Mahakama ya Rufani: Maamuzi ya Rais kuhusu Wafanyakazi wa Umma ni ya mwisho

Mkuu sajo iwapo rufaa itatupilwa mbali inapofika kwa Raisi muhusika akaenda mahakamani halafu makahama akashinda hapo inakuwaje?
 
Mkuu sajo iwapo rufaa itatupilwa mbali inapofika kwa Raisi muhusika akaenda mahakamani halafu makahama akashinda hapo inakuwaje?
Ni ama anarudishwa kazini na kulipwa mishahara yake yote aliyonyimwa, ama mahakama inapendekeza mchakato ufanywe upya kwa kufuata taratibu za kisheria.
 
Ni ama anarudishwa kazini na kulipwa mishahara yake yote aliyonyimwa, ama mahakama inapendekeza mchakato ufanywe upya kwa kufuata taratibu za kisheria.
Mkuu hapo si miaka kumi tena? kuna ndugu yangu nafuatilia issue yake pale tume tu imekula miaka 3 halafu iende kwa Rais miaka mingine 3 mwishoni mahakamani 4 hahaha
 
Swali Mtaalam: Hivi MTU akienda CMA ikamkandamiza mtumishi halafu akaona kaonewa anakwenda wapi baada ya CMA?
 
Kumbe bado tuna sheria nyingi za ajabu ajabu zinazokwenda kinyume cha katiba!.
Hili tutasaidia.
P
 
Kumbe bado tuna sheria nyingi za ajabu ajabu zinazokwenda kinyume cha katiba!.
Hili tutasaidia.
P
Njoo uunge mkono katika hili, tayari mwezi Mei 2022 tumefungua maombi ya REVIEW ya hukumu hiyo pale Mahakama ya Rufani (Dar es Salaam) tukiomba hukumu hii kandamizi ibatilishwe kwa kuwa ni batili na yenye makosa kisheria yanayopelekea miscarriage of justice. Njoo uongeze nguvu tupate hearing ya mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…