakate rufaa kwa Rais, Rais akishatoa uamuzi wake ambapo ni highest kwenye Executive hapo sasa wanaweza kwenda Mahakamani.

Kilichokuwa kinafanyika ni watumishi wa umma kwenda CMA kabla hawajaexhaust all remedies kama Sheria ya Utumishi wa Umma Kifungu 32A kilivyotamka.
Hiki kifungu kineanza lini?na je waliofukuzwa kazi kabla ya kifungu hiki wanafanyaje?
 
Tarehe 19.05.2022, nimefungua Review katika Mahakama ya Rufaa Tanzania, iweze kurejea uamuzi wake huo kwa kuwa ni batili na umeleta shida kwa umma (jamii) hususani watumishi wa umma. Ni maombi namba 265/07 ya 2022, ninasubiri tarehe ya kusikilizwa tukaweke mambo sawa ili haki waliyoporwa watumishi wa umma irejeshwe kisheria.
 
Tarehe 19.05.2022, nimefungua Review katika Mahakama ya Rufaa Tanzania, iweze kurejea uamuzi wake huo kwa kuwa ni batili na umeleta shida kwa umma (jamii) hususani watumishi wa umma. Ni maombi namba 265/07 ya 2022, ninasubiri tarehe ya kusikilizwa tukaweke mambo sawa ili haki waliyoporwa watumishi wa umma irejeshwe kisheria.
Tunaomba uweke hapa hayo maombi yako,plz!!
 

Attachments

  • Screenshot_2022-06-26-16-33-24-546_com.intsig.camscanner.jpg
    Screenshot_2022-06-26-16-33-24-546_com.intsig.camscanner.jpg
    96.7 KB · Views: 19
upitia kesi ya rufaa ya madai CIVIL APPEAL NO. 12 OF 2022 TANZANIA POSTS CORPORATION VERSUS DOMINIC A. KALANGI mahakama hiyo ya juu zaidi ya Tanzania imesema migogoro ya wafanyakazi wa umma inatakiwa kuishia ndani ya Serikali, pale mfanyakazi anapofukuzwa kazi na mkuu wa idara au shirika la Serikali anatakiwa kukata Rufaa kwenda Tume ya Utumishi wa Umma, na endapo mfanyakazi atakuwa hajaridhika na maamuzi ya Tume ya Utumishi wa Umma basi anatakiwa akate rufaa kwenda Kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na maamuzi ya Rais yatakuwa ya mwisho, hii ni Kwa mujibu wa Kifungu Cha 25 Cha sheria ya utumishi wa umma Public Service Act (Cap 298 R.E. 2019)
Sasa hapo uhuru wa mahakama kama muhimili huru uko wapi?
Rais ni mwajiri wa ngazi ya juu wa watumishi wa umma,sasa iweje mwajiri umpe mamlaka ya kuamua lipi ni sahihi na lipi si sahihi? Alafu mtu atwambie kwamba mahakama ipo kwa ajiri ya kutoa haki
Ngoja niishie hapa ila kuna mambo mengi hayana majibu ya wazi.
 
Back
Top Bottom