Kilala Makusaro
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 688
- 382
Kwa hiyo kwa mara ya kwanza Bunge na serikali walijadili "Tetesi"?
Aaah aaaah! hii inawezekana tu kwa nchi yenye serikali legelege.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kwa mara ya kwanza Bunge na serikali walijadili "Tetesi"?
Akina Mbatia walitaka kujichukulia umaarufu kwenye jambo hili. Hongera Mahakama kwa kuweka wazi
Kila wanakopumulia tunaziba mpaka wakate roho!
Subiri hapo hapoWe nae acha uongo ulikuja na drama hapa ooh AG kujiuzulu yako wapi?
Unadhani ndugu yake mwizi atafurahia ushindi wa Tumbili...Wewe ni punguani wa akili unaweza kutuambia kauli ya PINDA jana ndani ya bunge ilikuwa inamaanisha nini?
Naibu spika hakuruhusu chochote kuhusu barua yoyote na ndiyo maana Tundu Lissu alirudia mara kumi "kama ipo".
Kumbe kina lisu wameitisha press kwakitu ambacho hawana uhakika nacho.
ndo maana pinda akasema busara itumike lakini mahayawani wakamzomea mzee wa watu.
hawa wabunge mabwege hawajui kuwa kina lisu ni watundu na wako kazini kusaka utawala nao kama makondoo wakadandia maneno ya kina lisu bila hata uhakika kama barua ipo ama haipo.
huyo naibu spika nae bila hata kuconfirm uwepo wa barua ama laa akawa anapelekwapelekwa kama zuzu.
mambo ya kutungwa kwenye blogs wanaenda kujadili bungeni
hii ni tamthiria ya kusisimua
Akina Mbatia walitaka kujichukulia umaarufu kwenye jambo hili. Hongera Mahakama kwa kuweka wazi
Wewe ni wa kupuuzwa tu huna jipya
Akina Mbatia walitaka kujichukulia umaarufu kwenye jambo hili. Hongera Mahakama kwa kuweka wazi
Hivi huyu Lizaboni ninani, ni Mtanzania? Manake sijawahii kuona hata siku moja akichangia hoja yeyote positively.
Si ajabu ukimwambia anakunya atakataa akuambie yeye hanyagi?
This is very serious. He is always negative in everything!