Mahakama ya Tanzania yataifisha accounts za USD katika matawi mawili ya Bank ya Equity 🏦😊

Hii habari inahusiana vipi na huku Kenyan section??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kitu ninachoipendea serikali ni hicho tu, halafu hizi pesa lazima zimfikie mwananchi wa kawaida, umeona msamaha ule tayari umeleta billion zaidi ya 100, this is a lot of money

Hizi pesa zitazidi kujenga miundombinu mingi sana
We jamaa na lafudhi yako unatokea Nanjilinji bila shaka hujui unacho kiandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…