Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi mkuu...Habari mbaya sana kwa uhuru na maendeleo ya sekta ya vyombo vya habari nchini.
Jpm hakutaja mtu jina. So kama gazeti lilitaja basi citizen walishindwa kuthibitisha nukuuMwendazake amtajirisha Mchechu (indirect kick)
Wameuziwa matatizo 🤣 hivi Musiba alisha lipa zile Billions kwa bao la 89Jpm hakutaja mtu jina. So kama gazeti lilitaja basi citizen walishindwa kuthibitisha nukuu
alisema ndio lakini keanini mliyasambaza?Sasa kama ilikuwa Nukuu ya maneno ya Mwendazake tatizo ni nini? Maana yeye ndiye aliyesema
atalipwa japo gazeti litakata rufaa na fidia itapunguzwa,unakumbuka salim ahmed salim alilipwa na mwananchi bilioni 1.5Atalipwa kweli!!! Hebu tuone nani mjanja
Kwamba Jamaa kafa lakini bado anatia watu hasara?na kutumia maneno yaliyoshusha hadhi yake, huku wakidai walinukuu maneno ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, hayati John Magufuli