Mahakama ya Tanzania yataifisha accounts za USD katika matawi mawili ya Bank ya Equity 🏦😊

Mahakama ya Tanzania yataifisha accounts za USD katika matawi mawili ya Bank ya Equity 🏦😊

Magu kiboko nasikia wa Morroco wanasua sua kutoa pesa ya ground la Dom jamaa ana achana nao kama alivyo wafanyia WB kwenye Kibaha Highway. Soon mchakato unakamilishwa. Hiyo pesa inatosha kabisa.

Huyo ni playboy alikuwa anaropoka tu [emoji1787]
 
Hii serikali inaweka record ambayo kuvunjwa inaweza chukua miongo mingi sana.. Hamna kucheka na nyani.
Aaaahem! Serikali inayowafyatulia viongozi wa upinzani risasi na kuwakamata wanahabari?
 
Magu kiboko nasikia wa Morroco wanasua sua kutoa pesa ya ground la Dom jamaa ana achana nao kama alivyo wafanyia WB kwenye Kibaha Highway. Soon mchakato unakamilishwa. Hiyo pesa inatosha kabisa.
Mshua JPM noma sana nitamchagua tena 2020
 
Kitu ninachoipendea serikali ni hicho tu, halafu hizi pesa lazima zimfikie mwananchi wa kawaida, umeona msamaha ule tayari umeleta billion zaidi ya 100, this is a lot of money

Hizi pesa zitazidi kujenga miundombinu mingi sana
Wee fala kaa hapo usifie-sifie tu huku unalipwa buku 7 kama wale matahira wenzako wengine wa Lumumba..
Hujui chochote ya kinachoendelea..
Njoo kule Jukwaa la Siasa acha kudanga humu kwenye platform ya Kenya..
Jinga.
 

Attachments

  • Screenshot_20191001-133217.png
    Screenshot_20191001-133217.png
    38.2 KB · Views: 19
Wee fala kaa hapo usifie-sifie tu huku unalipwa buku 7 kama wale matahira wenzako wengine wa Lumumba..
Hujui chochote ya kinachoendelea..
Njoo kule Jukwaa la Siasa acha kudanga humu kwenye platform ya Kenya..
Jinga.

Duh, kweli wewe ni mengeleni,
Kwaiyo huyo jamaa ndiye anakumentor[emoji2]
 
Magu kiboko nasikia wa Morroco wanasua sua kutoa pesa ya ground la Dom jamaa ana achana nao kama alivyo wafanyia WB kwenye Kibaha Highway. Soon mchakato unakamilishwa. Hiyo pesa inatosha kabisa.

Ujenge uwanja kwa dola 400k?

Man stop this nonsense!
 
To be honest toka awali nilijua jamaa pangu pakavu nitilie mchuzi tu! [emoji3]
Wewe kama mimi aisee, kunajamaa anahusika na huo mradi nilimbishia akawa analeta siasa, akidai mchakato umesha sogea sana nikamwambia ajaribu ku google viwanja vya Morroco alinganishe na huo unao taka kujengwa Dom. Mwisho nikamwambia kama Morroco wakijenga Dom uko kwao watu watapiga kelele sana.
 
Kibaha highway imefika wapi? Hii naweza linganisha na Redhill Ila bado naona bado kidogo...weka picha my friend.
Umemaliza kutanga tanga tao uku ukiwa unatafuna mhindi!

SGR ulianza hivyo hivyo sasa hivi ukiona picha zake unakimbia kujificha.
 
Wewe kama mimi aisee, kunajamaa anahusika na huo mradi nilimbishia akawa analeta siasa, akidai mchakato umesha sogea sana nikamwambia ajaribu ku google viwanja vya Morroco alinganishe na huo unao taka kujengwa Dom. Mwisho nikamwambia kama Morroco wakijenga Dom uko kwao watu watapiga kelele sana.
Hamna kitu pale, kwanza wala hakutegemea JPM angemwambia kitu kikubwa hivyo, ujue awali alimwambia JPM amwambie maeneo mawili Morroco inaweza kuisaidia Tanzania sa jamaa sijui alitegemea angetajiwa ununuzi wa makopo ya paracetamol au box za chalks, ila uwanja lazima ujengwe kwa pesa za Tanzania.
 
Tatizo umedandia train kwa mbele.

Woman stop this nonsense!

Unaji-ekti uliandika vitu vigumu sana eti sijaelewa?

Wewe uandike upupu nisielewe?

Thread naifollow vizuri na ulichoandika nimeelewa na wewe huna mandate ya kunilazimisha eti nimekosea!

Naelewa ninavyotaka,na najibu ninavyotaka!

Wewe unasema sijaelewa,mimi nasema nimeelewa,kashitaki!

Ume-freeze dola 400k eti ziende Dodoma zikajenge uwanja baada ya yule Muarabu kuwapiga chini!

Dola 400k???Uwanja???

Hujui ulisemalo wewe kiazi!
 
Muulize mleta mada km alikua na dhamira gani kufungua huu uzi
Mleta mada amezungumzia waliokamatwa na kutoa taarifa izo akaunti zao ni kwenye benk ipi. Au alikwambia kama benki imetikisika? labda sijapaona apo unioneshe
 
Na hutoweza kumuelewa milele dhamira yake basi
Mleta mada amezungumzia waliokamatwa na kutoa taarifa izo akaunti zao ni kwenye benk ipi. Au alikwambia kama benki imetikisika? labda sijapaona apo unioneshe
 
Back
Top Bottom