Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mpenzi wako muamiminifu huyo ujue?Vijana wa kuandamana Tz ndio hawa kina Mwashambwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpenzi wako muamiminifu huyo ujue?Vijana wa kuandamana Tz ndio hawa kina Mwashambwa!
Nilichogundua humu watu wananiamini niwe mstari wa mbele kumtetea Lucas MwashambwaMpenzi wako muamiminifu huyo ujue?
Neno moja kwa Chalamila,Tulia na Mwigulu.Kutawala Kenya ni lazima uwe na Heshima kwa wananchi, madharau lazima ni wakuonyeshe rangi zote.
Funzo kubwa kwa viongozi wa Africa waliojaa kiburi na dharau.
Si ndo mchumba wako?Vijana wa kuandamana Tz ndio hawa kina Mwashambwa!
Ndio! Halafu nampenda🤸Si ndo mchumba wako?
Mapenzi shikamoo..Vijana wa kuandamana Tz ndio hawa kina Mwashambwa!
Marhaba🤸Mapenzi shikamoo..
Ukweli unauma pole.Keyboard worrier ni wewe hapo usitujumuishe na wengine
Siku ya raia kustorm the Bastille nw wewe umoNdio! Halafu nampenda🤸
Haiwezi kufika mpaka asilimia kubwa ya watz tutakapoelimika sasa hivi sisi ni taifa lenye primitive citizens wengi.Hii spirit sijui itafika lini huku bongo, tuna viongozi wengi sn wajinga!
Nadhani dharau ya viongozi ndo imepelekea hayo...wanalalamikia muswada...wabunge kwa jeuri wanaupitisha...kama kwamba wanasema watatufanya nini...na vijana wanasema hiki ndicho tunachoweza kufanya! Na huenda wakapelekea hata nchi kupinduliwa!Gen Z walianza vizuri ila kwenye kuharibu mali za watu na umma hapo wamechemka.
Wanalalamikia kupandishiwa kodi then wanachoma ofisi za umma ili zifanyiwe marekebisho kwa fedha kutoka wapi kama siyo kwao.
atakuja mbwa washamba kujibu kua👇Vijana wa kuandamana Tz ndio hawa kina Mwashambwa!
Wazo la mgalatia na serikali inaongozwa na mgalatia. Waache wajenge maana kwenye nyuso zenu upande wenu huwa hamkoseiKajengni majengo huko eti kitenga uchumi , hao jamaa wakijua jengo la Tz siku ikitokea vurugu na TZ basi wanalichoma moto .
Lucas hawezi kuandika hivyo kama wewe!atakuja mbwa washamba kujibu kua👇
tuandamane kwaajili gani sasa wakati mama anatosha ametufikia watanzania wanyonge mama yetu mheshimiwa raisi Sami suluhu Hasan kipenzi chawatanzania anatosha kutuongoza tena hadi 2030🤣🤣🤣
kwani maneno yanakaajeLucas hawezi kuandika hivyo kama wewe!
Wewe hujui kuandika vizuri unachapia maandishi, unaonganisha maneno mawilimawili
halafu unaonganisha hicho nikilugachenu au?kumer weeLucas hawezi kuandika hivyo kama wewe!
Wewe hujui kuandika vizuri unachapia maandishi, unaonganisha maneno mawilimawili
Wewe unaweza?Hii spirit sijui itafika lini huku bongo, tuna viongozi wengi sn wajinga!