Mahakama ya Tanzania yataifisha accounts za USD katika matawi mawili ya Bank ya Equity 🏦😊

Mahakama ya Tanzania yataifisha accounts za USD katika matawi mawili ya Bank ya Equity 🏦😊

REDEEMER.

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
8,925
Reaction score
14,890
Pale serikali ya nchi inapokua siyo ya kifisadi inakua ni burdani sana.


Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu wafanyabiashara wawili; Magdalena Uhwello na Halima Nsubuga kulipa faini ya Sh 101 milioni au kwenda jela miaka 20 baada ya kukiri kufanya biashara ya upatu na utakatishaji fedha. #AzamTVUpdates



Mahakama pia imetaifisha Dola za Marekani 124,433 zilizopo kwenye akaunti ya Equity Tanzania na Dola za Marekani 263,567 zilizopo kwenye akaunti ya Equity Uganda, fedha za wafanyabiashara hao.#AzamTVUpdates #Azam
News
 
Hii serikali inaweka record ambayo kuvunjwa inaweza chukua miongo mingi sana.. Hamna kucheka na nyani.
Kitu ninachoipendea serikali ni hicho tu, halafu hizi pesa lazima zimfikie mwananchi wa kawaida, umeona msamaha ule tayari umeleta billion zaidi ya 100, this is a lot of money

Hizi pesa zitazidi kujenga miundombinu mingi sana
 
Kitu ninachoipendea serikali ni hicho tu, halafu hizi pesa lazima zimfikie mwananchi wa kawaida, umeona msamaha ule tayari umeleta billion zaidi ya 100, this is a lot of money

Hizi pesa zitazidi kujenga miundombinu mingi sana
Magu kiboko nasikia wa Morroco wanasua sua kutoa pesa ya ground la Dom jamaa ana achana nao kama alivyo wafanyia WB kwenye Kibaha Highway. Soon mchakato unakamilishwa. Hiyo pesa inatosha kabisa.
 
Magu kiboko nasikia wa Morroco wanasua sua kutoa pesa ya ground la Dom jamaa ana achana nao kama alivyo wafanyia WB kwenye Kibaha Highway. Soon mchakato unakamilishwa. Hiyo pesa inatosha kabisa.
To be honest toka awali nilijua jamaa pangu pakavu nitilie mchuzi tu! 😀
 
Magu kiboko nasikia wa Morroco wanasua sua kutoa pesa ya ground la Dom jamaa ana achana nao kama alivyo wafanyia WB kwenye Kibaha Highway. Soon mchakato unakamilishwa. Hiyo pesa inatosha kabisa.
Kibaha highway imefika wapi? Hii naweza linganisha na Redhill Ila bado naona bado kidogo...weka picha my friend.
 
Muulize mleta mada km alikua na dhamira gani kufungua huu uzi
Soma ningeandika "pale serikali inapokua..." nimefurahi serikali kupinga aina zote za ufisadi, kwani hizo pesa ni za equity au za watanzania?
 
Kitu ninachoipendea serikali ni hicho tu, halafu hizi pesa lazima zimfikie mwananchi wa kawaida, umeona msamaha ule tayari umeleta billion zaidi ya 100, this is a lot of money

Hizi pesa zitazidi kujenga miundombinu mingi sana
Upo kajidanganya... Pesa bado wanakula wachache wanyonge tumetengwa
 
Upo kajidanganya... Pesa bado wanakula wachache wanyonge tumetengwa
Kwa hiyo unadhani hizo pesa kumfikia mwananchi wa kawaida ni kamuamala ka mpesa kuingia kwenye simu yako 😂😂😂
Hujui kuwa ikijengwa kituo cha afya kwa hizo pesa inakuwa tayari zimeshamfikia mwanachi wa kawaida,
Au unataka serikali wakutumie mpesa 😂😂😂
 
Back
Top Bottom