Mahakama yakana kuandika Barua kuzuia mjadala wa Tegeta Escrow Account bungeni

Umenena jonaleemanson. MAFISI-EMu yamewahiwa!!
 

Pinda jana alikuwa ndani ya ukumbi wa bunge na hakukanusha wala kukubali kuhusu barua waliyozuwa upinzani. Leo Azzan Zungu kaweka wazi hilo baada ya Machali kuliongelea tena.
 

Ruksa kujadili ili mradi katika mijadala wasigusie vitu vilivyoko mahakani wala vile visivyokuwa na ushahidi wa kimahakama mfano Kama vile kusema hela ilitoka akaunti fulani ikingizwa akaunti ya mtu fulani.
KARIBUNI KWENYE MAJADILIANO
 
Kama haikuepo mbona waziri mkuu hakukanusha jana? mbona Naibu spika hakukanusha jana wanaishia kusema busara zitumikeee....,, Jaman Tanzaniaaaaaaaaaaa
 
Pafukapo moshi subiria moto! Mpwa subiri mahindi yakaangwe yaive utavunja meno bureee. Usiwe na wasiwasi yote yatakuwa hadharani tuu! Hata Tumbili anasubiri
 
Ikiwepo isiwepo , safari hii sio kujiuzulu tu,wala sio ,kurudisha hela ,safari hii ni jail au uraiani ,kurudi kama akina Chnge na Lowasa ,yakaisha haikubaliki, ndio maana haya majizi yanajirudiarudia.
 
Mbona mimi naona hela ya ESCROW ni vijicenti,ebu kila Mbunge anatafuta umaarufu kupitia hii kashifa,hiyo sio kinga kama mlitusahau subirini 2015
 
Imekuwa withdrawn baada ya kuona joto kali
 
Mh kumbe wote tumelogwa na Marehemu.

Hivi Pida kwa nafsi yake aliyonayo katika nchi naye alikua anajibu issue ya barua ambayo haipo? Mbon nashindwa kuelewa hapa.Pnda si ndio President Kwasasa?

who is fooling who?
 
Pinda jana alikuwa ndani ya ukumbi wa bunge na hakukanusha wala kukubali kuhusu barua waliyozuwa upinzani. Leo Azzan Zungu kaweka wazi hilo baada ya Machali kuliongelea tena.
Afadhali leo tuko pamoja kwenye hili,nlidhani ungelete uchama
 
Mbona jana Naibu spika hakukanusha hiyo barua kuwepo bungeni. Mbona Pinda slionekana kutetea? Acheni kucheza na akili zetu baaaana!!!
 
...leteni bunduki,ujinga huu uishe mapema,tumechoka na kuchezewa akili na hawa viroboto
 

wameishi kwa kudanganya na vitisho muda mrefu sana yamefika mwisho
 
Pinda jana alikuwa ndani ya ukumbi wa bunge na hakukanusha wala kukubali kuhusu barua waliyozuwa upinzani. Leo Azzan Zungu kaweka wazi hilo baada ya Machali kuliongelea tena.

Hivi kwa nini usione aibu kutoa comments kwenye swala hili? Watu kama nyie mmekuwa mnashabikia aliyoyasema Mhs Werema ya kumtusi mhs Kafulila, leo hii eti unatwambia sijui hakuna barua ya kuzuia..........Ama kweli.........
 
Ruksa kujadili ili mradi katika mijadala wasigusie vitu vilivyoko mahakani wala vile visivyokuwa na ushahidi wa kimahakama mfano Kama vile kusema hela ilitoka akaunti fulani ikingizwa akaunti ya mtu fulani.
KARIBUNI KWENYE MAJADILIANO

Hayo unasema wewe, lakini nnauhakika ataesimamia huo mjadala atakuwa makini utapogusia maswala yaliopo mahakamani.
 
Wamegundua nchi itachafuka wakaufyata
Maana hata ile kauli ya zitto ya msitari wamwisho ndio ingeonekana kwenye hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…