Mahakama ya UAE imewahukumu adhabu ya kifungo cha maisha waislamu wa siasa kali 53 kwa makosa ya ugaidi

Mahakama ya UAE imewahukumu adhabu ya kifungo cha maisha waislamu wa siasa kali 53 kwa makosa ya ugaidi


Uongo uliotukuka aya nyingi ni chuki dhidi ya non muslim Allah anasema yeye ni adui wa wasio waislam.. na hiyo quran 60:8 jamaa anadai eti hii ilikuwa wakati wa Vita hahaha Vita vyote vya Uislam wameanzisha wao.. ilifikia wakati Mudy anawaambia Waislam wakawapige vita waitaliano ili wawapate wanawake wao wenye nywele za Dhahabu.. waislam walishangazwa na kitombi Mudy yaani genye zikimshika tu anaanzisha vita
 
Uongo uliotukuka aya nyingi ni chuki dhidi ya non muslim Allah anasema yeye ni adui wa wasio waislam.. na hiyo quran 60:8 jamaa anadai eti hii ilikuwa wakati wa Vita hahaha Vita vyote vya Uislam wameanzisha wao.. ilifikia wakati Mudy anawaambia Waislam wakawapige vita waitaliano ili wawapate wanawake wao wenye nywele za Dhahabu.. waislam walishangazwa na kitombi Mudy yaani genye zikimshika tu anaanzisha vita
Nyie mafala kweli bibilia zenu zinasema Mungu ni kahaba Isaya. 23.17

Hivi mko sawa

Kuhusu kusema Aya nyingi ni chuki tupe Aya zinasema vipi uanzie kabla na bada sio unchukua sehemu wako vitani wanauliwa na makafiri ulitaka wawape mauwa au.
 
Sawa. Lakini kuna hoja kuwa hayo makundi yameundwa na/au kuwezeshwa na vyombo by kijasusi vya kimagharibi hususan CIA, MI6 na hata Mossad ya Israel. Hivyo hayawakilishi Waislamu wala Uislam. Unaonaje hili?
SIO KWELI.

Kama hiyo hoja ni ya kweli mbona huwa hawaweki ushahidi hapa
 
Nyie mafala kweli bibilia zenu zinasema Mungu ni kahaba Isaya. 23.17

Hivi mko sawa

Kuhusu kusema Aya nyingi ni chuki tupe Aya zinasema vipi uanzie kabla na bada sio unchukua sehemu wako vitani wanauliwa na makafiri ulitaka wawape mauwa au.
Huna ubavu wa kueleza Aya za Biblia.
Mna maandiko matatu ambayo hamyaelewi na hamtaki kuyaelewa.

Biblia sio kama Qurani yenu ambayo Aya hii inasema hivi na ile inasema vingine.

Lingine ni lile la enyi Wagaratia msio kuwa na akili na lile la Waandishi walio iharibu Torati ya Musa.
Niulize mimi nikupe usahihi wa hayo maneno kwani nimeisoma Biblia na kuielewa.
 
Wakristo wengi huwa wanachuki sana na Uislam sababu mungu wa wakristo amekufa, wanasema alikufa kwa kubeba dhambi zao, wanasema alikufa akazikwa Jerusalem ili unabii utimie, hapo wanakiri alikuwa mtume, na wengine wanasema kapaishwa wengine wanasema mungu wao alilala usingizi.

Jawabu liko hapa Mungu halali hata kidogo, Yesu alilala, Mungu hafi Yesu kafa, Mungu hasaidiwi wala haombi msada Yesu alilia kumuomba Mungu


View: https://youtube.com/shorts/axIOAYwGBls?si=qpwdQNoPlI7xB0Q5

Binafsi ninaamini kuna nguvu inayoendesha dunia tusiyoiona kwa macho ila napinga dini moja kujiona ina haki dhidi ya nyingine hapa naongelea dini hizi za kuletewa ( Uislam = Muarabu na Ukristo= Mrumi).Dini zote ukisoma maandiko ( Biblia na Quran) zina mapungufu.

Mfano mdogo agano la kale halipingwi na Uislam wala Ukristo wote wanamtambua nabii Abraham(Ibrahim) kama mtume, hivyo kila alichofanya ni sawa kwa pande zote, zama Abraham(Ibrahim) kulikuwa na sadaka ya kuteketeza, ndio maana hakuona ajabu alipoagizwa kumtoa mwanae wa pekee, lakini swali langu kwa Waislamu ni kwanini siku hizi hakuna tena sadaka ya kuteketeza?
Je kuna maagizo mapya! Ikiwa kuna maagizo mapya je Mungu anabadilika, maelekezo ya sadaka ya kuteketeza kwenye agano la kale ambalo linaiingiliana na Quran yalitoka wapi? Ikiwa sasa hivi hayapo na hayarusiwi je waliotangulia waliyatoa wapi na kwanini hayapo tena?
 
Wakristo wengi huwa wanachuki sana na Uislam sababu mungu wa wakristo amekufa, wanasema alikufa kwa kubeba dhambi zao, wanasema alikufa akazikwa Jerusalem ili unabii utimie, hapo wanakiri alikuwa mtume, na wengine wanasema kapaishwa wengine wanasema mungu wao alilala usingizi.

Jawabu liko hapa Mungu halali hata kidogo, Yesu alilala, Mungu hafi Yesu kafa, Mungu hasaidiwi wala haombi msada Yesu alilia kumuomba Mungu


View: https://youtube.com/shorts/axIOAYwGBls?si=qpwdQNoPlI7xB0Q5

Wewe una sound kama terrorist brotherhood
 
Delhi: A court in the United Arab Emirates Wednesday convicted 53 defendants after finding them guilty of terror offences, with punishments ranging from fines of up to AED 20 million ($5.4 million) to life imprisonment.

The defendants, according to local media, are leaders or members of the religiopolitical outfit Muslim Brotherhood, which was designated as a terrorist organisation by the UAE in 2014.

Tusifanganyane, hakuna mtu anapenda ugaidi duniani. Njoo Mohamed Said na FaizaFoxy muwatetee. Maana mnajifanya nyinyi ni Waisalmu kuliko Waislamu wenyewe
Hao mahakimu ni wagalatia
 
Imani inawezaje kuwa thabiti kama sio kuipigania!?
Si ndio mwanzo wa kuwa na waumini wanafiki kama wa dini yenu!?
Thamani ya kitu huonekana pale inapopiganiwa.
Nabii wetu keshafariki Muhammad(s.a.w),unamuulizia nini!?
Nabii wenu alikuwa bedui halafu pedophile
 
I C kumbe Yesu alizaliwa kwenye zizi la ngo'mbe, mme mdharaulisha sana si bora mgeficha huo ujinga.

Wapi ni bora uzaliwe chini ya mti au kwenye zizi la ngo'mbe

Afu huyo mungu wenu hana aibu mpaa mtoto wake amdhalilishe vile mara kazaliwa kwenye zizi la ngo'mbe mara mtoto wake kapigiliwa msalabani poleni sana.
Haina shida, huyo huyo ndiye mwokozi wetu
 
Muslim Brotherhood wamepachikwa jina la ugaidi kwasababu ya kisiasa.
Ni kama PLO kipindi cha Yasser Arafat walivyoitwa magaidi ilhali hawakushika bastola kipindi wanaitwa magaidi.
Waarabu wenyewe wamewapiga matufuku Muslim Brotherhood kwa harakati zao za kigaidi. Lakini wewe mwarabu koko wa Buza unasema siyo magaidi. Aibu
 
KUMBE MUHAMMAD NA WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAM?
Mimi sina mengi ya kusema, zaidi ya kuanza na aya moja kwa moja.
Allah anateremsha aya na kusema haya kwa Waislam:
Quran Surah 19: 71. Wala hapana yeyote katika nyinyi Waislam ila ni mwenye kuifikia hiyo Jehenamu. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe. 72. Kisha tutawaokoa wale walio mcha ALLAH; na tutawaacha madhaalimu humo wamepiga magoti. ..................................DAAAH
ALLAH ANASEMA KUWA, AMESHA WAHUKUMU WAISLAM WOTE NA LAZIMA AITIMIZE HIYO HUKUMU YA WAISLAM WOTE KUINGIA JEHANNAM.
Jamani, hivi kuna ugumu gani au nini kigumu hapa. Mbona Allah amesha maliza kuwa Waislam wote wataingia Jehannam?
NAJUA WAISLAM wataanza kupinga ooh, wewe huijui Quran, ooh wewe umepindihsa aya, ngoja niongeze aya zingine kutoka Quran yao inayo wamaliza tena.
SURAT AT-TAKAATHUR, iliyo teremka Makka inawaambia Waislam:
3. Sivyo hivyo! Mtakuja jua!
4, Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!
5. Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini,
6. Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!
ALLAH anawaambia Waislam sivyo hivyo, ikimaanisha kumbe Waislam wanacho kielewa sio sahihi.
Kumbukeni kuwa, hizi aya anaziteremsha Allah kwa Mtume wake Muhammad. ALLAH ANAMWAMBIA MUHAMMAD KUWA " aya ya 3 Sivyo hivyo! Mtakuja jua!"
SASA KWANINI ALLAH Hamwambii ukweli Muhammad moja kwa moja? Kwanini Allah asubiri mpaka Kiyama ndio Waislam watakuja jua kuwa Allah ni bandia na anawaingiza Jehannam?
Huu ni msiba mkubwa sana.
WAISLAM WAMEINGIZWA MKENGE:
1. Waislam wanadai kuwa wataingia Akhera - ALLAH ANAWAJIBU Surat Al Takaathur aya ya 6. Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!
2. Waislam wanadai kuwa Wanafuata dini ya Mwenyezi Mungu. ALLAH ANAWAJIBU Kupitia Surat Al Takaathur aya ya 3 Sivyo hivyo! Mtakuja jua!
3. Waislam wanadai kuwa Uislam ni dini ya Mwenyezi Mungu. ALLAH ANAWAJIBU kupitia Surat Al Takaathur aya ya 4, Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!
4. Waislam wanasema kuwa eti Quran ni Kitabu cha mwenyezi Mungu, ALLAH ANAWAJIBU KWA KUSEMA Surat Al Takaathur aya ya 5. Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini,
Ndugu zanguni, hivi hizo aya zina ugumu gani? Mbona zipo wazi kabisa na teyari ALLAH amesha anza kuwakana kwa kusema SIVYO HIVYO.
ALLAH AMESHA SEMA KUWA, WANACHO KIJUA WAISLAM, SIVYO HIVYO.
ALLAH anasema kwa Waislam kuwa, Quran Surah 19: 71. Wala hapana yeyote katika nyinyi Waislam ila ni mwenye kuifikia hiyo Jehenamu. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.
MKRISTO MWENYE AKILI ZAKE HAWEZI KUKUBALI KUWA KATIKA HILI KUNDI LA JEHANNAM.
Turudi kwenye mada
 
Sawa. Lakini kuna hoja kuwa hayo makundi yameundwa na/au kuwezeshwa na vyombo by kijasusi vya kimagharibi hususan CIA, MI6 na hata Mossad ya Israel. Hivyo hayawakilishi Waislamu wala Uislam. Unaonaje hili?
Unaweza ukadhibitisha!!
Hii ni excuse ya kuendeleza ugaidi kwaiyo vikundi vya dunia nzima sponsor ni wao
 
I C kumbe Yesu alizaliwa kwenye zizi la ngo'mbe, mme mdharaulisha sana si bora mgeficha huo ujinga.

Wapi ni bora uzaliwe chini ya mti au kwenye zizi la ngo'mbe

Afu huyo mungu wenu hana aibu mpaa mtoto wake amdhalilishe vile mara kazaliwa kwenye zizi la ngo'mbe mara mtoto wake kapigiliwa msalabani poleni sana.
Muslimin brotherhood + ugaidi
 
Huna ubavu wa kueleza Aya za Biblia.
Mna maandiko matatu ambayo hamyaelewi na hamtaki kuyaelewa.

Biblia sio kama Qurani yenu ambayo Aya hii inasema hivi na ile inasema vingine.

Lingine ni lile la enyi Wagaratia msio kuwa na akili na lile la Waandishi walio iharibu Torati ya Musa.
Niulize mimi nikupe usahihi wa hayo maneno kwani nimeisoma Biblia na kuielewa.
Muslimin brotherhood + ugaidi
 
Nimezungumzia uislamu.
Mbona unajichanganya mazeeh!?
Kwani nimesema zama zenu ama zama zetu waislamu!?
😂😂😂😂Aisee mkuu vipi!?
Hapa tunazungumzia uislamu ama dini ya marasta!?
Kwa mujibu wa uislamu mtume wetu wa mwisho ni Muhammad(s.a.w).
Wewe unaweza ukaleta hayo maandiko ya rastafariani ya wao kuamini torat,Zaburi na injili!!?
Usifananishe uislamu na dini yenu.
Muslimin brotherhood + ugaidi
 
I C kumbe Yesu alizaliwa kwenye zizi la ngo'mbe, mme mdharaulisha sana si bora mgeficha huo ujinga.

Wapi ni bora uzaliwe chini ya mti au kwenye zizi la ngo'mbe

Afu huyo mungu wenu hana aibu mpaa mtoto wake amdhalilishe vile mara kazaliwa kwenye zizi la ngo'mbe mara mtoto wake kapigiliwa msalabani poleni sana.
Muslim brotherhood + ugaidi
 
Waarabu wenyewe wamewapiga matufuku Muslim Brotherhood kwa harakati zao za kigaidi. Lakini wewe mwarabu koko wa Buza unasema siyo magaidi. Aibu
Kwani PLO ya kina Yasser Arafat 1967 hawakuitwa magaidi na waarabu wenzao!?
Je waliendesha harakati zipi za ugaidi zaidi ya wao kudai Palestina itambulike UN kama taifa huru!?
Hao waarabu wanafiki sana,hata Al-Jazeera waliita chombo cha habari cha magaidi na wakikifungia matangazo nchi Mathalan Egypt,Saudi Arabia,Jordan,UAE cha ajabu Al-Jazeera imetambulika na kukubalika dunia nzima kiasi ikapata tuzo za kimataifa ya chombo bora cha habari.
Hao waarabu wakishaona maslahi baina yao na wazungu yanaguswa basi wanakubadilikia.
Huwa hawana msimamo kabisa hao.
Palestina hiyo hiyo wanaojinasibu kuitetea muasisi wake wa utetezi walimuita gaidi.
 
Back
Top Bottom