kkarumekenge
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 1,708
- 1,028
Umenena jonaleemanson. MAFISI-EMu yamewahiwa!!WAMESHAONA HAIWEZEKANI IMEBIDI WAKUBALI YAISHE UNADHANI NIKWELI KWAMBA HAUKUKUA NA HIYO BARUA?KAMA ULIMSKILIZA PINDA JANA UTAFAHAMU KUNA MCHEZO ULIKUA UCHEZWE. Mwenye VIDEO YA BUNGE LA JANA AU LINK TAFADHALI JAMANI MUITUPE HIYO LINK KUNA WENGINE TULIKUA MAOFISINI.
WAMESHAONA HAIWEZEKANI IMEBIDI WAKUBALI YAISHE UNADHANI NIKWELI KWAMBA HAUKUKUA NA HIYO BARUA?KAMA ULIMSKILIZA PINDA JANA UTAFAHAMU KUNA MCHEZO ULIKUA UCHEZWE. Mwenye VIDEO YA BUNGE LA JANA AU LINK TAFADHALI JAMANI MUITUPE HIYO LINK KUNA WENGINE TULIKUA MAOFISINI.
Wabunge wa upinzani walikuwa wazua kuwa kuna barua kutoka mahakamani iliyozuwia mjadala wa Escrow bungeni.
Mwenyekiti wa Bunge Mheshimiwa Azzan Zungu, amethibitisha sasa hivi bungeni kuwa hakuna barua kutoka mahakamani iliyozuwia mjadala huo au mwingine wowote ule bungeni na mjadala utakuwepo kama ilivyopangwa awali.
Hapo sasa!
Afadhali leo tuko pamoja kwenye hili,nlidhani ungelete uchamaPinda jana alikuwa ndani ya ukumbi wa bunge na hakukanusha wala kukubali kuhusu barua waliyozuwa upinzani. Leo Azzan Zungu kaweka wazi hilo baada ya Machali kuliongelea tena.
Mbona mimi naona hela ya ESCROW ni vijicenti,ebu kila Mbunge anatafuta umaarufu kupitia hii kashifa,hiyo sio kinga kama mlitusahau subirini 2015
WAMESHAONA HAIWEZEKANI IMEBIDI WAKUBALI YAISHE UNADHANI NIKWELI KWAMBA HAUKUKUA NA HIYO BARUA?KAMA ULIMSKILIZA PINDA JANA UTAFAHAMU KUNA MCHEZO ULIKUA UCHEZWE. Mwenye VIDEO YA BUNGE LA JANA AU LINK TAFADHALI JAMANI MUITUPE HIYO LINK KUNA WENGINE TULIKUA MAOFISINI.
Walikuwa wanapima upepo!
Pinda jana alikuwa ndani ya ukumbi wa bunge na hakukanusha wala kukubali kuhusu barua waliyozuwa upinzani. Leo Azzan Zungu kaweka wazi hilo baada ya Machali kuliongelea tena.
Ruksa kujadili ili mradi katika mijadala wasigusie vitu vilivyoko mahakani wala vile visivyokuwa na ushahidi wa kimahakama mfano Kama vile kusema hela ilitoka akaunti fulani ikingizwa akaunti ya mtu fulani.
KARIBUNI KWENYE MAJADILIANO