Mahakama ya Ubelgiji yasema jino la shujaa Lumumba wa DRC linapaswa kurudishwa

Mahakama ya Ubelgiji yasema jino la shujaa Lumumba wa DRC linapaswa kurudishwa

Walienda kulitambikia ili kuwaloga wakongo kila siku wawe wanaumana, sio unaona wanaumana kila siku vita haziishi😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Utan tu. Ila ata kwa mzungu napo kuna ushirikina


Ushirikina upo huko pia.

Ila hicho ulichoandika japo kiutani lakini inauma sana yani Congo kuna rasilimali tele lkn ni maskini wa kutosha. Wamekalia vita tu kila siku huku rasilimali zikichotwa na wajanja.
 
Bacongoman bhana wanafurahi kurudishiwa jino wakati kuna Almasi yao na dhahabu kibao huku Ubelgiji.
 
Ushirikina upo huko pia.

Ila hicho ulichoandika japo kiutani lakini inauma sana yani Congo kuna rasilimali tele lkn ni maskini wa kutosha. Wamekalia vita tu kila siku huku rasilimali zikichotwa na wajanja.
Vita haiwez kuisha maana hule ni mpango wa watu na kadri vita inavyoendelea ndivyo wanavyo faidika zaid . Uongozi usio imara na kujitambua hii nayo pia nitatzo.
Umimi, uchu wa madaraka hiv ndio vinatuponza waafrika
 
Vita haiwez kuisha maana hule ni mpango wa watu na kadri vita inavyoendelea ndivyo wanavyo faidika zaid . Uongozi usio imara na kujitambua hii nayo pia nitatzo.
Umimi, uchu wa madaraka hiv ndio vinatuponza waafrika
Afrika tuna shida ila DRC ni too much hasa upande wa mashariki mwa nchi. Vikundi vya waasi lukuki mara utasikia

May may(majimaji)

M 23

Raia mtomboka

Waasi wa ADF kutoka Uganda

Huku wajanja wakichota mali.


Hapo haujazungumzia watu kufa kwa ajali kwenye vyombo vya majini kuzama.

Miundombinu hovyo(barabara)

Ebola.

Yaani ni tafrani.
 
haka kanchi kako kimya ila kana mambo yake makubwa
kametafuna simba wetu wa afrika wengi tu
 
Afrika tuna shida ila DRC ni too much hasa upande wa mashariki mwa nchi. Vikundi vya waasi lukuki mara utasikia

May may(majimaji)

M 23

Raia mtomboka

Waasi wa ADF kutoka Uganda

Huku wajanja wakichota mali.


Hapo haujazungumzia watu kufa kwa ajali kwenye vyombo vya majini kuzama.

Miundombinu hovyo(barabara)

Ebola.

Yaani ni tafrani.
Ukisikia vita vya panzi furaha kwa kunguru ndio Congo sasa
 
Warudishe madini waliyoiba na uhai wa watu walioupoteza sio jino, sasa anarudisha jino mwili wa Mwenye jino haujulikani ulipo.
Waliuwawa kwa kupigwa risasi, wakazikwa. Baada ya muda, miili yao ilifukuliwa, ikasambaratishwa na kumwagiwa sulfuric acid kupoteza ushahidi kabisa.
 
Jino ni la Lumumba na lilichukuliwa na askari wakati wa mazishi yake
Askari anadai hawakumzika Bali walimtupa ktk tindikali kuufuta ushahidi na alama yake duniani. Ya Mungu mengi, Bado aliwaongoza kuchukua jino na ni alama tayari. Mazishi makubwa ya heshima kufanywa. Mungu mkubwa
 
Waliuwawa kwa kupigwa risasi, wakazikwa. Baada ya muda, miili yao ilifukuliwa, ikasambaratishwa na kumwagiwa sulfuric acid kupoteza ushahidi kabisa.
Na bado tunawaona ndio watu wanaotupenda kwa kutudanganya na tumisaada na tusamahan twao
 
Washirikina wote tu. Jino la nn sasa?
Sitashangaa nikisikia kiwa hata Nyerere walinyofoa viungo maana wazungu siwaelewi: fikiria watu wanabeba hata mifupa ya mijusi
 
Sitashangaa nikisikia kiwa hata Nyerere walinyofoa viungo maana wazungu siwaelewi: fikiria watu wanabeba hata mifupa ya mijusi
watu walikaa na mwili zaidi ya wiki moja lolote lawezakana kufanya
 
Back
Top Bottom