Mahakama yakana kuandika Barua kuzuia mjadala wa Tegeta Escrow Account bungeni

Mahakama yakana kuandika Barua kuzuia mjadala wa Tegeta Escrow Account bungeni

Hiii nchi ishafanywa shamba la bibi. Wakishakaa kwenye viti vya juu wanadhani wanakuwa salama tu. Afadhali kuna tumbili wasiojua mipaka ya waheshimiwa na walala hoi. Tumbili wanaruka kote kote. kama siyo hao tumbili ama kweli wangekula bila kelele yoyote.
 
Hivi huyu Lizaboni ninani, ni Mtanzania? Manake sijawahii kuona hata siku moja akichangia hoja yeyote positively.

Si ajabu ukimwambia anakunya atakataa akuambie yeye hanyagi?

This is very serious. He is always negative in everything!

Lizabon ni lumumba b7 ambaye kazi yake n kutumika kama toilet paper, vjana wa ccm ni janga la taifa yan tunazungumza masuala yenye maslahi mapana ya taifa jengine linaibuka na jicho la kijan la chama linafikia kuropoka?? lizabon ww kama n mke wa mtu mumeo ana hasara
 
Tusishangae barua ya kuzuia mjadala wa ESCROW Bungeni kama itaibuka wiki ijayo from nowhere baada ya hakimu mmoja kutishwa na Maintarahamwe achote barua hiyo haraka sana kisha tarehe iwe backdated kuonyesha agizo la mahakama kuzuia mjadala huo. Maintarahamwe watadai kulikuwa na mkanganyiko kuhusu barua hiyo ambayo ilikuwepo mapema lakini ilikuwa "misplaced" na mfanyakazi mmoja wa ofisi ya Bunge.
Muhuni mmoja kutoka Maintarahamwe ambaye atamtishia huyu hakimu kubebwa mzobe mzobe hadi Mabwepande "kumulimboka" atampigia simu yule mwizi mmoja mkubwa nchini mpenda kuvaa rosary, na mazungumzo yao yatakuwa kama ifuatavyo.

Muhuni: Sasa kuna hakimu hapa anachora barua ya kuzima huu mjadala Bungeni.
Mwizi: sawa jitahidi tu ili kuzima huu mjadala
Mhuni: (Baada ya kusogea pembeni ili hakimu asisikie) Sasa huyu naye itakuwa vizuri ukimkatia mgao ili kumnyamazisha.
Mwizi: Nimkatie mgawo wa kiasi gani?
Mhuni: Kama ule wa mama Tibaijuka na Chenge lakini itabidi ulete cash nyumbani kwangu na ziwe zile note kubwa na tena mpya maana kumpa cheque ni noma tutazidi kuanika ushahidi hadharani.
Mwizi: Sawa vijana wangu watapitisha huo mgao wa hakimu nyumbani kwako Jumatatu saa nne, jitahidi sana maana hii kitu imeshaanza kunikosesha usingizi.
Mhuni: Usiwe na wasiwasi tutafanikiwa tu.

Msajili wa Mahakama Kuu, Amir Msumi, alipotakiwa jana na NIPASHE kuthibitisha kama Mahakama imeandika barua hiyo kwenda Ofisi ya Spika wa Bunge kuzuia suala hilo lisijadiliwe kwa kuwa kiko mahakamani, alisema yeye na wasajili wenzake hawana taarifa kuhusu kuandikwa kwa barua hiyo.

Hadi sasa hakuna mamlaka yoyote ya serikali iliyothibitisha rasmi kama kuna barua iliyoandikwa na Mahakama kwenda Ofisi ya Spika wa Bunge.
Juzi Naibu Spika,Job Ndugai, alisema kuwa ofisi ya Spika haijapokea barua hiyo.
 
Kuna taarifa nimezipokea muda huu toka dar. kuwa mahakama ya Rufaa Tanzania imeyaitisha (SUO MOTO)majalada ya kesi zote za IPTL ili iyapitie upya.

Haijaweza kufahamika nia au Lengo hasa ni nini kwa mahakama hiyo kuyaitisha kwa muda huu.
 
Ngoma ishafika bungeni ripoti ishakabidhiwa na picha zimepigwa na tv zimeonyesha na tarehe ya kuripoti pia imetoka this time no way out.,
 
Usiogope, aitishe hata lile la kuajiriwa majaji wake, hayo hayazuii Bunge kujadili hiyo ripoti ya CAG bungeni. Bado masaa machache tu. Labda anataka kuwafunga wahalifu ili aonekane kuwa naye anatenda haki kwa Watz ila tunaomba asisahau kamstari kale kanakosema; Kabla ya kwenda Segerea, ufilisiwe mali zako zoote na hata mkeo aolewe na mwingine kwani mlikula wote, na wanao wanyang'anywe hata penceli ulo mnunulia kwani ulitumia fedha haramu.
Akiandika hivyo, tutamvumilia saana tu lakini Bunge haliendi kujadili kesi namba bali mabilioni waio gawana na jinsi walivyo gawana.
 
Buku 7 @ work
kuna taarifa nimezipokea muda huu toka dar. Kuwa mahakama ya rufaa tanzania imeyaitisha (suo moto)majalada ya kesi zote za iptl ili iyapitie upya.

Haijaweza kufahamika nia au lengo hasa ni nini kwa mahakama hiyo kuyaitisha kwa muda huu.
 
Leo Jumapili, wacha porojo, kuna mahakama ipi inayo fanya kazi leo Tanzania hii?

We kikongwe wewe acha ngeseu, mahakama haina weekend, kumbuka hukumu ya A.G V. Walimu, walimu walikuwa wamegoma na ilikuwa siku ya weekend, jaji Masatu alipohojiwa kuwa inakuwaje mahakama inafanya kazi hadi weekend alijibu kuwa, Mahakama haina weekend. acha ujinga ww.
 
Mahakama inajaribu kuokoa hadhi take. Kimsingi Watanzania hatuna imani ya mahakama ya Tz kutokana na kugubikwa na rushwa waziwazi. Waendelee kivyao si afadhali ya Bunge linalojitahidi kuhoji japo mafisadi wanawaziba midomo. Mahakama imekufa kifo cha mende
 
Leo Jumapili, wacha porojo, kuna mahakama ipi inayo fanya kazi leo Tanzania hii?
Uko sawa ila embu tuambie wewe mtu wa hawa wezi (ccm) mbona hamna huruma, watu wanakufa kwa kukosa dawa nyie mnajinyakulia mabilion! Mungu awalipe sawasawa na matendo yenu, mtafikiri mnaishi milele, ole wenu!
 
Hata mm hilo la Jumapili sijaelewa; leo wako kazini? Au hiyo SUO MOTO haina weekend!

Mkuu kumbuka ile kesi ambayo walimu waliitisha mgomo nchi nzima, serikali ikakimbilia mahakamani, ilikuwa weekend, Jaji masatu alisoma hukumu hadi USIKU wa saa 2 hadi 4, na walimu waliambiwa kuwa mgomo wao ni batili, Jaji masatu alipohojiwa inakuwaje mahakama inafanya kazi hadi usiku na ni weekend, alijibiwa kuwa mahakama haina weekend na haki haina muda maalumu kuwa huu ni wa kazi au huu si wa kaxi.
 
Mahakama inajaribu kuokoa hadhi take. Kimsingi Watanzania hatuna imani ya mahakama ya Tz kutokana na kugubikwa na rushwa waziwazi. Waendelee kivyao si afadhali ya Bunge linalojitahidi kuhoji japo mafisadi wanawaziba midomo. Mahakama imekufa kifo cha mende

Alafu unakuta wangese wachache wanauita mhimili wenye mamlaka kamili na unajitegemea pasipo kuingiliwa...ku......za....

o!!
 
We kikongwe wewe acha ngeseu, mahakama haina weekend, kumbuka hukumu ya A.G V. Walimu, walimu walikuwa wamegoma na ilikuwa siku ya weekend, jaji Masatu alipohojiwa kuwa inakuwaje mahakama inafanya kazi hadi weekend alijibu kuwa, Mahakama haina weekend. acha ujinga ww.

Ahsante kwa kuniwahi....jibu mujaarabhu...
 
We kikongwe wewe acha ngeseu, mahakama haina weekend, kumbuka hukumu ya A.G V. Walimu, walimu walikuwa wamegoma na ilikuwa siku ya weekend, jaji Masatu alipohojiwa kuwa inakuwaje mahakama inafanya kazi hadi weekend alijibu kuwa, Mahakama haina weekend. acha ujinga ww.

Na leo kuna mgomo wa nini? punguani wahed.
 
Back
Top Bottom