Mahakama yaamuru Polisi kuwatafuta viongozi wa BAVICHA (kina Deusdedith Soka) waliopotea

Mahakama yaamuru Polisi kuwatafuta viongozi wa BAVICHA (kina Deusdedith Soka) waliopotea

Ni wale wale. Ikipangiwa Eliezer Mbuki Feleshi kuna kitu hapo?
 
Hapo Mahakama imetupia udongo kaburini mara tatu.
 
Kwa uamuzi wa kijinga huu inafika muda unatamani uende somalia ukachukue mabomu unayavaa mwili mzima unaenda kujilipua Kwa Hawa viongozi watoa maamuzi ya hovyo Kwa watekaji
 
Ndugu Rais.

Leo siongei nawe kwa maneno mengi, Ila naongea kwa Aya ya Mwenyezi Mungu akimwambia Firauni awaachie wana wa Israel waende. LET MY PEOPLE GO.

Na mimi nakuagiza ndugu rais waachie akina Deusdedith Soka waende!, usishupaze shingo yasije yakakukuta kama yalivyomkuta Firauni, utawala wake kukatiliwa mbali!.

Ndugu Samia, labda nikueleze kitu kimoja, unaweza kumnyamazisha Soka mmoja, lakini huwezi kufunika na kuiziba spirit ya mwanadamu ya kutaka jambo fulani!.

Ngoja nikupe mfano utakaouelewa vizuri, Soka amepotezwa lakini kuna vijana kama huyu hapa chini kwenye video anaongea kwa staili na energy ileile kama ya Soka. Hiinaonyesha kuwa hata wasiojulkana wafanyeje, huwezi kupoteza sauti huru zote hata siku moja!. Nauliza Je Watapotezwa wangapi?. Nikuhakikishie tu, akipotezwa mmoja watakuja wengine. NI DHAMBI KUBWA KUJARIBU KUIFANYA SPIRIT HURU YA MWANADAMU ILIYOUMBWA NA MUNGU IWE DOCILE!.

SAMIA let GOD's PEOPLE GO!

 
Jaji Wilson Dyansobera kutoka Mahakama kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam amesema baada ya Mahakama kusikiliza hoja za pande zote mbili (2) na kupitia kwa makini kiapo cha mwombaji aitwaye Mohammed H. Zimu ambaye ni rafiki wa karibu wa Deusdedith Soka na wenzake wawili (2) imejiridhisha kwamba waombaji hawapo chini ya Jeshi la Polisi.

Akitoa maamuzi hayo leo, Junatano Agosti 28.2024 Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam Jaji Dyansobera amesema, "hakuna malezo yanayotoka kwa muombaji kwamba alishuhdia waombaji wakiwa wanashikiliwa na Polisi au kuwa kizuizini”.

Katika maelezo yake Jaji Dyansobera ameeleza kuwa inawezekana muapaji alishuhudia wakikamatwa lakini hakuna ushahidi ya kuwa Soka na wenzake wapo kizuizini (detained) au wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kituo cha Chang’ombe, Dar es Salaam.

Pia Soma:
Katika hatua nyingine, Jaji Dyansobera ameliagiza Jeshi la Polisi nchini kufanya uchunguzi ili kufahamu wako wapi Soka pamoja na wenzake huku akisisitiza ni wajibu kwa Jeshi hilo, pia ni matakwa ya sheria za kimataifa kwa chombo hicho cha usalama kufuatilia na kufahamu wako wapi raia ambao wamepotea"

Mahakama inatoa amri kwa Polisi hasa mjibu maombi wa kwanza, mjibu maombi wa pili, mjibu maombi watatu, mjibu maombi wanne, na mjibu maombi watano kuchunguza uwepo wa hawa waombaji wako wapi” -Jaji Dyansobera.

JAMBO TV
"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, a former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.

Aidha, Bw. Osama bin Laden alipokea lawama nyingi Sana kutoka kwa Serikali ya Marekani na CIA baada ya kutekeleza mashambulizi yake ya kutumia ndege, mashambulizi yanayojulikana sana kwa jina la September Eleven ya Mwaka 2001. Katika kujibu mapigo ya lawama hizo Osama bin Laden aliwajibu Marekani hivi:-

"If you undermine our security, we undermine yours too, and if you kill our people we kill yours too. The choice is yours."
 
Hii nchi buana kama una hasira kama za watalbani unaweza kuchukua maamuzi magumu kwa Mahakama kuu au Bunge kwa upuuzi wanaofanya.

Yaani Mahakama inatoa statement ya kipuuzi namna hiyo? Soka Simu yake ilikuwa inashikiliwa na polisi kwa muda mrefu sana halafu alivyokamatwa Simu hiyo hiyo ya Soka ikatuma meseji kwamba wasimtafute yeye yupo salama, ina maana hiyo simu ambayo wanaishikilia polisi mpaka leo walikabidhiwa WATEKAJI? Watekaji waliomteka Soka ndiyo hao hao waliomteka SATIVA, na sativa alivyotekwa alipelekwa Oysterbay...Raia anaweza kuteka mtu akaenda naye kumtesa Oysterbay polisi karakana?
Yaan, mtalibani hajiulizi Mara mbili mbili akiwa na kitu anacho kiamini yaan wanapenda kifo kuliko uhai..hawana masiala kwenye kudai haki..
 
Jaji Wilson Dyansobera kutoka Mahakama kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam amesema baada ya Mahakama kusikiliza hoja za pande zote mbili (2) na kupitia kwa makini kiapo cha mwombaji aitwaye Mohammed H. Zimu ambaye ni rafiki wa karibu wa Deusdedith Soka na wenzake wawili (2) imejiridhisha kwamba waombaji hawapo chini ya Jeshi la Polisi.

Akitoa maamuzi hayo leo, Junatano Agosti 28.2024 Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam Jaji Dyansobera amesema, "hakuna malezo yanayotoka kwa muombaji kwamba alishuhdia waombaji wakiwa wanashikiliwa na Polisi au kuwa kizuizini”.

Katika maelezo yake Jaji Dyansobera ameeleza kuwa inawezekana muapaji alishuhudia wakikamatwa lakini hakuna ushahidi ya kuwa Soka na wenzake wapo kizuizini (detained) au wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kituo cha Chang’ombe, Dar es Salaam.

Pia Soma:
Katika hatua nyingine, Jaji Dyansobera ameliagiza Jeshi la Polisi nchini kufanya uchunguzi ili kufahamu wako wapi Soka pamoja na wenzake huku akisisitiza ni wajibu kwa Jeshi hilo, pia ni matakwa ya sheria za kimataifa kwa chombo hicho cha usalama kufuatilia na kufahamu wako wapi raia ambao wamepotea"

Mahakama inatoa amri kwa Polisi hasa mjibu maombi wa kwanza, mjibu maombi wa pili, mjibu maombi watatu, mjibu maombi wanne, na mjibu maombi watano kuchunguza uwepo wa hawa waombaji wako wapi” -Jaji Dyansobera.

JAMBO TV
Since August hadi leo kimya!!!
 
Back
Top Bottom