Mahakama yakana kuandika Barua kuzuia mjadala wa Tegeta Escrow Account bungeni

Mahakama yakana kuandika Barua kuzuia mjadala wa Tegeta Escrow Account bungeni

Mkuu kumbuka ile kesi ambayo walimu waliitisha mgomo nchi nzima, serikali ikakimbilia mahakamani, ilikuwa weekend, Jaji masatu alisoma hukumu hadi USIKU wa saa 2 hadi 4, na walimu waliambiwa kuwa mgomo wao ni batili, Jaji masatu alipohojiwa inakuwaje mahakama inafanya kazi hadi usiku na ni weekend, alijibiwa kuwa mahakama haina weekend na haki haina muda maalumu kuwa huu ni wa kazi au huu si wa kaxi.

Ha ha ha ha. Mwishon mwa para imeniacha hoi. Eti haki haina weekend, ni pale tu Mahakama inapojisikia kuwa leo haki itafutwe weekend!? Kama jibu ni hilo hapo kuna Double Standard!
 
Mahakama ni kati ya taasisi mbili zinazoongoza kwa rushwa Tanzania. Nyingine ni Polisi. Na hiyo ni kwa mara ya tatu mfululizo.
 
Ha ha ha ha. Mwishon mwa para imeniacha hoi. Eti haki haina weekend, ni pale tu Mahakama inapojisikia kuwa leo haki itafutwe weekend!? Kama jibu ni hilo hapo kuna Double Standard!

mkuu kwani hujui kuwa nchi hii double standard ndo zinazoendesha maswala yote tete ya serikali?

kumbuka Bunge maalumu la katiba na kesi zilizokuwa mahakamani, (hapa Bunge maalumu halikujali kesi hizo zilizokuwa mahakani).

Juzi walipima upepo kuwa kuna barua imekuja bungeni toka mahakamani juu ya IPTL**

Lowassa alijiuzulu kama waziri mkuu na kutowajibika sawasawa kama msimamizi wa shughuli za serikali (Richmond)

Leo wanataka kumuokoa PINDA asijiuzulu!!!
 
Mahakama waongo kwanini wanakana leo, walikua wapi muda wote, wameichomoa barua wameona wataumbuka.
 
Usiogope, aitishe hata lile la kuajiriwa majaji wake, hayo hayazuii Bunge kujadili hiyo ripoti ya CAG bungeni. Bado masaa machache tu. Labda anataka kuwafunga wahalifu ili aonekane kuwa naye anatenda haki kwa Watz ila tunaomba asisahau kamstari kale kanakosema; Kabla ya kwenda Segerea, ufilisiwe mali zako zoote na hata mkeo aolewe na mwingine kwani mlikula wote, na wanao wanyang'anywe hata penceli ulo mnunulia kwani ulitumia fedha haramu.
Akiandika hivyo, tutamvumilia saana tu lakini Bunge haliendi kujadili kesi namba bali mabilioni waio gawana na jinsi walivyo gawana.

Pengine nayo mahakama ya rufaa imeshtushwa jinsi ukweli unavyozidi kutokeza kiasi cha kuamua kupitia hiyo hukumu ya mahakama kuu kwa lengo la kuwachukulia hatua za nidhamu za kimahakama wahusika.
 
Yaani masuala ya msingi kama haya wewe unasema ni tamrhiliya ya kusisimua!

Hawa jamaa wanafanya psychological propaganda. Si barua wala substance ya hiyo report waliyonayo hao kina mbatia. Wanabwabwaja tu kutaka kura za serikali za mitaa.

Watuambie escrow ni kitu gani kisha waweke unafiki pembeni waseme je kama hiyo hela ingechukuliwa na standard chartered ingekua ya umma au ya standard chartered? Tuache ukuward wa wamangimeza let's argue critically.

Hii issue sioni tofauti name dowans. Hao standared chartered wamefungua kesi ngapi on the matter? Na hazijaisha?
 
Back
Top Bottom