Mahakama yakubali ombi la DPP kuondoa rufaa dhidi ya Sabaya, sasa yupo huru na hana rekodi ya uhalifu

Mahakama yakubali ombi la DPP kuondoa rufaa dhidi ya Sabaya, sasa yupo huru na hana rekodi ya uhalifu

Zaidi ya wana CHADEMA 300 wameachiliwa, Mbowe, Lema na mlolongo mrefu tu mwingine wa majina mengine, wameondolewa kesi kutoka mahakamani n.k

Si Ajabu.
 
Uteuzi utafuata siku sio nyingi, wale mliokua mna mdhihaki kwa nguvu jipangeni sawa sawa shetani amefunguliwa mnyororo rasmi
 

Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) Silvester Mwakitalu, Leo amewasilisha katika Mahakama kuu ya Tanzania masijala ya Arusha ombi la kuiondoa Rufaa No.155 ya Mwaka 2022 Aliyokua ameikata dhidi ya Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya Na wenzake.

Rufaa hiyo ilikatwa na Jamhuri baada ya Sabaya na wenzake kushinda kesi hiyo ya Uhujumu uchumi No.27 ya mwaka 2021 katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Arusha Mbele iliyosikilizwa na Kuambuliwa na Hakimu Patricia Kisinda.

Rufaa hiyo ilipangwa kusikilizwa Mfululizo na Mahakama kuu kuanzia tarehe 29/04 hadi 03/05 Mbele ya Mhe Salma Maghimbi Jaji wa Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam aliyefika Kusikiliza shauri hilo.

Akiwasilisha nia Ya kuliondoa shauri hilo mbele ya Jaji Salma, Muendesha mashtaka Muandamizi wa serkali Akisa mhando Alieleza “Mhe Jaji,Shauri hili limekuja kwa ajili ya kusikiliza rufaa,hata hivyo mrufani (Jamhuri) imewasilisha ombi chini ya kifungu cha sheria No.386 (1) cha sheria ya muenendo wa makosa ya jinai marejeo ya mwaka 2022,ombi letu ni kwamba Jamhuri haina nia ya kuendelea na Rufaa hii dhidi ya Sabaya na wenzake,hivyo tunaomba kuiondoa hapa mahakamani”

Baada ya Uamuzi huo,Jaji Maghimbi alitoa uamuzi kwamba rufaa hiyo imeondolewa mahakamani Rasmi.

Kufuatia uamuzi huo, sabaya Anakuwa hana shauri lolote linalomkabili mahakamani na anahitimisha rasmi leo safari ya kesi alizokuwa anakabiliana nazo kuanzia tarehe 04/06 /20201 alipopandishwa kizimbani mara ya kwanza.

Wakili wa sabaya,Moses Mahuna mbele ya waandishi wa habari ameeleza kwamba kuanzia sasa,sabaya ni mtu huru na kwa mujibu wa mahakama yenyewe,hana rekodi yotote ya uhalifu na hana shauri lingine lolote katika chombo chochote cha sheria,na kumfanya kumalizana Rasmi na Mahakama.
Muda si mrefu anakula teuzi huyo kijana
 

Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) Silvester Mwakitalu, Leo amewasilisha katika Mahakama kuu ya Tanzania masijala ya Arusha ombi la kuiondoa Rufaa No.155 ya Mwaka 2022 Aliyokua ameikata dhidi ya Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya Na wenzake.

Rufaa hiyo ilikatwa na Jamhuri baada ya Sabaya na wenzake kushinda kesi hiyo ya Uhujumu uchumi No.27 ya mwaka 2021 katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Arusha Mbele iliyosikilizwa na Kuambuliwa na Hakimu Patricia Kisinda.

Rufaa hiyo ilipangwa kusikilizwa Mfululizo na Mahakama kuu kuanzia tarehe 29/04 hadi 03/05 Mbele ya Mhe Salma Maghimbi Jaji wa Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam aliyefika Kusikiliza shauri hilo.

Akiwasilisha nia Ya kuliondoa shauri hilo mbele ya Jaji Salma, Muendesha mashtaka Muandamizi wa serkali Akisa mhando Alieleza “Mhe Jaji,Shauri hili limekuja kwa ajili ya kusikiliza rufaa,hata hivyo mrufani (Jamhuri) imewasilisha ombi chini ya kifungu cha sheria No.386 (1) cha sheria ya muenendo wa makosa ya jinai marejeo ya mwaka 2022,ombi letu ni kwamba Jamhuri haina nia ya kuendelea na Rufaa hii dhidi ya Sabaya na wenzake,hivyo tunaomba kuiondoa hapa mahakamani”

Baada ya Uamuzi huo,Jaji Maghimbi alitoa uamuzi kwamba rufaa hiyo imeondolewa mahakamani Rasmi.

Kufuatia uamuzi huo, sabaya Anakuwa hana shauri lolote linalomkabili mahakamani na anahitimisha rasmi leo safari ya kesi alizokuwa anakabiliana nazo kuanzia tarehe 04/06 /20201 alipopandishwa kizimbani mara ya kwanza.

Wakili wa sabaya,Moses Mahuna mbele ya waandishi wa habari ameeleza kwamba kuanzia sasa,sabaya ni mtu huru na kwa mujibu wa mahakama yenyewe,hana rekodi yotote ya uhalifu na hana shauri lingine lolote katika chombo chochote cha sheria,na kumfanya kumalizana Rasmi na Mahakama.
Ipo siku nchi hii , jinai zote zitashughulikiwa bila kuangalia sura ya mtu au kubebana ni swala la mda tu, na mda ni mwalim
 

Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) Silvester Mwakitalu, Leo amewasilisha katika Mahakama kuu ya Tanzania masijala ya Arusha ombi la kuiondoa Rufaa No.155 ya Mwaka 2022 Aliyokua ameikata dhidi ya Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya Na wenzake.

Rufaa hiyo ilikatwa na Jamhuri baada ya Sabaya na wenzake kushinda kesi hiyo ya Uhujumu uchumi No.27 ya mwaka 2021 katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Arusha Mbele iliyosikilizwa na Kuambuliwa na Hakimu Patricia Kisinda.

Rufaa hiyo ilipangwa kusikilizwa Mfululizo na Mahakama kuu kuanzia tarehe 29/04 hadi 03/05 Mbele ya Mhe Salma Maghimbi Jaji wa Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam aliyefika Kusikiliza shauri hilo.

Akiwasilisha nia Ya kuliondoa shauri hilo mbele ya Jaji Salma, Muendesha mashtaka Muandamizi wa serkali Akisa mhando Alieleza “Mhe Jaji,Shauri hili limekuja kwa ajili ya kusikiliza rufaa,hata hivyo mrufani (Jamhuri) imewasilisha ombi chini ya kifungu cha sheria No.386 (1) cha sheria ya muenendo wa makosa ya jinai marejeo ya mwaka 2022,ombi letu ni kwamba Jamhuri haina nia ya kuendelea na Rufaa hii dhidi ya Sabaya na wenzake,hivyo tunaomba kuiondoa hapa mahakamani”

Baada ya Uamuzi huo,Jaji Maghimbi alitoa uamuzi kwamba rufaa hiyo imeondolewa mahakamani Rasmi.

Kufuatia uamuzi huo, sabaya Anakuwa hana shauri lolote linalomkabili mahakamani na anahitimisha rasmi leo safari ya kesi alizokuwa anakabiliana nazo kuanzia tarehe 04/06 /20201 alipopandishwa kizimbani mara ya kwanza.

Wakili wa sabaya,Moses Mahuna mbele ya waandishi wa habari ameeleza kwamba kuanzia sasa,sabaya ni mtu huru na kwa mujibu wa mahakama yenyewe,hana rekodi yotote ya uhalifu na hana shauri lingine lolote katika chombo chochote cha sheria,na kumfanya kumalizana Rasmi na Mahakama.
Kuna mahakama tanzania? au kusanyiko la ccm
 

Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) Silvester Mwakitalu, Leo amewasilisha katika Mahakama kuu ya Tanzania masijala ya Arusha ombi la kuiondoa Rufaa No.155 ya Mwaka 2022 Aliyokua ameikata dhidi ya Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya Na wenzake.

Rufaa hiyo ilikatwa na Jamhuri baada ya Sabaya na wenzake kushinda kesi hiyo ya Uhujumu uchumi No.27 ya mwaka 2021 katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Arusha Mbele iliyosikilizwa na Kuambuliwa na Hakimu Patricia Kisinda.

Rufaa hiyo ilipangwa kusikilizwa Mfululizo na Mahakama kuu kuanzia tarehe 29/04 hadi 03/05 Mbele ya Mhe Salma Maghimbi Jaji wa Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam aliyefika Kusikiliza shauri hilo.

Akiwasilisha nia Ya kuliondoa shauri hilo mbele ya Jaji Salma, Muendesha mashtaka Muandamizi wa serkali Akisa mhando Alieleza “Mhe Jaji,Shauri hili limekuja kwa ajili ya kusikiliza rufaa,hata hivyo mrufani (Jamhuri) imewasilisha ombi chini ya kifungu cha sheria No.386 (1) cha sheria ya muenendo wa makosa ya jinai marejeo ya mwaka 2022,ombi letu ni kwamba Jamhuri haina nia ya kuendelea na Rufaa hii dhidi ya Sabaya na wenzake,hivyo tunaomba kuiondoa hapa mahakamani”

Baada ya Uamuzi huo,Jaji Maghimbi alitoa uamuzi kwamba rufaa hiyo imeondolewa mahakamani Rasmi.

Kufuatia uamuzi huo, sabaya Anakuwa hana shauri lolote linalomkabili mahakamani na anahitimisha rasmi leo safari ya kesi alizokuwa anakabiliana nazo kuanzia tarehe 04/06 /20201 alipopandishwa kizimbani mara ya kwanza.

Wakili wa sabaya,Moses Mahuna mbele ya waandishi wa habari ameeleza kwamba kuanzia sasa,sabaya ni mtu huru na kwa mujibu wa mahakama yenyewe,hana rekodi yotote ya uhalifu na hana shauri lingine lolote katika chombo chochote cha sheria,na kumfanya kumalizana Rasmi na Mahakama.
APEWE TEUZI MKUU WA MKOA WA DSM
 
Kufuatia uamuzi huo, sabaya Anakuwa hana shauri lolote linalomkabili mahakamani na anahitimisha rasmi leo safari ya kesi alizokuwa anakabiliana nazo kuanzia tarehe 04/06 /20201 alipopandishwa kizimbani mara ya kwanza.
Huenda anatengenezewa uteuzi
 
Dunia haipendi watenda haki. Hata hivyo haiwezekani kuwashinda wenye haki.

Very soon Ole Sabaya again. Most welcome sir! This is how the world is.
 
..sio Sabaya tu,hata aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha,bwana Pima na wenzake wamefutiwa MASHTAKA ..tayari wale vijana waliokuwa wafanyakazi wa Jiji Arusha,Alex na Nuru,wamesharudi kazini..ila nakueleze DPP, kwa hili la Arusha umemchafua Waziri Mkuu
 
Baba yake Sabaya ni mwenyekiti wa CCM, kila mara yuko KIA pamoja na Makonda kupokea viongozi wa SERIKALI wa kitaifa na hata katika kumbukumbu ya kitaifa ya Sokoine Monduli alikuwepo.
 
Back
Top Bottom