Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Umesema huyo Bwana wako Chawa anaekupumulia kisogoni ndio wa kuandamana unaelewa ulichokiandika au umeandika huku anakupumulia kisogoni?Vijana wa kuandamana Tz ndio hawa kina Mwashambwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema huyo Bwana wako Chawa anaekupumulia kisogoni ndio wa kuandamana unaelewa ulichokiandika au umeandika huku anakupumulia kisogoni?Vijana wa kuandamana Tz ndio hawa kina Mwashambwa!
Aweze yeye haogopi kufa Bongo police wakipewa go ahead ni wanaenda kuua tu hakuna kingineWewe unaweza?
Jipige kidole ulaleLucas hawezi kuandika hivyo kama wewe!
Wewe hujui kuandika vizuri unachapia maandishi, unaonganisha maneno mawilimawili
Hii Bongo hutosikia kwanza wakikugundua Wewe kimbelembele upo front line unakuja kuchomolewa usiku alafu kesho taarifa zinasoma umechukuliwa na watu waliojitambulisha km Askari alafu ukapotea huonekani sasa inaenda wiki alafu kimya kumbe ushapelekwa kwa ChatuNadhani dharau ya viongozi ndo imepelekea hayo...wanalalamikia muswada...wabunge kwa jeuri wanaupitisha...kama kwamba wanasema watatufanya nini...na vijana wanasema hiki ndicho tunachoweza kufanya! Na huenda wakapelekea hata nchi kupinduliwa!
Tulia.Ndiyo wanaenda kuichoma sasa hivi.Ilikuwa ni "future present tense" hiyo.Ielewe hivyohivyo.Nimeangalia video uliyoambatanisha sijaona mahali Mahakama ya upeo imechomwa moto ila nimesikia/nimeona habari ya moto uliowashwa Karibu na mahakama ya upeo.
Gen z Gen Z ndio nini accent huu ulimbukeniGen Z walianza vizuri ila kwenye kuharibu mali za watu na umma hapo wamechemka.
Wanalalamikia kupandishiwa kodi then wanachoma ofisi za umma ili zifanyiwe marekebisho kwa fedha kutoka wapi kama siyo kwao.
Mwashamba mzee wa kububujishwa machozi ya furaha na mama kizimkazi ye muda wote anabubujikwa machozi ya furaha tu ,jamaa jau yule😅😅😅🤣Vijana wa kuandamana Tz ndio hawa kina Mwashambwa!
Umeumia?Ukweli unauma pole.
Kama Viongozi ni wajinga...Wananchi ndio mbumbumbu zaidi.Hii spirit sijui itafika lini huku bongo, tuna viongozi wengi sn wajinga!
Huyu nilimuignore husingenionesha nisingeona
Kwann umemuignore? Unamuogopa?Huyu nilimuignore husingenionesha nisingeona
Watu wanapenda ukorofi sana ukiwaendekeza utajikuta unapoteza furaha kwaajili ya watu usiowajua😂
Sipendi ukorofi na mtu, bora mtu anipe maneno kuliko kunitukana nachukiaKwann umemuignore? Unamuogopa?
Elimu! Katiba! Elimu! Katiba! Katiba! Katiba!Hii spirit sijui itafika lini huku bongo, tuna viongozi wengi sn wajinga!
Maandamano yamevamiwa na kutekwa na magenge ya wahuni.Waandamanaji Kenya wamechoma mahakama ya ya Rufaa.
Yaani wameamua kushambulia mihimili yote kuanzia Serikali, Bunge na sasa mahakama
Inatisha.
Pia soma===> News Alert: - Rais Ruto (kuhusu Maandamano): Ni uhaini! Tutawashughulikia
Mbona wengine wakitukanwa unafurahia? Au kwa wengine sawa as long as ww huguswi??Sipendi ukorofi na mtu, bora mtu anipe maneno kuliko kunitukana nachukia
Imekuuma? Basi acha ushabiki maandaziTunatoka nje ya mada, tafuta uzi mwingine
Huyo chawa hajielewi kabisa!Vijana wa kuandamana Tz ndio hawa kina Mwashambwa!